Felix Tchisekedi Amshawishi Trump Atume Majeshi Kukabiliana na M23 Kwa malipo ya Kumpa Migodi.

Felix Tchisekedi Amshawishi Trump Atume Majeshi Kukabiliana na M23 Kwa malipo ya Kumpa Migodi.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
The New York Times imeripoti kuwa Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo 🇨🇩 ametoa pendekezo la kuipa Marekani udhibiti wa madini ya nchi hiyo ili kumshawishi Rais Trump kutuma wanajeshi kupambana na waasi wa M23, wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda.

DR Congo 🇨🇩 ni nchi yenye utajiri mkubwa wa rasilimali, ikiwa msambazaji mkuu wa coltan inayotumika kutengeneza simu za mkononi na ikiwa na zaidi ya nusu ya akiba ya cobalt duniani, madini muhimu kwa utengenezaji wa magari ya umeme.

My Take
Huyu Kibaraka Aliyekulia Belgium hafai kuendelea kuwa Rais 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGc07pIs0Ih/?igsh=MTU5Y3Y1Y2wwMWtmdw==


uscongo.png
 
Nahisi Deal ni Kongo mashariki ijitenge chini ya M23 (au jina lolote), Kwa kuwa silaha wamepewa na Uncle Sam, kwa vyovyote madini yote yatakuwa chini yake bila udalali, wakati DRC kiongozi akibadilika mikataba itabadilika
Nchi haigawanywi,

Dalali anakatiwa connection,

Maboss wawili wanakaa mezani na kujadiliana biashara.
 
😳😳😳

Hiyo offer si angetupa Majirani hapa? Maana kama hayo Madini na sisi tunayataka! Kama Jeshi Imara lipo
Haya madini yetu tunayafanyia nini? Je vipi kuhusu bandari, mbuga za wanyama, misitu na gesi? Tunatofautiana kwa viwango na approach tu. Sisi ni walewale. Kama sio divine intervention (which I don’t believe in), Tanzania tunaelekea njia ya CRC, Sudan na kwingineko kwenye ghasia
 
Haya madini yetu tunayafanyia nini? Je vipi kuhusu bandari, mbuga za wanyama, misitu na gesi? Tunatofautiana kwa viwango na approach tu. Sisi ni walewale. Kama sio divine intervention (which I don’t believe in), Tanzania tunaelekea njia ya CRC, Sudan na kwingineko kwenye ghasia
Kwani wewe unaona Bandari na Madini vinafanyiwa nini?
 
Back
Top Bottom