Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What's the point?
Like they are going to give you half of the Congo Forest?Shape of things to come as we spread our influence by bagging the largest country in SADC and whole of SSA, actually second in Africa.
......And half of their womenLike they are going to give you half of the Congo Forest?
And you will give them half of your guys......And half of their women
Like they are going to give you half of the Congo Forest?
Kumbe kupeleka kdf Somalia kumeanza kulipa now kenya wameanza kupata ushawishi sasa wamepata bahati ya raisi mpuuzi zaidi wa drc
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa kawatembelea nyinyi wa kwanza angeitwa Messiah ila kwa kuwa anakanyaga kenya bila kutua Tz ndo kaitwa mpuuzi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Buda if ******** hapendi kenya ni yy pekee we got many head of states wenye wanapenda kenya Kuanzia rwanda to Ethiopia n btw mbna asikuje huku na tumeweka watu wengi wa congo huku wenye walikimbia kwao juu ya violence hata ka hawatusaidii kiuchumii tunawapenda tu wakiwa ma refugeesKumbe kupeleka kdf Somalia kumeanza kulipa now kenya wameanza kupata ushawishi sasa wamepata bahati ya raisi mpuuzi zaidi wa drc
Sent using Jamii Forums mobile app
Analysis ndogo kama hii hamwezi solve mlienda shule kufanya nini??????Shape of things to come as we spread our influence by bagging the largest country in SADC and whole of SSA, actually second in Africa.
Elimu haijakuweka huruBuda if ******** hapendi kenya ni yy pekee we got many head of states wenye wanapenda kenya Kuanzia rwanda to Ethiopia n btw mbna asikuje huku na tumeweka watu wengi wa congo huku wenye walikimbia kwao juu ya violence hata ka hawatusaidii kiuchumii tunawapenda tu wakiwa ma refugees
Sent using Jamii Forums mobile app
Analysis ndogo kama hii hamwezi solve mlienda shule kufanya nini??????
-kila mtu duniani anajua mshind wa uchaguzii ni Fayulu na siyo Tshishekedi for 62 percent
-Kabila amelazimisha Tsishekedi awe raisi wa DRC hili abaki DRC bila kesi yoyote na usumbufu toka kwa maadui zake wafuatao waliom sponsor Fayulu ili awe raisi:
1.Moise Katumbi Chapwe .
aliyekuwa gavana wa jimbo la Katanga ambaye alibambikizwa kesi na Kabila na kulazimishwa kukimbia DRC.Huyu ni mtu anayekubalika DRC na mliliki wa timu ya T.P .MZEMBE, na mgodi uliokuwa ukiitwa MSK.
-2Jean Pierre Bemba.
Huyu ni mtu toka north west jimbo la Equateur home boy wa Mobutu Seseseko mwenye nguvu west DRC aliyemsumbua Kabila uchaguzi wa 2006 na kutafutiwa kesi iliyomfunga ICC Holland na automatic kutokidhi matakwa ya tume ya uchagu(CENI).
Conclusion:
Kwakuwa kila mtu anajua raisi mpya ni pandikizi la Kabila isingekuwa vyema atembelee mara moja Tanzania ambayo ni second home ya Kabila alikoishi na kusomea mpaka kuondoka kwenda vita ya kumtoa Mobutu.Hii ingedhiilisha ukweli moja kwa moja kuwa yeye ni kibaraka wa kabila
Nope.... That huge landmass full of minerals requires aggressive thinkers.