Feminism imewaongezea Wanawake mzigo mzito zaidi kuliko walivyotarajia

Feminism imewaongezea Wanawake mzigo mzito zaidi kuliko walivyotarajia

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Anaandika, Robert Heriel

Angalizo; lugha itakayotumika inaweza isiwe nzuri. Hivyo Kama ni mwepesi WA mihemko basi unashauriwa kuishia hapahapa. Endapo utaendelea kusoma, na ukapata madhara yoyote ya kihisia au kisaikolojia basi sitakuwa sehemu ya lawama.

Nafahamu ili familia ianguke basi Mama ndiye atakuwa wa Kwanza kuiangusha familia, najua jamii na taifa ili iaungike basi wanawake watakuwa wakwanza kuwa chanzo cha anguko Hilo.
Dini na vitabu vya dini kubwa vinaeleza namna Mwanamke alivyokuwa chanzo kikuu cha anguko la Dunia.

Mtu ni masikini alafu unaiga ufeminist Kama sio kutaka kujiingiza kwenye umalaya ni kitu gani. Kama sio kutaka kuzaazaa hovyo na wanaume wengi pasipo adabu ya kike ni nini.
Kuangalia filamu za Hollywood ndio udhani uyaonayo ni kweli?
Kupata hako kadegree Kako kamoja ndio ufikiri usomi ndio kutaka mambo ya kipuuzi?

Kwa mujibu Biblia, Feminist wa Kwanza kabisa alikuwa Eva/Hawa ambaye alitamani kufanana na MUNGU, yaani alitaka kumpiku mpaka Adamu mumewe. Shetani alitumia tamaa ya Hawa ya kutaka kumpindua Adamu tena ikiwezekana kufanana na Mungu, na ndipo Shetani anamuambia Hawa/Eva.

Mwanzo 3:4
Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3:5
kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

Shetani kamwe hawezi kukujaribu Kwa kitu ambacho sio tamaa yako. Hata Biblia inasema; Mtu hujaribiwa Kwa tamaa yake MWENYEWE.

Hata hivyo, Shida au changamoto Fulani inayokusibu huweza kutumiwa na Shetani kukujaribu.

Hawa/ Eva alikuwa amezidiwa Kwa mambo mengi na Adamu. Kumbuka Adamu ni mfano wa MUNGU, wakati Eva ni mfano wa Adamu.

Ufeminist wa Eva Kwa kutaka kumzidi Adamu tena ikiwezekana afanane na Mungu unageuka kuwa mzigo tofauti na vile alivyotarajia.

Kwanza haitokuja kuwezekana Mwanamke akawa Sawa na Mwanaume dunia ingalipo.

Hata huyo Lusifa aliyekuwa anamdanganya Eva ni ana-character ya kiume, huyo Mungu Mkuu ana-character ya kiume. Hivyo ni kusema vyovyote mwanamke atakavyochagua iwe upande wa Shetani au Mungu bado atajikuta anaongozwa na mfumo Dume.

Madhara ya ufeminist ndio yalifanya Adamu akafukuzwa pale Bustani ya Edeni.

Moja ya Madai ya ufeminizimu(feminism) ni mwanamke KUSIKILIZWA. Wakati kiroho hakuna kitu Kama hicho.
Mwanaume ndiye anasikilizwa anataka nini? Na sio mwanamke.

Kumsikiliza mwanamke ni kutaka maanguko tuu. Kwanza mwanamke akili yake haioni mbali, yeye anachotaka ni kutatua tatizo lililopo mbele yake tu.

Wanawake ni vipofu ambao kiongozi wao ni mwanaume.

Mungu anamshangaa Adamu Kwa kumsikiliza Mkewe, wakati Mungu alimuachia maagizo Adamu kuwa yeye ndiye kiongozi hivyo Oda zote zinatakiwa azitiishe kwenye Ile Bustani akiwepo huyo mwanamke. Yaani mwanamke naye amtii Adamu.

Mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;

Mwanamke hapaswi kusikilizwa, wengi mtapinga Kwa sababu hamna upeo wa kuona mbele, mnaongozwa na Mapenzi na hisia za kipuuzi mtadhani Taikon ninataka kukandamiza Dada na Mama zangu Jambo ambalo sio Kweli.

Ufeminist umeongezeka maradufu katika Zama hizi.
Wanawake wanataka kusikilizwa,
Wanawake wanataka utawala na mamlaka,
Wanawake wanataka kuongoza familia,
Wanawake wanataka kuvuja Kwa jasho,
Wanawake wanataka kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja,

Matokeo ya ufeminist ni mwanamke kuzaa Kwa uchungu, na sio kuzaa tuu Kule Kwa kuzaa watoto, Hasha Bali kupata matatizo yanayotia maumivu mioyo Yao.

Ufeminist umekuwa mzigo Kwa wanawake Kwa sababu

1. Kwa sasa Wanawake kuwapata ni rahisi yaani thamani Yao imeshuka

Yaani Kwa sasa unaweza hangaika kupata mayai ya Kuku WA kienyeji lakini kamwe huwezi hangaika kupata mwanamke WA kulala naye.

Hii inafanya wanawake wasiwe na laziada Kwa wanaume.

Zingatia kitu pekee ambacho mwanamke atamringishia Mwanaume ni Uchi wake tuu! Vingine vyote wanaume wanavyo tena kwa mbali na ubora maradufu.

2. Wanawake siku hizi wanamzigo wa Kulea watoto na familia
Ufeminist umeleta matokeo mabaya Kwa wanawake, kwani Kwa sasa baadhi Yao ndio wanahangaika wenyewe kutunza familia, jasho linawatoka hasa, wajibu ambao haukuwa wao.

Wanaume wengi Kwa Kupenda bwerere wanapigania Kwa makusudi ufeminist Kwa maslahi Yao hasa ya kibiashara huku wanawake wakimenyeka.

3. Ufeminist unadhalilisha uanamke
Siku hizi ni ngumu kuuona uchi wa Kondoo kuliko kuuona uchi wa Mwanamke. Yaani mwanaume kila ukikatiza unaona uchi ule pale, ukipita mitandaoni ule pale. Ufeminist umekuwa mzigo Kwa Dada zetu. Wanadhalilika hasa.

Ukipiga marufuku na kutoa adhabu Kwa wakala uchi, feminist watajitokeza kuwa unawanyima haki zao. Yaani haki ya mtu kujidhalilisha. Matokeo yake ni wanawake kutokuwa na mvuto Kwa wanaume, umalaya kuongezeka, single mother kuwa wengi n.k.

4. Wanawake kuzaa na Kulea watoto na mababa wengi Kama wanyama wengine.
Huenda isiwe lugha nzuri kwani labda ndugu au watu wangu wa karibu au hata binti zangu wanaweza kujikuta katika Hali hii. Lakini ukweli lazima tuuseme. Ufeminist umeongeza Kasi ya wanawake kuzaa na wanaume wengi. Sio ajabu kukuta Mwanamke kila mtoto anababa yake.

Huo ni mzigo na aibu Kwa mwanamke yeyote anayejua thamani ya mwanamke. Zingatia, thamani ya mwanamke ipo katika kujifunza. Yaani kile ambacho anacho ambacho anaweza kukitumia kama silaha Kwa mwanaume.

5. Mzigo wa kujitongozesha
Ufeminist umepelekea hatua wanawake wanapishana Kwa Masheikhe, waganga, wachungaji na manabii uchwara kisa kutafuta wanaume wa kuwaoa au hata kuishi nao. Kitu cha thamani hakiwezi kuhangaika hivyo, Bali Sisi wanaume ndio tulipaswa kwenda Kwa waganga kisa wanawake.

Kwa zamani mwanamke kamwe hawezi kwenda Kwa mganga ati kutafuta mvuto wa kupendwa na Wanaume. Labda akienda Kwa mganga ni kumuweka mumewe aliyemuoa kiganjani kuwa asione wanawake wengine.

6. Wanawake ku-share mapenzi pamoja na binti zao

Ufeminist umechangia pakubwa Wamama wengi ku-share penzi na binti yake Kwa mwanaume Fulani.

Mfano, Kwa mwanamke anayejitambua na Mwanamke kweli, kamwe hawezi kutoka kimapenzi na kijana aliyemzidi umri zaidi ya mitano au kumi. Achilia mbali mmama kutoka na kijana Mdogo Jambo ambalo mara nyingi husababisha Kijana kutoka na binti, Hali iñayopelekea mtu Kula kuku na mayai.

Mwanaume ndiye anauwezo wa kuoa mwanamke hata kama amemzidi miaka arobaini. Ni Sawa tuu.

7. Wanawake kujikuta katika biashara ya umalaya Jambo ambalo linaathiri thamani Yao
Kadiri biashara ya umalaya inavyoshamiri ndivyo umuhimu wa Ndoa unakosekana.
Kwa sehemu kubwa ndoa Kwa mwanaume ni tendo lenyewe. Mwanaume Kama anauhakika wa kupata tendo la ndoa muda autakao Kwa gharama nafuu hawezi kuona umuhimu wa Ndoa.

Nachelea kusema, Kama wanawake wakiamua Kwa pamoj kuweka mgomo wa miezi mitatu mfululizo wa kutokuwapa wanaume tendo la ndoa Kwa ambao hawajao basi ndoa nyingi zitatangazwa na wengi wataolewa. Hata hivyo kesi za ubakaji zitaripotiwa mahali mahali pia.

Niliwahi kusema mwanamke wakati mwingine kujiingiza katika utafutaji wa kubangaiza na kusaka tonge kunaweza kumuingiza kwenye umalaya.

Nipumzike sasa.
Nitacheza na yeyote kadiri anavyotaka tucheze.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Haya. Nawapa pole waathirika

Waathirika wengi ni ninyi wanawake kuliko wanaume.
Nshakuambia siku hizi ni ngumu kuuona uchi wa Mbuzi kuliko kuuona uchi wa Mwanamke.

Hata hivyo Feminism imechangia pia pakubwa ongezeko la Mashoga.
Zingatia Kwa zamani kwenye mfumo dume, Baba akisikia mtoto kaanza michezo hiyo atachukua jukumu la Kumuua huyo mtoto.

Lakini siku hizi watoto wengi wanalelewa na Mama, na wengi ndipo mashoga wanapotokea, ni ngumu Sana mtoto wa kiume aliyelelewa na Baba mwenye Mfumo dume kuwa na tabia za kike au kishoga.

Pole zaidi itawafikia wanaume wenye hadhi ya chini ambao wao bila kuwanyenyekea wanawake hawapati papuchi.
 
Wanawake siku hizi wanamzigo wa Kulea watoto na familia
Ufeminist umeleta matokeo mabaya Kwa wanawake, kwani Kwa sasa baadhi Yao ndio wanahangaika wenyewe kutunza familia, jasho linawatoka hasa, wajibu ambao haukuwa wao.

Wanaume wengi Kwa Kupenda bwerere wanapigania Kwa makusudi ufeminist Kwa maslahi Yao hasa ya kibiashara huku wanawake wakimenyeka.
😅😅😅😅ingaww kuna ukweli fulani kwenye hili.

Lakini huko vijijini toka zamani Mama ndiye anahangaika kulima kulea watoto wakati Baba ni mlevi na kazi yake kuoa wake wengi.

Haina tofauti sana.
 
Waathirika wengi ni ninyi wanawake kuliko wanaume.
Nshakuambia siku hizi ni ngumu kuuona uchi wa Mbuzi kuliko kuuona uchi wa Mwanamke.

Hata hivyo Feminism imechangia pia pakubwa ongezeko la Mashoga.
Zingatia Kwa zamani kwenye mfumo dume, Baba akisikia mtoto kaanza michezo hiyo atachukua jukumu la Kumuua huyo mtoto.

Lakini siku hizi watoto wengi wanalelewa na Mama, na wengi ndipo mashoga wanapotokea, ni ngumu Sana mtoto wa kiume aliyelelewa na Baba mwenye Mfumo dume kuwa na tabia za kike au kishoga.

Pole zaidi itawafikia wanaume wenye hadhi ya chini ambao wao bila kuwanyenyekea wanawake hawapati papuchi.
Kwa yote uliyoongea hapo ambayo ni ya ukweli kabisa bado sijaona mwanamke kaathirika vipi?
Inayoathirika ni jamii kwa ujumla.
 
😅😅😅😅ingaww kuna ukweli fulani kwenye hili.

Lakini huko vijijini toka zamani Mama ndiye anahangaika kulima kulea watoto wakati Baba ni mlevi na kazi yake kuoa wake wengi.

Haina tofauti sana.

Zamani kulikuwa na Division of Labour,
Hata kama Mwanaume hatakuwa anafanya kazi lakin tayari ameweka mazingira mfano anamashamba makubwa, anamifugo ambayo anawaachia Wake zake na watoto kuitunza ili wajipatie kipato.
Kwa upande wa Wavuvi wanaume ndio walikuwa wanaenda kuvua Samaki au Dagaa Kwa ajili ya chakula na biashara.
Huku Wengine wakienda kuwinda mawindo porini Kwa ajili ya familia.

Siku hizi Wanawake hawaandaliwi mazingira yoyote Yale na wanaume wengi.
Nyumba hawana,
Mashamba hawana,
Na hawawaletii pesa au hata Samaki, au mawindo, au mifugo.

Wanaume wengi WA siku hizi. Wamebweteka Kwa sababu Wanawake wamekuwa kama kuvuja Kwa pakacha.
Hali hii inawapa mzigo mzito kina Dada na Mama Kwa kuhangaika peke Yao pasipo msaada wowote wa mwanaume.
Hii inawafanya kujiingiza katika Kazi hatari na zakuzalilisha kama ukahaba Kwa wale ambao hawajasoma na hawana Ajira.

Zingatia jukumu la kufanya kazi Kwa jasho nilamwanaume.

Nafikiri sheria zingepitiwa tena upya na kufanyiwa maboresho Kwa ajili ya kuokoa jamii na taifa.

Hata hivyo Kwa vile Watawala au tabaka la juu Kwa sehemu kubwa hawaathiriki Sana na Hali inayoendelea sasa ndio maana unaona kuko kimya
 
Kwa yote uliyoongea hapo ambayo ni ya ukweli kabisa bado sijaona mwanamke kaathirika vipi?
Inayoathirika ni jamii kwa ujumla.

Ni Kwa sababu Wanawake hamna macho.
Ukitaka kujua mwanamke anaathirika vipi nenda pale ustawi WA jamii utajionea.

Au nenda Kwa waganga WA kienyeji,
Au nenda Kwa manabii wa upako,

Huwezi kuona kuna tatizo ukiwa ndani ya ndoa, au ukiwa unakazi inayokuingizia kipato.

Lakini wanawake ambao wako nje ya ndoa na hawana kazi au Ajira ya uhakika wanaweza kujua moja Kwa moja kipi nakisema hapa.

Siku hizi wanawake hata kupewa pesa imekuwa mtihani Kwa waliowengi. Jambo ambalo sio tuu linaonyesha kuwa hawapendwi na kujaliwa Bali pia linaonyesha kuwa hawana thamani inayotosha kutunzwa Kama kitu cha thamani.
Hiyo pekeake ingekuonyesha kuwa nini nazungumzia
 
Back
Top Bottom