Felix Tshishekedi- Marekani wanunue Madini ya DRC.

Felix Tshishekedi- Marekani wanunue Madini ya DRC.

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2021
Posts
587
Reaction score
800
Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo Mh Felix Tshisekedi amesema yupo tayari kufanya biashara halali ya madini moja kwa moja kutoka DRC na Marekani, Tshisekedi amesema DRC ndio mmiliki wa madini hayo kuliko kuyapata kwa tabu na ulanguzi kutoka Rwanda, aidha, Tshisekedi ametoa wito kwa jumuiya ya ulaya kufanya baishara halali yenye maslahi mazuri pande zote na nchi ya Congo.
 
Mleta mada na Tishekedi wote mwezi mchanga wachimbaji wa cobalt, coltan na madini tofauti tofauti DR wanajulikana na wametajwa China na Russia. anakoelekea ataliwa kichwa.
 
Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo Mh Felix Tshisekedi amesema yupo tayari kufanya biashara halali ya madini moja kwa moja kutoka DRC na Marekani, Tshisekedi amesema DRC ndio mmiliki wa madini hayo kuliko kuyapata kwa tabu na ulanguzi kutoka Rwanda, aidha, Tshisekedi ametoa wito kwa jumuiya ya ulaya kufanya baishara halali yenye maslahi mazuri pande zote na nchi ya Congo.
Hiyo haitawezekana
 
Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo Mh Felix Tshisekedi amesema yupo tayari kufanya biashara halali ya madini moja kwa moja kutoka DRC na Marekani, Tshisekedi amesema DRC ndio mmiliki wa madini hayo kuliko kuyapata kwa tabu na ulanguzi kutoka Rwanda, aidha, Tshisekedi ametoa wito kwa jumuiya ya ulaya kufanya baishara halali yenye maslahi mazuri pande zote na nchi ya Congo.
Inafikirisha watengeza magari ya umeme na ndio vinara huko usa
 
Na mziki pia waje batu ba nje kusaidia au mziki wanaweza Bakongolizi benyewe?
 
Na mziki pia waje batu ba nje kusaidia au mziki wanaweza Bakongolizi benyewe?
Chadi kashaalikwa kwenye party kumbuka ni wababe kwenye hii mambo wanauzoefu sana kwenye kuzima uasi lets wait and see jeshi lao limekuwa bize bize saana mara kule Mali mara kule Libya mara kule kaskazini ya Chadi wako vizuri hii mambo wanaiweza sana.Na uzuri wacongo wako kwenye jumuiya nyingi za utengamano kazi kwao kutafuta msaada wasife na tai shingoni wako central Africa ,wako EAC na wako SADC. Nadhani huku central ndio akina Chadi wanapotokea.
 
Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo Mh Felix Tshisekedi amesema yupo tayari kufanya biashara halali ya madini moja kwa moja kutoka DRC na Marekani, Tshisekedi amesema DRC ndio mmiliki wa madini hayo kuliko kuyapata kwa tabu na ulanguzi kutoka Rwanda, aidha, Tshisekedi ametoa wito kwa jumuiya ya ulaya kufanya baishara halali yenye maslahi mazuri pande zote na nchi ya Congo.
Good move..
 
Chadi kashaalikwa kwenye party kumbuka ni wababe kwenye hii mambo wanauzoefu sana kwenye kuzima uasi lets wait and see jeshi lao limekuwa bize bize saana mara kule Mali mara kule Libya mara kule kaskazini ya Chadi wako vizuri hii mambo wanaiweza sana.Na uzuri wacongo wako kwenye jumuiya nyingi za utengamano kazi kwao kutafuta msaada wasife na tai shingoni wako central Africa ,wako EAC na wako SADC. Nadhani huku central ndio akina Chadi wanapotokea.
Chadians wanaosumbuliwa na Boko Haram?! Na wamezoea Vita za Jangwani huko kwenye misitu ya Kongo na wao watatoka baruti tu.
 
1740431994073.png
 
Kuna boko haram Chad!?
Boko Haram, a violent Islamist insurgency, has terrorized communities around West Africa's Lake Chad Basin for years — creating new hardships and compounding existing ones for millions of people in northeast Nigeria, Cameroon, Chad and Niger, many of them still displaced and struggling to survive.
 
Boko Haram, a violent Islamist insurgency, has terrorized communities around West Africa's Lake Chad Basin for years — creating new hardships and compounding existing ones for millions of people in northeast Nigeria, Cameroon, Chad and Niger, many of them still displaced and struggling to survive.
Jiografia ya Chad imenitoka
 

Attachments

  • Screenshot_2025-02-25-00-38-38-345.jpg
    Screenshot_2025-02-25-00-38-38-345.jpg
    332.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom