Felix Makene Afariki Dunia!

Felix Makene Afariki Dunia!

Nimepokea taarifa hizi kwa majonzi makubwa-Kwa Familia ya Chambi/Makene Please accept my sincere Condolesences.

Sio mda mrefu toka tuanze Libeneke. Ewe mwenye roho,Nakukumbuka! Mapambano yanaendelea-unakumbuka Felix na wana libeneke wengine mliponiita mwanamageuzi? Huo ndio ulikuwa mwanzo-tutaendeleza ulipoacha, wasalimie wengine waliotuanza kwani na sisi tukiitwa tutajumuika-Mungu akulaze pema peponi.

Sito sahau-Felix moyo wako wa urafiki wa kweli, kujali, hekima na upendo,usio na kinyodo-Umejazwa na roho mtakatifu. Umejazwa, kwani sio tu ulimkaribisha kila mtu bila kikwazo moyoni mwako bali rohoni mwako! REST IN PEACE MY BROTHER REST IN PEACE.

ATANAYE KIJIKO
 
Tangulia Felix nasi tupo nyuma yako. Ingawa sijawahi kukutana nawe, vilio ulivyoacha vinazungumza kwa niaba yako kuwa ulikuwa ni mtu wa aina gani. Mwingi wa ucheshi, mwepesi wa msaada na rafiki wa kweli wengi. Naamini Baraka atafuata nyayo zako, na Maryam mkeo atayakabiri machungu haya kwa machungu mengi, lakini mwisho tunamtakia kila kheri na maombi yamfikie ili apite katika kipindi hiki kigumu kwake yeye, Baraka na familia yote kwa ujumla, RIP Felix Makene.
 
Pumzika mahala pema peponi, Mod mimi nadhani tupewe ID yake aliyoitumia enzi za uhai wake ili tuweze kufanyia references kwa yale aliyoyaandika kama heshima yake. Samahani kama kufanya hivyo ni kinyume na taratibu za JF.
 
Yaani mwenzenu I'm gasping for air here.. kwani kuna watu kadhaa ambao nimetokea kufahamiana nao kutoka Houston ambao ni memba hapa. Ni mmoja tu ambaye hadi sasa nimempm na hajajibu ingawa anaonekana yuko logged on kwenye mada fulani.

Yaani I'm extremely anxions naogopa hata kupiga simu..
 
Upumzike kwa AMANI kaka Felix, you will be missed. Pole sana dada Maryam na mtoto Baraka, Mungu atawapa nguvu za kukikabili kipindi hiki kigumu.
Tuombeane na zaidi tusisahau kufarijiana kwa upendo, Poleni wote mlioguswa na msiba huu.
 
Ndugu Jamaa na marafiki poleni, wapiganaji wa JamboForums...Poleni kwani imeelezwa kuwa alikuwa mwenzetu hapa ingawa ID yake bado hatujaifahamu!!!
 
Poleni sana memberz wa 331, mama Mchuma,Anold, Jovin, Mchuma, Fred.....mke, mtoto na Familia yote kwa ujumla.....wazee wa St.Louis,Mo na Houston,TX poleni sana, tupo pamoja ktk maombolezi haya. RIP kaka Felix.
 
Yaani mwenzenu I'm gasping for air here.. kwani kuna watu kadhaa ambao nimetokea kufahamiana nao kutoka Houston ambao ni memba hapa. Ni mmoja tu ambaye hadi sasa nimempm na hajajibu ingawa anaonekana yuko logged on kwenye mada fulani.

Yaani I'm extremely anxions naogopa hata kupiga simu..

I have an idea who it might be...
 
Kwa niaba ya JF na wengineo ambao hatukuweza kufahamu kwamba marehemu Felix Makene alikuwa mchangiaji hapa napenda kutoa rambi rambi za dhati kwa Familia yake na mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.


NB: Sina ID yake, hakuna anayeweza kujua hiyo labda kama yeye mwenyewe alimtaarifu Admin, lakini ni vigumu kwani hakuna JF member anayefanya hivyo, wachache sana wanaeleza jamaa zao.
 
Masatu,
No way. We know Hasara. Mugongo Mugongo kachukua cheo Ikulu ndo maana siku hizi hasikiki.
 
felix5b15dhp6.jpg


Michuzi Blog said:
Wananchi,

On behalf of the family and Tanzanians living in Houston, I sadly announce the death of our brother Felix Chambi (aka Felix Makene) pictured above.
Felix passed away on Thursday morning (24/1/08) after having a stroke on Monday night (21/1/08). Felix leaves behind his wife Maryam and young son Baraka. Condolences
can be offered to Felix’s family at their home on8618 Rose Garden, Houston, TX, 77083.
You can also call: Maryam (wife) on 832 865 3366 or 314 369 2338

Alfred (brother) on 314 584 9708

Mchuma (sister) on 314 489 3248

The community of Tanzanians living in Houston is making plans to transport Felix from Houston to Tanzania next week.

CONTRIBUTIONS:

As we all know, the costs of transporting Felix’s body from Houston to Tanzania will be high. We have estimated the total cost of this process to be $22,400. While any amount you donate will be greatly appreciated, we are recommending that Tanzanians living in Houston contribute around $100 each.

The Tanzanian Community in Houston will conduct a fund raiser on Saturday (1/26/08).
The fundraiser will begin at 4pm and will be held at:Safari Party Hall (Kwa Inno) 8951 Bissonnett, Houston TX 77036. Like always, men should bring drinks and women food to the fundraiser. Ladies can get in touch with Nuru Mazola and gentlemen with Alex Tibaigana for further information on our needs.

If all goes well, we plan to pay our last respects to Felix on Sunday (1/27/08).

You will receive more information on this as it becomesavailable.

If you have any questions please feel free to contact thepeople below.

Miraji Malewa 713 373 6525

Nuru Mazola 832 630 8090

Anita Massawe 832 721 3832

Rosemary Mlekwa 832 867 2140

Muddy Chamshama 713 203 4629

Jadi Malumbo 713 419 6803

Karim Faraji 713 702 9050


Akaunti maalumu ya msiba wa Felix Makene

BANK: Washington Mutual Bank
NAME: Jadi malumbo
ACCT #: 4213965100
ROUTING#: 111993776
BANK ADDRESS
10850 Bellaire BlvdHouston, TX, 77072281.498.2233

Please call any of the people below with questions.
Miraji Malewa 832 741 4452
Nuru Mazola 832 630 8090
Anita Massawe 832 721 3832
Rosemary Mlekwa 832 867 2140
Muddy Chamshama 713 203 4629
Jadi Malumbo 713 419 6803
Karim Faraji 713 702 9050
 
felix5b15dhp6.jpg



Nadhani namfanisha marehemu ni mtu niliwahi kumuona mahali(probably Mlimani). Once again Nakutakia mapumziko mema kwa mola wako aliyekupenda zaidi. RIP Felix, Amen
 
Bow,
sorry, nadhani umemfananisha......marahemu hakusoma mlimani!!.
 
Jamani , inatosha naona sasa mnataka kuivua nguo maiti!...kumbukeni ana ndugu huyu marehemu.
 
Back
Top Bottom