ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Huyo Rais hana akili wampindue tuuKwanini asiwaite Wakoloni wa Kibelgiji waje a give up independence.
Sijui FRDC wanasubiri nini kwa mtu anyeigawa Nchi sasa hivi ukiongea Kiswahili huko Kinshasa unafungwa na kuitwa Muasi au Mnyarwanda.Huyo Rais hana akili wampindue tuu
Deal lipo,Kwani wanyarwanda wanampoelekea nani, si huyohuyo, hamna deal hapo
Nahisi Deal ni Kongo mashariki ijitenge chini ya M23 (au jina lolote), Kwa kuwa silaha wamepewa na Uncle Sam, kwa vyovyote madini yote yatakuwa chini yake bila udalali, wakati DRC kiongozi akibadilika mikataba itabadilikaDeal lipo,
Hakutakuwa na udalali tena.
Ni taahira mmja ambaye amekulia huo Ubelgiji hana uchungu wowote na CongoHuyu ndiye amechanganyikiwa kabisa! Yaani uko tayari kuuza nchi kwa ajili ya kupambana na M23?
Nchi haigawanywi,Nahisi Deal ni Kongo mashariki ijitenge chini ya M23 (au jina lolote), Kwa kuwa silaha wamepewa na Uncle Sam, kwa vyovyote madini yote yatakuwa chini yake bila udalali, wakati DRC kiongozi akibadilika mikataba itabadilika
Hata mimi nashangaa akitupa TZ tunaingiza JWTZ wanamaliza kazi tu muda mfupi.Hiyo migodi si bora angewapa wabongo tu
Shughuli ya makamanda wetu wanaikumbuka sana tuu, Felix ni mshenzi anataka atolewe kama marais wa west afrikaHata mimi nashangaa akitupa TZ tunaingiza JWTZ wanamaliza kazi tu muda mfupi.
Kama Tshseked hatuamini hata sisi TZ tutoe majeshi yetu huko.
Haya madini yetu tunayafanyia nini? Je vipi kuhusu bandari, mbuga za wanyama, misitu na gesi? Tunatofautiana kwa viwango na approach tu. Sisi ni walewale. Kama sio divine intervention (which I don’t believe in), Tanzania tunaelekea njia ya CRC, Sudan na kwingineko kwenye ghasia😳😳😳
Hiyo offer si angetupa Majirani hapa? Maana kama hayo Madini na sisi tunayataka! Kama Jeshi Imara lipo
Kwani wewe unaona Bandari na Madini vinafanyiwa nini?Haya madini yetu tunayafanyia nini? Je vipi kuhusu bandari, mbuga za wanyama, misitu na gesi? Tunatofautiana kwa viwango na approach tu. Sisi ni walewale. Kama sio divine intervention (which I don’t believe in), Tanzania tunaelekea njia ya CRC, Sudan na kwingineko kwenye ghasia
Ila inapaswa uwaze wakitupatia sisi tutaifanyia nini? Kumbuka hata huko Tz migodi ipo mingi sana lakini vipi kuhusu tija yake kwa Taifa?Hata mimi nashangaa akitupa TZ tunaingiza JWTZ wanamaliza kazi tu muda mfupi.
Kama Tshseked hatuamini hata sisi TZ tutoe majeshi yetu huko.