Felix Tshishekedi- Marekani wanunue Madini ya DRC.

Felix Tshishekedi- Marekani wanunue Madini ya DRC.

Chadians wanaosumbuliwa na Boko Haram?! Na wamezoea Vita za Jangwani huko kwenye misitu ya Kongo na wao watatoka baruti tu.
Kwenye suala la Boko Haram, hilo ni kundi la kigaidi. Magaidi wanaweza sumbua nchi yoyote ile unayoijua duniani.

Kwenye suala la jangwani VS msituni uko sahihi.
 

Kwenye suala la Boko Haram, hilo ni kundi la kigaidi. Magaidi wanaweza sumbua nchi yoyote ile unayoijua duniani.

Kwenye suala la jangwani VS msituni uko sahihi.
Wataliwa sana vichwa huko Kongo ya Mashariki.
 
Back
Top Bottom