Feminism imewaongezea Wanawake mzigo mzito zaidi kuliko walivyotarajia

Feminism imewaongezea Wanawake mzigo mzito zaidi kuliko walivyotarajia

Kwa yote uliyoongea hapo ambayo ni ya ukweli kabisa bado sijaona mwanamke kaathirika vipi?
Inayoathirika ni jamii kwa ujumla.


Ni Kwa sababu Wanawake hamna macho.
Ukitaka kujua mwanamke anaathirika vipi nenda pale ustawi WA jamii utajionea.

Au nenda Kwa waganga WA kienyeji,
Au nenda Kwa manabii wa upako,

Huwezi kuona kuna tatizo ukiwa ndani ya ndoa, au ukiwa unakazi inayokuingizia kipato.

Lakini wanawake ambao wako nje ya ndoa na hawana kazi au Ajira ya uhakika wanaweza kujua moja Kwa moja kipi nakisema hapa.

Siku hizi wanawake hata kupewa pesa imekuwa mtihani Kwa waliowengi. Jambo ambalo sio tuu linaonyesha kuwa hawapendwi na kujaliwa Bali pia linaonyesha kuwa hawana thamani inayotosha kutunzwa Kama kitu cha thamani.
Hiyo pekeake ingekuonyesha kuwa nini nazungumzia[/QUOTE
 
Waathirika wengi ni ninyi wanawake kuliko wanaume.
Nshakuambia siku hizi ni ngumu kuuona uchi wa Mbuzi kuliko kuuona uchi wa Mwanamke.

Hata hivyo Feminism imechangia pia pakubwa ongezeko la Mashoga.
Zingatia Kwa zamani kwenye mfumo dume, Baba akisikia mtoto kaanza michezo hiyo atachukua jukumu la Kumuua huyo mtoto.

Lakini siku hizi watoto wengi wanalelewa na Mama, na wengi ndipo mashoga wanapotokea, ni ngumu Sana mtoto wa kiume aliyelelewa na Baba mwenye Mfumo dume kuwa na tabia za kike au kishoga.

Pole zaidi itawafikia wanaume wenye hadhi ya chini ambao wao bila kuwanyenyekea wanawake hawapati papuchi.
Unaijua mkuu masculinity vizuri?. Hiv mwanaume kugoma kulia hata kama roho inamuuma unadhan ni kawaida?.
Masculinity ndio hiyo hiyo inayoplekea mwanaume kufa miaka 5 kabla ya mkewe
 
Kipi kifanyike ndugu mtaalamu

Cha Kwanza ni hiki ninachokifanya,
Kuchochea Awareness Kwa wanaume hasa Vijana waliozaliwa miaka ya 90 mpaka hivi leo. Zamani Vijana walipelekwa jando hivyo walikuwa na Uelewa na kujitambua. Siku hizi hayo mambo hakuna, ndio maana utakuta watu wachache Kama Mimi wakizungumzia mambo haya ili kulinda na kuhifadhi jamii.

Hatua ya pili ni kuacha maamuzi ya kijana aamue afuate mfumo upi atakaoona unamfaa, Kwa sababu sio lazima. Achague Mfumo dume au jike.
Na wengi watachagua mfumo jike ili kukimbia majukumu ya Mwanaume.
Ndio maana sio ajabu kuona Wanaume wakitetea mfumo jike Kwa sababu wengi wanamtazamo wa umarioo, ushoga, Kupenda Ganda la ndizi n.k
 
Man mascular Ina tabu zake. Ukiikagua vizur utagundua Hilo. Hata ukikagua vizur matatizo ya afya kama STD's - CDs yanatoa idad kubw y wagonjwa katika Chanel hizo

Uanaume ndio huo sasa.
Kula Kwa jasho,
Kupigana Kura kupona,
Kumenyeka
Kujitoa kafara Kwa ajili ya familia na taifa,
Mwanaume haogopi kufa ikiwa ni Kwa maslahi ya familia na taifa lake. Ikiwa ataacha mke na watoto pazuri mwanaume hapaswi kuogopa mambo hayo.

Tabia za siku hizi za kike za kutaka mwanaume ajitunze kama mwanamke ndio zinachochea umario, ushoga, kuwa kibenten, n.k.

Huo ni mfumo jike ambao ili mtu awe nao lazima awe na tabia za Kike au apandikizwe tabia za kike
 
Anaandika, Robert Heriel

Angalizo; lugha itakayotumika inaweza isiwe nzuri. Hivyo Kama ni mwepesi WA mihemko basi unashauriwa kuishia hapahapa. Endapo utaendelea kusoma, na ukapata madhara yoyote ya kihisia au kisaikolojia basi sitakuwa sehemu ya lawama.
Ndio maana wameamua kutafuta pesa zao wenyewe na hawataki kuolewa na walioolewa wanataka taraka kwa sababu hawataki upuuzi wa mfumo dume wa kutumikishwa na kupekeshwa kwakisingizio cha kuolewa 😆😆
 
Kwa yote uliyoongea hapo ambayo ni ya ukweli kabisa bado sijaona mwanamke kaathirika vipi?
Inayoathirika ni jamii kwa ujumla.

Alafu kumbe hujajua, mwanamke ndio jamii yenyewe.
Ndio maana sheria za Kidini na kiutamaduni karibu dunia nzima zinamdhibiri na kumlinda yeye kuliko mwanaume.

Mwanamke ndiye kiwanda cha Dunia.
Yeye ndiye anaweza kuzalisha products nzuri au Mbaya.

Ndio maana hata ukiona mtoto akifanya vizuri watu husema limebarikiwa tumbo lililombeba mtoto huyo.
Lakini kama mtoto amekuwa na negative impacts basi watasema tumbo lililombeba linalaana.

Hata hivyo wanawake waliofunzwa wakafunzika huchagua wanaume Bora wakuwapa watoto ili kupata mbegu na kizazi Bora.
Na Hilo sio tuu Kwa binadamu hata Kwa Wanyama na viumbe wengine
 
Alafu kumbe hujajua, mwanamke ndio jamii yenyewe.
Ndio maana sheria za Kidini na kiutamaduni karibu dunia nzima zinamdhibiri na kumlinda yeye kuliko mwanaume.

Mwanamke ndiye kiwanda cha Dunia.
Yeye ndiye anaweza kuzalisha products nzuri au Mbaya.

Ndio maana hata ukiona mtoto akifanya vizuri watu husema limebarikiwa tumbo lililombeba mtoto huyo.
Lakini kama mtoto amekuwa na negative impacts basi watasema tumbo lililombeba linalaana.

Hata hivyo wanawake waliofunzwa wakafunzika huchagua wanaume Bora wakuwapa watoto ili kupata mbegu na kizazi Bora.
Na Hilo sio tuu Kwa binadamu hata Kwa Wanyama na viumbe wengine
Haya pole kwa jamii
 
Ndio maana wameamua kutafuta pesa zao wenyewe na hawataki kuolewa na walioolewa wanataka taraka kwa sababu hawataki upuuzi wa mfumo dume wa kutumikishwa na kupekeshwa kwakisingizio cha kuolewa 😆😆

Hakuna mwanamke asiyetaka Ndoa.
Kinachotokea ni kuwa wengi wanaingia ndoani Kwa shinikizo Fulani labda la umri, jamii au umasikini.

Ila wanaume waliowengi ndio hawataki ndoa amini nakuambia.
Hakuna mwanaume hata mmoja ambaye ataenda kuombewa ili apate Mke, lakini yapo mamilioni ya wanawake wanaofunga na kuomba Kwa ajili ya kutaka kuolewa.

Wanawake wanataka mfumo jike lakini mfumo huo hau-apply ndani ya ndoa.

Mke anamahitaji yake, na siku zote nahitaji ya Mke hutimizwa na Mwanaume mwenye Mfumo Dume.
Sasa hao unaowaona wanadai talaka ni Kwa sababu wanakutana na wanaume wanaotumia mfumo jike.
Hawatunzi familia, kazi Kupenda Kitonga, hawajui nini mwanamke anahitaji, unategemea mwanamke atafanya nini kama sio kuomba talaka?
 
Haya pole kwa jamii

Ili unielewe Mimi itakupasa uwe na milango Saba ya fahamu.
Uwe na macho ya kuweza kuona mwisho kabla ya Mwanzo.

Familia inayoongozwa kifeminist matokeo yake hujidhihirisha miaka ya mbele zaidi.
Kwanza kamwe hawawezi kuwa Wamoja.
Kumbuka Mwanamke au mama hawezi kuleta umoja ndani ya familia bila ya Kiongozi/Baba.

Wanasema Kondoo wasio na mchungaji lazima watawanyike.
Chain of command inaanzia Kwa Baba, na Hilo lisipofanyika matokeo yake yatajibu uzeeni.

Sio ajabu watoto kutokuwa na umoja na kushindwa kusaidia wazazi wao kipindi wakiwa wazee
 
Na umesahau kupachika mentality yao ya U-Single mother hadi wana magroup yao ya whatsapp ..kama utabahatika ukaingia humo kwa kazi maalumu ya kufanya research ndio utaamini hawa viumbe tunawahitaji kwa ajili ya kuendeleza generation ila upstairs hawatakiwi kuongea neno lolote mbele ya jamii maana ni threat kwa ustawi wa dunia kama sehemu salama kuishi.
 
Hakuna mwanamke asiyetaka Ndoa.
Kinachotokea ni kuwa wengi wanaingia ndoani Kwa shinikizo Fulani labda la umri, jamii au umasikini.

Ila wanaume waliowengi ndio hawataki ndoa amini nakuambia.
Hakuna mwanaume hata mmoja ambaye ataenda kuombewa ili apate Mke, lakini yapo mamilioni ya wanawake wanaofunga na kuomba Kwa ajili ya kutaka kuolewa.

Wanawake wanataka mfumo jike lakini mfumo huo hau-apply ndani ya ndoa.

Mke anamahitaji yake, na siku zote nahitaji ya Mke hutimizwa na Mwanaume mwenye Mfumo Dume.
Sasa hao unaowaona wanadai talaka ni Kwa sababu wanakutana na wanaume wanaotumia mfumo jike.
Hawatunzi familia, kazi Kupenda Kitonga, hawajui nini mwanamke anahitaji, unategemea mwanamke atafanya nini kama sio kuomba talaka?
Hao mamilioni unaowataja wanatafuta ndoa ni wale maskini na wasio na elimu..

Wenye elimu hawataki huo ujinga tena sio swala la kuamini bali ni swala la kuona uhalisia ndio maana wanaomba talaka na sio wanaume wakiomba talaka..

Mwisho wanaolalamika na kujiua kwa kutengwa ni wanaume zaidi kuliko Wanawake,wanaokuwa mashoga ni wanaume na sio wanawake kutamani kuwa Wanaume..

Mpaka hapo utaona wenye uhitaji na wanaopata hizo tabu ni wanaume kuliko wanawake..
 
Hao mamilioni unaowataja wanatafuta ndoa ni wale maskini na wasio na elimu..

Wenye elimu hawataki huo ujinga tena sio swala la kuamini bali ni swala la kuona uhalisia ndio maana wanaomba talaka na sio wanaume wakiomba talaka..

Mwisho wanaolalamika na kujiua kwa kutengwa ni wanaume zaidi kuliko Wanawake,wanaokuwa mashoga ni wanaume na sio wanawake kutamani kuwa Wanaume..

Mpaka hapo utaona wenye uhitaji na wanaopata hizo tabu ni wanaume kuliko wanawake..

Kwa bahati nzuri nipo karibu na wanawake wenye vipato vya uhakika na wasomi tRNA wenye exposure sio ya ndani ya nchi tuu Bali wengi wao wameishi nchi zilizoendelea.
Wote wanahitaji Ndoa.

Usichokielewa ni kuwa, ukiona mwanamke anasema hataki ndoa ni kutokana na kuumizwa kihisia, hivyo moja Kwa moja kisaikolojia hayupo Fit.

Tofautisha Wagonjwa wa kisaikolojia na binadamu KAMILI.

Wanaume wanaojiua wengi ni Wale wenye falsafa za mfumo jike/ufeminist.
Sijui hata Kama unaelewa hapa kinachozungumziwa.

Mtu anaweza kuwa Mwanaume lakini akapenda akawa Feminist, yaani Software Yale ni Jike, alafu Motherboard ikawa ni dume.

Husikii wanaume wanaolia lia siku hizi, huo ndio ufeminist wenyewe.
Lakini nenda ustawi WA jamii ukajionee Nani Kati ya mwanaume na Mwanamke anayelia Lia na kupata shida,
Au nenda Kwa manabii wakupe Data.
Au wewe jigeuza mganga hata Kwa mwezi mmoja alafu ulete hapa Data
 
Back
Top Bottom