Nimemskia mwanariadha wetu Felix Simbu Clouds Fm akisema alikuwa haijui njia vizuri alikuwa anakimbia tu kuwafuata wengine na akafanikiwa kumaliza nafasi ya 17 kwenye Marathon.
Huyu jamaa siyo mara ya kwanza kuleta vimbweka
C.c GENTAMYCINE
Wait What? Njia kivipi wakati njia ilikuwa clear, Pikipiki zinaongoza mbele, Njia imetengwa rasmi na ina viashiria? Kusima labda hajui, Hata picha alikua haoni??