Felix Tchisekedi Amshawishi Trump Atume Majeshi Kukabiliana na M23 Kwa malipo ya Kumpa Migodi.

Ni taahira mmja ambaye amekulia huo Ubelgiji hana uchungu wowote na Congo
tofauti na hivyo Wakongo watateseka sana , hayo ndo maamuz sahihi kwasasa ili wokongo waishi kwa amani na watumie maliasili nyinginge kujijenga , Ethiopia hakuna madini ila wanapet ulingoni , DRC ina vitu vingi nje ya madini , na waafrika waseng mmewatupa acha na wao wajitoe muhanga tu ili waish kwa amani kama nyiny msio na madini
 
Tshikedi kaona deal aliyopewa Ukraine na Trump itamfaa na yeye pia. Vyoyote exchange lazima iwepo.
tofauti na hivyo Wakongo watateseka sana , hayo ndo maamuz sahihi kwasasa ili wokongo waishi kwa amani na watumie maliasili nyinginge kujijenga , Ethiopia hakuna madini ila wanapet ulingoni , DRC ina vitu vingi nje ya madini , na waafrika waseng mmewatupa acha na wao wajitoe muhanga tu ili waish kwa amani kama nyiny msio na madini
 
Huyo Rais hana akili wampindue tuu
tofauti na hivyo Wakongo watateseka sana , hayo ndo maamuz sahihi kwasasa ili wokongo waishi kwa amani na watumie maliasili nyinginge kujijenga , Ethiopia hakuna madini ila wanapet ulingoni , DRC ina vitu vingi nje ya madini , na waafrika waseng mmewatupa acha na wao wajitoe muhanga tu ili waish kwa amani kama nyiny msio na madini
 
Hata mimi nashangaa akitupa TZ tunaingiza JWTZ wanamaliza kazi tu muda mfupi.
Kama Tshseked hatuamini hata sisi TZ tutoe majeshi yetu huko.
tofauti na hivyo Wakongo watateseka sana , hayo ndo maamuz sahihi kwasasa ili wokongo waishi kwa amani na watumie maliasili nyinginge kujijenga , Ethiopia hakuna madini ila wanapet ulingoni , DRC ina vitu vingi nje ya madini , na waafrika waseng mmewatupa acha na wao wajitoe muhanga tu ili waish kwa amani kama nyiny msio na madini

NOTE : ccmu iwe makini sn iwapo hili litatimia maana USA au Mabeberu yeyote atakayelamba dodi bas atatumia DRC km training centre ya waasi na vikundi vyote vya DRC kupelekwa nchi jirani na DRC ikiwemo Tanzania
 
Kwani USA ndio itawafanya nini waasi? Itawaua au?
 

View: https://x.com/bbcswahili/status/1894258570356535689?t=aIzBuYj1JJ9q0qH1dVvQew&s=19
 

Nahisi itakuwa ni shinikizo toka kwa Trump na sio Tshisekedi...kitu ambacho Trump anashinikiza pia Ukraine ili apate earth rare metals kama Lithium...
 
Kwani USA ndio itawafanya nini waasi? Itawaua au?
unahis USA ana undugu na mtu kwenye maslai ? muhimu ni DRC kuwa na amaninan na so vifo vya waasi , KWASASA DRC WAFANYE HVYO LASIVYO WAWE MATEKA KABISA KWA RWANDA , CHAGUA WW HAPO .

NYINY MAJIRAN MNABWATA ILA MMEWASAIDIA NIN ZAID YA KWENDA KUZURURA NA SILAHA MNAWAACHIA WAASI
 
Mobutu did the same shit aliuza nchi kwa beberu ili apate protection, kilichofuata ni Congolese suffered and brutally murdered for decades
 
Wengine Hawa hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/bbcswahili/status/1894598316266029166?t=VKlUdLZfN45xg-KJzDAeJQ&s=19
 
unaowaita waasi ni Congolese, wajinga kama wewe na Tshesekedi na ukabila wenu ndio mwanzo wa vita, I hope mchapwe mpaka mtie akili
 
Ukraine hana choice, ni either akubali deal la dhulma kutoka kwa Trump ili apate protection au apoteze nchi kwa Putin, ila fascist Trump payback yake inamsubiri, ni zaidi ya mwehu huyu
Ndivyo na Felix Tchisekedi atakubali tena kajipeleka mwenyewe
 
Kabila anahusika 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…