Feminism imewaongezea Wanawake mzigo mzito zaidi kuliko walivyotarajia

Feminism imewaongezea Wanawake mzigo mzito zaidi kuliko walivyotarajia

Anaandika, Robert Heriel

Angalizo; lugha itakayotumika inaweza isiwe nzuri. Hivyo Kama ni mwepesi WA mihemko basi unashauriwa kuishia hapahapa. Endapo utaendelea kusoma, na ukapata madhara yoyote ya kihisia au kisaikolojia basi sitakuwa sehemu ya lawama.

Nafahamu ili familia ianguke basi Mama ndiye atakuwa wa Kwanza kuiangusha familia, najua jamii na taifa ili iaungike basi wanawake watakuwa wakwanza kuwa chanzo cha anguko Hilo.
Dini na vitabu vya dini kubwa vinaeleza namna Mwanamke alivyokuwa chanzo kikuu cha anguko la Dunia.

Mtu ni masikini alafu unaiga ufeminist Kama sio kutaka kujiingiza kwenye umalaya ni kitu gani. Kama sio kutaka kuzaazaa hovyo na wanaume wengi pasipo adabu ya kike ni nini.
Kuangalia filamu za Hollywood ndio udhani uyaonayo ni kweli?
Kupata hako kadegree Kako kamoja ndio ufikiri usomi ndio kutaka mambo ya kipuuzi?

Kwa mujibu Biblia, Feminist wa Kwanza kabisa alikuwa Eva/Hawa ambaye alitamani kufanana na MUNGU, yaani alitaka kumpiku mpaka Adamu mumewe. Shetani alitumia tamaa ya Hawa ya kutaka kumpindua Adamu tena ikiwezekana kufanana na Mungu, na ndipo Shetani anamuambia Hawa/Eva.

Mwanzo 3:4
Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3:5
kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

Shetani kamwe hawezi kukujaribu Kwa kitu ambacho sio tamaa yako. Hata Biblia inasema; Mtu hujaribiwa Kwa tamaa yake MWENYEWE.

Hata hivyo, Shida au changamoto Fulani inayokusibu huweza kutumiwa na Shetani kukujaribu.

Hawa/ Eva alikuwa amezidiwa Kwa mambo mengi na Adamu. Kumbuka Adamu ni mfano wa MUNGU, wakati Eva ni mfano wa Adamu.

Ufeminist wa Eva Kwa kutaka kumzidi Adamu tena ikiwezekana afanane na Mungu unageuka kuwa mzigo tofauti na vile alivyotarajia.

Kwanza haitokuja kuwezekana Mwanamke akawa Sawa na Mwanaume dunia ingalipo.

Hata huyo Lusifa aliyekuwa anamdanganya Eva ni ana-character ya kiume, huyo Mungu Mkuu ana-character ya kiume. Hivyo ni kusema vyovyote mwanamke atakavyochagua iwe upande wa Shetani au Mungu bado atajikuta anaongozwa na mfumo Dume.

Madhara ya ufeminist ndio yalifanya Adamu akafukuzwa pale Bustani ya Edeni.

Moja ya Madai ya ufeminizimu(feminism) ni mwanamke KUSIKILIZWA. Wakati kiroho hakuna kitu Kama hicho.
Mwanaume ndiye anasikilizwa anataka nini? Na sio mwanamke.

Kumsikiliza mwanamke ni kutaka maanguko tuu. Kwanza mwanamke akili yake haioni mbali, yeye anachotaka ni kutatua tatizo lililopo mbele yake tu.

Wanawake ni vipofu ambao kiongozi wao ni mwanaume.

Mungu anamshangaa Adamu Kwa kumsikiliza Mkewe, wakati Mungu alimuachia maagizo Adamu kuwa yeye ndiye kiongozi hivyo Oda zote zinatakiwa azitiishe kwenye Ile Bustani akiwepo huyo mwanamke. Yaani mwanamke naye amtii Adamu.

Mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;

Mwanamke hapaswi kusikilizwa, wengi mtapinga Kwa sababu hamna upeo wa kuona mbele, mnaongozwa na Mapenzi na hisia za kipuuzi mtadhani Taikon ninataka kukandamiza Dada na Mama zangu Jambo ambalo sio Kweli.

Ufeminist umeongezeka maradufu katika Zama hizi.
Wanawake wanataka kusikilizwa,
Wanawake wanataka utawala na mamlaka,
Wanawake wanataka kuongoza familia,
Wanawake wanataka kuvuja Kwa jasho,
Wanawake wanataka kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja,

Matokeo ya ufeminist ni mwanamke kuzaa Kwa uchungu, na sio kuzaa tuu Kule Kwa kuzaa watoto, Hasha Bali kupata matatizo yanayotia maumivu mioyo Yao.

Ufeminist umekuwa mzigo Kwa wanawake Kwa sababu

1. Kwa sasa Wanawake kuwapata ni rahisi yaani thamani Yao imeshuka
Yaani Kwa sasa unaweza hangaika kupata mayai ya Kuku WA kienyeji lakini kamwe huwezi hangaika kupata mwanamke WA kulala naye.

Hii inafanya wanawake wasiwe na laziada Kwa wanaume.

Zingatia kitu pekee ambacho mwanamke atamringishia Mwanaume ni Uchi wake tuu! Vingine vyote wanaume wanavyo tena kwa mbali na ubora maradufu.

2. Wanawake siku hizi wanamzigo wa Kulea watoto na familia
Ufeminist umeleta matokeo mabaya Kwa wanawake, kwani Kwa sasa baadhi Yao ndio wanahangaika wenyewe kutunza familia, jasho linawatoka hasa, wajibu ambao haukuwa wao.

Wanaume wengi Kwa Kupenda bwerere wanapigania Kwa makusudi ufeminist Kwa maslahi Yao hasa ya kibiashara huku wanawake wakimenyeka.

3. Ufeminist unadhalilisha uanamke
Siku hizi ni ngumu kuuona uchi wa Kondoo kuliko kuuona uchi wa Mwanamke. Yaani mwanaume kila ukikatiza unaona uchi ule pale, ukipita mitandaoni ule pale. Ufeminist umekuwa mzigo Kwa Dada zetu. Wanadhalilika hasa.

Ukipiga marufuku na kutoa adhabu Kwa wakala uchi, feminist watajitokeza kuwa unawanyima haki zao. Yaani haki ya mtu kujidhalilisha. Matokeo yake ni wanawake kutokuwa na mvuto Kwa wanaume, umalaya kuongezeka, single mother kuwa wengi n.k.

4. Wanawake kuzaa na Kulea watoto na mababa wengi Kama wanyama wengine.
Huenda isiwe lugha nzuri kwani labda ndugu au watu wangu wa karibu au hata binti zangu wanaweza kujikuta katika Hali hii. Lakini ukweli lazima tuuseme. Ufeminist umeongeza Kasi ya wanawake kuzaa na wanaume wengi. Sio ajabu kukuta Mwanamke kila mtoto anababa yake.

Huo ni mzigo na aibu Kwa mwanamke yeyote anayejua thamani ya mwanamke. Zingatia, thamani ya mwanamke ipo katika kujifunza. Yaani kile ambacho anacho ambacho anaweza kukitumia kama silaha Kwa mwanaume.

5. Mzigo wa kujitongozesha
Ufeminist umepelekea hatua wanawake wanapishana Kwa Masheikhe, waganga, wachungaji na manabii uchwara kisa kutafuta wanaume wa kuwaoa au hata kuishi nao. Kitu cha thamani hakiwezi kuhangaika hivyo, Bali Sisi wanaume ndio tulipaswa kwenda Kwa waganga kisa wanawake.

Kwa zamani mwanamke kamwe hawezi kwenda Kwa mganga ati kutafuta mvuto wa kupendwa na Wanaume. Labda akienda Kwa mganga ni kumuweka mumewe aliyemuoa kiganjani kuwa asione wanawake wengine.

6. Wanawake ku-share mapenzi pamoja na binti zao
Ufeminist umechangia pakubwa Wamama wengi ku-share penzi na binti yake Kwa mwanaume Fulani.

Mfano, Kwa mwanamke anayejitambua na Mwanamke kweli, kamwe hawezi kutoka kimapenzi na kijana aliyemzidi umri zaidi ya mitano au kumi. Achilia mbali mmama kutoka na kijana Mdogo Jambo ambalo mara nyingi husababisha Kijana kutoka na binti, Hali iñayopelekea mtu Kula kuku na mayai.

Mwanaume ndiye anauwezo wa kuoa mwanamke hata kama amemzidi miaka arobaini. Ni Sawa tuu.

7. Wanawake kujikuta katika biashara ya umalaya Jambo ambalo linaathiri thamani Yao
Kadiri biashara ya umalaya inavyoshamiri ndivyo umuhimu wa Ndoa unakosekana.
Kwa sehemu kubwa ndoa Kwa mwanaume ni tendo lenyewe. Mwanaume Kama anauhakika wa kupata tendo la ndoa muda autakao Kwa gharama nafuu hawezi kuona umuhimu wa Ndoa.

Nachelea kusema, Kama wanawake wakiamua Kwa pamoj kuweka mgomo wa miezi mitatu mfululizo wa kutokuwapa wanaume tendo la ndoa Kwa ambao hawajao basi ndoa nyingi zitatangazwa na wengi wataolewa. Hata hivyo kesi za ubakaji zitaripotiwa mahali mahali pia.

Niliwahi kusema mwanamke wakati mwingine kujiingiza katika utafutaji wa kubangaiza na kusaka tonge kunaweza kumuingiza kwenye umalaya.

Nipumzike sasa.
Nitacheza na yeyote kadiri anavyotaka tucheze.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Wewe mshamba tu umeshindwa kwenye SikilizaTogo......sijui upumbavu gani
 
Ili usinielewe itakupasa uwe na akili ndogo Sana, au uwe na akili za kike zilizoumizwa.

Wengi hunielewa mwishoni, ninachofanya hapa ni kwaajili ya Vijana wadogo ambao wengi hamkupelekwa jando, na hamna akili za Kiume
Ndo akili zako zinavyokutuma ukipewa makavu laivu bila chenga......
 
Ufemnist Kwa wengi ni ule mtazamo wa mwanamke awe Sawa na Mwanaume tena ikiwezekana zaidi yake. Sio ajabu ukisikia watu wakisema Nani Kama Mama.
Ufemnist upo wa Aina mbili kulingana na Visakale vya Kidini.
1. Ufeminist wa Lilith
2. Ufeminist wa Eva/Hawa.

1. Ufeminist wa Lilith
Ni ule wa moja Kwa moja(wa dhahiri) wa mwanamke kukataa kutawaliwa na Mwanamke kabisa.

2. Ufeminist wa Eve/Hawa.
Ni ule ambao upo Kwa kificho, indirect way.
Yaani mwanamke anaratibu mambo yake kisiri huko ili ampindue mwanaume alafu ikishindikana ndio anakuletea matatizo yake.
Mfano, Mwanamke anaweza kuingia kwenye mchezo Fulani wa vikoba Kwa Siri au akawa anafanya biashara Kwa Siri bila kukushirkisha alafu yakimshinda ndio anakuletea matatizo Kwa namna ya kujiliza Liza.

Hawa/ Eva wakati anakula mchongo wa kufanana na Mungu akiwa na Nyoka ilikuwa ni Siri. Alitaka kumzidi mpaka Adamu mumewe, alivyokula tunda akaona hakuna matokeo mazuri ndio akaona ule sasa ni msala.
Akarudi Kwa mumewe na kumbembeleza wale Yale matunda waliokatazwa wasiyale,
Wakati anamuambia hivyo Adamu kumbuka hakumuambia kilichotokea kuwa amedanganywa na nyoka huko bustanini.

Adamu Kwa upendo akaamua kusikiliza sauti ya mkewe. Yaani Akauza mamlaka yake kisa upendo alionao Kwa mkewe.
Bila kujua mkewe alikuwa anataka kumpindua.

Ufeminist agenda yake ya nje ni kupigania haki za wanawake Jambo ambalo ni sahihi Kabisa.
Lakini agenda ya ndani ndio mbaya zaidi ambayo ni kumpoka Mwanaume Mamlaka yake.

Na Hilo kamwe halitowezekana,
Kwa sababu Dunia hii inaongozwa na Wanaume, na falme za kiroho zinaongozwa Kwa character ya kiume.
Lusifa pamoja na Mungu Wana Character ya Kiume.

Hivyo Lusifa anatumia ufeminist kama alivyoutumia zamani kuzidi kuutawala ulimwengu.

Kwa kifupi ni kuwa Mwanamke anatumika kama toilet paper kutimiza majukumu ya Mfumo dume WA kishetani na kuuacha mfumo dume wa kiungu
Upo deep sana mkuu
 
Anaandika, Robert Heriel

Angalizo; lugha itakayotumika inaweza isiwe nzuri. Hivyo Kama ni mwepesi WA mihemko basi unashauriwa kuishia hapahapa. Endapo utaendelea kusoma, na ukapata madhara yoyote ya kihisia au kisaikolojia basi sitakuwa sehemu ya lawama.

Nafahamu ili familia ianguke basi Mama ndiye atakuwa wa Kwanza kuiangusha familia, najua jamii na taifa ili iaungike basi wanawake watakuwa wakwanza kuwa chanzo cha anguko Hilo.
Dini na vitabu vya dini kubwa vinaeleza namna Mwanamke alivyokuwa chanzo kikuu cha anguko la Dunia.

Mtu ni masikini alafu unaiga ufeminist Kama sio kutaka kujiingiza kwenye umalaya ni kitu gani. Kama sio kutaka kuzaazaa hovyo na wanaume wengi pasipo adabu ya kike ni nini.
Kuangalia filamu za Hollywood ndio udhani uyaonayo ni kweli?
Kupata hako kadegree Kako kamoja ndio ufikiri usomi ndio kutaka mambo ya kipuuzi?

Kwa mujibu Biblia, Feminist wa Kwanza kabisa alikuwa Eva/Hawa ambaye alitamani kufanana na MUNGU, yaani alitaka kumpiku mpaka Adamu mumewe. Shetani alitumia tamaa ya Hawa ya kutaka kumpindua Adamu tena ikiwezekana kufanana na Mungu, na ndipo Shetani anamuambia Hawa/Eva.

Mwanzo 3:4
Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3:5
kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

Shetani kamwe hawezi kukujaribu Kwa kitu ambacho sio tamaa yako. Hata Biblia inasema; Mtu hujaribiwa Kwa tamaa yake MWENYEWE.

Hata hivyo, Shida au changamoto Fulani inayokusibu huweza kutumiwa na Shetani kukujaribu.

Hawa/ Eva alikuwa amezidiwa Kwa mambo mengi na Adamu. Kumbuka Adamu ni mfano wa MUNGU, wakati Eva ni mfano wa Adamu.

Ufeminist wa Eva Kwa kutaka kumzidi Adamu tena ikiwezekana afanane na Mungu unageuka kuwa mzigo tofauti na vile alivyotarajia.

Kwanza haitokuja kuwezekana Mwanamke akawa Sawa na Mwanaume dunia ingalipo.

Hata huyo Lusifa aliyekuwa anamdanganya Eva ni ana-character ya kiume, huyo Mungu Mkuu ana-character ya kiume. Hivyo ni kusema vyovyote mwanamke atakavyochagua iwe upande wa Shetani au Mungu bado atajikuta anaongozwa na mfumo Dume.

Madhara ya ufeminist ndio yalifanya Adamu akafukuzwa pale Bustani ya Edeni.

Moja ya Madai ya ufeminizimu(feminism) ni mwanamke KUSIKILIZWA. Wakati kiroho hakuna kitu Kama hicho.
Mwanaume ndiye anasikilizwa anataka nini? Na sio mwanamke.

Kumsikiliza mwanamke ni kutaka maanguko tuu. Kwanza mwanamke akili yake haioni mbali, yeye anachotaka ni kutatua tatizo lililopo mbele yake tu.

Wanawake ni vipofu ambao kiongozi wao ni mwanaume.

Mungu anamshangaa Adamu Kwa kumsikiliza Mkewe, wakati Mungu alimuachia maagizo Adamu kuwa yeye ndiye kiongozi hivyo Oda zote zinatakiwa azitiishe kwenye Ile Bustani akiwepo huyo mwanamke. Yaani mwanamke naye amtii Adamu.

Mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;

Mwanamke hapaswi kusikilizwa, wengi mtapinga Kwa sababu hamna upeo wa kuona mbele, mnaongozwa na Mapenzi na hisia za kipuuzi mtadhani Taikon ninataka kukandamiza Dada na Mama zangu Jambo ambalo sio Kweli.

Ufeminist umeongezeka maradufu katika Zama hizi.
Wanawake wanataka kusikilizwa,
Wanawake wanataka utawala na mamlaka,
Wanawake wanataka kuongoza familia,
Wanawake wanataka kuvuja Kwa jasho,
Wanawake wanataka kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja,

Matokeo ya ufeminist ni mwanamke kuzaa Kwa uchungu, na sio kuzaa tuu Kule Kwa kuzaa watoto, Hasha Bali kupata matatizo yanayotia maumivu mioyo Yao.

Ufeminist umekuwa mzigo Kwa wanawake Kwa sababu

1. Kwa sasa Wanawake kuwapata ni rahisi yaani thamani Yao imeshuka

Yaani Kwa sasa unaweza hangaika kupata mayai ya Kuku WA kienyeji lakini kamwe huwezi hangaika kupata mwanamke WA kulala naye.

Hii inafanya wanawake wasiwe na laziada Kwa wanaume.

Zingatia kitu pekee ambacho mwanamke atamringishia Mwanaume ni Uchi wake tuu! Vingine vyote wanaume wanavyo tena kwa mbali na ubora maradufu.

2. Wanawake siku hizi wanamzigo wa Kulea watoto na familia
Ufeminist umeleta matokeo mabaya Kwa wanawake, kwani Kwa sasa baadhi Yao ndio wanahangaika wenyewe kutunza familia, jasho linawatoka hasa, wajibu ambao haukuwa wao.

Wanaume wengi Kwa Kupenda bwerere wanapigania Kwa makusudi ufeminist Kwa maslahi Yao hasa ya kibiashara huku wanawake wakimenyeka.

3. Ufeminist unadhalilisha uanamke
Siku hizi ni ngumu kuuona uchi wa Kondoo kuliko kuuona uchi wa Mwanamke. Yaani mwanaume kila ukikatiza unaona uchi ule pale, ukipita mitandaoni ule pale. Ufeminist umekuwa mzigo Kwa Dada zetu. Wanadhalilika hasa.

Ukipiga marufuku na kutoa adhabu Kwa wakala uchi, feminist watajitokeza kuwa unawanyima haki zao. Yaani haki ya mtu kujidhalilisha. Matokeo yake ni wanawake kutokuwa na mvuto Kwa wanaume, umalaya kuongezeka, single mother kuwa wengi n.k.

4. Wanawake kuzaa na Kulea watoto na mababa wengi Kama wanyama wengine.
Huenda isiwe lugha nzuri kwani labda ndugu au watu wangu wa karibu au hata binti zangu wanaweza kujikuta katika Hali hii. Lakini ukweli lazima tuuseme. Ufeminist umeongeza Kasi ya wanawake kuzaa na wanaume wengi. Sio ajabu kukuta Mwanamke kila mtoto anababa yake.

Huo ni mzigo na aibu Kwa mwanamke yeyote anayejua thamani ya mwanamke. Zingatia, thamani ya mwanamke ipo katika kujifunza. Yaani kile ambacho anacho ambacho anaweza kukitumia kama silaha Kwa mwanaume.

5. Mzigo wa kujitongozesha
Ufeminist umepelekea hatua wanawake wanapishana Kwa Masheikhe, waganga, wachungaji na manabii uchwara kisa kutafuta wanaume wa kuwaoa au hata kuishi nao. Kitu cha thamani hakiwezi kuhangaika hivyo, Bali Sisi wanaume ndio tulipaswa kwenda Kwa waganga kisa wanawake.

Kwa zamani mwanamke kamwe hawezi kwenda Kwa mganga ati kutafuta mvuto wa kupendwa na Wanaume. Labda akienda Kwa mganga ni kumuweka mumewe aliyemuoa kiganjani kuwa asione wanawake wengine.

6. Wanawake ku-share mapenzi pamoja na binti zao

Ufeminist umechangia pakubwa Wamama wengi ku-share penzi na binti yake Kwa mwanaume Fulani.

Mfano, Kwa mwanamke anayejitambua na Mwanamke kweli, kamwe hawezi kutoka kimapenzi na kijana aliyemzidi umri zaidi ya mitano au kumi. Achilia mbali mmama kutoka na kijana Mdogo Jambo ambalo mara nyingi husababisha Kijana kutoka na binti, Hali iñayopelekea mtu Kula kuku na mayai.

Mwanaume ndiye anauwezo wa kuoa mwanamke hata kama amemzidi miaka arobaini. Ni Sawa tuu.

7. Wanawake kujikuta katika biashara ya umalaya Jambo ambalo linaathiri thamani Yao
Kadiri biashara ya umalaya inavyoshamiri ndivyo umuhimu wa Ndoa unakosekana.
Kwa sehemu kubwa ndoa Kwa mwanaume ni tendo lenyewe. Mwanaume Kama anauhakika wa kupata tendo la ndoa muda autakao Kwa gharama nafuu hawezi kuona umuhimu wa Ndoa.

Nachelea kusema, Kama wanawake wakiamua Kwa pamoj kuweka mgomo wa miezi mitatu mfululizo wa kutokuwapa wanaume tendo la ndoa Kwa ambao hawajao basi ndoa nyingi zitatangazwa na wengi wataolewa. Hata hivyo kesi za ubakaji zitaripotiwa mahali mahali pia.

Niliwahi kusema mwanamke wakati mwingine kujiingiza katika utafutaji wa kubangaiza na kusaka tonge kunaweza kumuingiza kwenye umalaya.

Nipumzike sasa.
Nitacheza na yeyote kadiri anavyotaka tucheze.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hongera sana kwa andiko zuri, umeeleweka vizuri, kwa kuwa umeeleza ukweli hakika. Utaeleweka vizuri kwa wale wanaoyaishi haya maisha kiuhalisia na kupingwa sana na wale akili ndogo ambazo huona kubisha ndo kunawafanya wawe na hadhi wanayojipa, hawa huwa hawajengi hoja they just criticise. Heko.
 
Kutowajibika kwa mwanaume kama kichwa lawama zinawaangukia wanawake, haingii akilini siku hizi unakuta meneja, mkurugenzi, waziri hadi rais mwanamke.........hii shida ilianzia wapi? mwanamke anakuwaje kiongozi wakati wanaume wapo? Kwa hiyo ukifuatilia chanzo ni utaahira wa wanaume wenyewe kushindwa majukumu yao ya kuwa vichwa na viongozi kwenye nyanja zote za maisha na sasa ndo tunashuhudia wanawake wanaongoza kuanzia familia hadi ngazi ya taifa. Na hii inajidhihirisha kwa mambo mengi kuharibika au kutofikia malengo kwa kuwaruhusu wanawake kuwa viongozi au kufanya majukumu ambayo wanaume wanatakiwa wayafanye wenyewe kwa usahihi au kwa ufanisi na kwa kuwajibika vilivyo.​
 
Kutowajibika kwa mwanaume kama kichwa lawama zinawaangukia wanawake, haingii akilini siku hizi unakuta meneja, mkurugenzi, waziri hadi rais mwanamke.........hii shida ilianzia wapi? mwanamke anakuwaje kiongozi wakati wanaume wapo? Kwa hiyo ukifuatilia chanzo ni utaahira wa wanaume wenyewe kushindwa majukumu yao ya kuwa vichwa na viongozi kwenye nyanja zote za maisha na sasa ndo tunashuhudia wanawake wanaongoza kuanzia familia hadi ngazi ya taifa. Na hii inajidhihirisha kwa mambo mengi kuharibika au kutofikia malengo kwa kuwaruhusu wanawake kuwa viongozi au kufanya majukumu ambayo wanaume wanatakiwa wayafanye wenyewe kwa usahihi au kwa ufanisi na kwa kuwajibika vilivyo.​

Kuwaruhusu Wanawake kuingia kwenye majukumu ya Mwanaume kumelengwa kuiangamiza jamii na kuwapa Dada zetu mzigo zaidi huku wanaume wakipata unafuu katika majukumu Yao.

Mwanamke hajaumbwa kupata shurba, Mateso na mahangaiko, walioleta huu mfumo wa ufeminist agenda yao ya Siri ni kumdhalilisha mwanamke, kumtwisha mizigo isiyoyake na kumtesa.

Asikuambie mtu Wanawake wanateseka kwenye Ground isivyokawaida,
Wanaume kutegea majukumu Yao inatokana na wao kuamua kuuruhusu mfumo jike.

Kwa mfano Kwenye mfumo Dume hakuna tatizo la Ajira Kwa sababu mwanaume anaweza kufanya kazi yoyote, lakini mfumo jike kuna kuchagua kazi kwani mwanamke yupo limited kimaumbile na kiakili kufanya kazi.

Vijana wengi mfumo jike unawanufaisha ndio maana hawataki kuoa na inakuwa rahisi kutekeleza majukumu Kwa wanawake, lakini kwenye mfumo Dume ni ngumu kutekeleza majukumu.
Kama ni mtoto utalea, Kama ni mke utamtunza.

Siku hizi wanawake imefikia hatua wanajidhalilisha Kwa kuvuja jasho na kutunza wanaume Vijana wenye nguvu kabisa za kufanya kazi.
Mwisho WA siku wanaachwa na maumivu makali Kwa sababu siku watagundua mwanaume hawezi kuwa na Mwanamke mmoja. Hivyo jitihada zake za kumtunza Mwanamke akidhani atakuwa pekeake ni Sawa na kupoteza nguvu za bure
 
Hongera sana kwa andiko zuri, umeeleweka vizuri, kwa kuwa umeeleza ukweli hakika. Utaeleweka vizuri kwa wale wanaoyaishi haya maisha kiuhalisia na kupingwa sana na wale akili ndogo ambazo huona kubisha ndo kunawafanya wawe na hadhi wanayojipa, hawa huwa hawajengi hoja they just criticise. Heko.


🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Kama Shetani hachoki na hakati tamaa iweje Sisi tukate tamaa
 
Kama umesoma katikati ya mistari main post na reply za mleta mada utakuta kuna maneno kama feminist wa kiume,marioo kiben ten etc

Sasa wewe ndiye FEMINIST WA KIUME aliowataja.

Mkuu ROBERT HERIEL nakusoma na nakuelewa sana hao waliopigwa kishoka na kaka zao goi goi ipo siku watakuja humu kuzitafuta post zako na watakuwa wameshachelewa sana.
Single moms mnakuwa na stress sana
 
Single moms mnakuwa na stress sana
Usually feminist kama akawa wa kiume au wa kike huwa wana-panic kiwepesi sana wakiambiwa ukweli!

Ukitaka kuamini maneno yangu nenda kamuulize hawara wa mama yako Dalali Pengo atakwambia tabia zake zilivyokuwa zinafanana na zako.
 
Usually feminist kama akawa wa kiume au wa kike huwa wana-panic kiwepesi sana wakiambiwa ukweli!

Ukitaka kuamini maneno yangu nenda kamuulize hawara wa mama yako Dalali Pengo atakwambia tabia zake zilivyokuwa zinafanana na zako.
Tafuta mwanaume akutulize upunguze shobo
 
Kuwaruhusu Wanawake kuingia kwenye majukumu ya Mwanaume kumelengwa kuiangamiza jamii na kuwapa Dada zetu mzigo zaidi huku wanaume wakipata unafuu katika majukumu Yao.

Mwanamke hajaumbwa kupata shurba, Mateso na mahangaiko, walioleta huu mfumo wa ufeminist agenda yao ya Siri ni kumdhalilisha mwanamke, kumtwisha mizigo isiyoyake na kumtesa.

Asikuambie mtu Wanawake wanateseka kwenye Ground isivyokawaida,
Wanaume kutegea majukumu Yao inatokana na wao kuamua kuuruhusu mfumo jike.

Kwa mfano Kwenye mfumo Dume hakuna tatizo la Ajira Kwa sababu mwanaume anaweza kufanya kazi yoyote, lakini mfumo jike kuna kuchagua kazi kwani mwanamke yupo limited kimaumbile na kiakili kufanya kazi.

Vijana wengi mfumo jike unawanufaisha ndio maana hawataki kuoa na inakuwa rahisi kutekeleza majukumu Kwa wanawake, lakini kwenye mfumo Dume ni ngumu kutekeleza majukumu.
Kama ni mtoto utalea, Kama ni mke utamtunza.

Siku hizi wanawake imefikia hatua wanajidhalilisha Kwa kuvuja jasho na kutunza wanaume Vijana wenye nguvu kabisa za kufanya kazi.
Mwisho WA siku wanaachwa na maumivu makali Kwa sababu siku watagundua mwanaume hawezi kuwa na Mwanamke mmoja. Hivyo jitihada zake za kumtunza Mwanamke akidhani atakuwa pekeake ni Sawa na kupoteza nguvu za bure
Mkuu shtuka, feminism inalenga kufifisha nguvu ya utawala na uongozi ya mwanaume hivyo mwathirika mkuu ni mwanaume na siyo mwanamke. Kuvurugika kwa mfumo wa maisha hata kama unaonekana kumwathiri mawanamke huo tayari ni mzigo kwa mwanaume maana yeye ndo anawajibika kwa kila kitu ikiwemo kuhakikisha kunakuwa na social order.​
 
Mshana Jr aliropoka

 
'Kumsikiliza mwanamke ni kutaka maanguko tuu. Kwanza mwanamke akili yake haioni mbali, yeye anachotaka ni kutatua tatizo lililopo mbele yake tu'.
HAPA NDIPO KWENYE TATIZO KUBWA.
Ndio maana
mwanamke ni mtaji wa manabii na mitume
mwanamke ni mtaji wa waganga wa kienyeji
mwanamke ni mtaji wa wanasiasa.
na vyote hivi muathirika wa kwanza ni yeye!

HARAKATI ZA KUTETEA WANAWAKE NI BIASHARA KUBWA DUNIANI KOTE, SHIDA IPO KWENYE MAONO WAO HAWAONI.!
NDIO MAANA KUNA;
siku ya mtoto wa kike duniani
siku ya mwanamke duniani
siku ya wajane duniani
siku ya mama duniani, nk nk
kutakuja kuwepo kwa siku ya singo maza duniani

NI MWENDO WA HARAKATI TU DHIDI YA WANAUME., NI MWENDO WA KUPAMBANA NA ADUI USIYEMJUA!
MWANAUME HAJAWAI KUWA ADUI YA MWANAMKE KWA SBB MWANAMKE NI SEHEMU YA MWANAUME. HARAKATI ZAO ZINAFANYA WASHINDWE KUPAMBANA NA ADUI MKUU:

1.ADUI WA KWANZA NI MALEZI NA MAKUZI
ANGALIA HESHIMA, NIDHAMU, ADABU, AKILI YA WATOTO WA SASA NA MIAKA 10 TU ILIYOPITA., NI TOFAUTI NA SASA
WANAHARAKATI WANATAKA UZAE NA UTUNZE WATOTO PEKEYAKO,WAKATI MALEZI NI YA WAWILI. NA NDIO MAANA MASHOGA NI WENGI, HAWA NI WALE WALE WATOTO WA MAMA/WAMELELEWA NA MAMA.
NA USHOGA UNA ANZIA NDANI. HAUSAMBAZWI NA INZI, WALA SIO ULEMAVU. NI TABIA
[ SASA HIVI KWENYE MIJI MIKUBWA, ZILE SHEREHE ZA WANAWAKE, SHEREHE ZA MADADA WA MJINI ZINATOA MIALIKO KWA MASHOGA MAARUFU, WENYE MAJINA. LENGO KUU NI KUWAAMBIA WANAWAKE
KUZAA SHOGA NI KITU CHA KAWAIDA TU ]
NAAM SISI MARIJALI TUNA NAFASI PANA YA KUPATA UCHI,
WA MWANAMKE NA HAO WATOTO WA MAMA 😂
NA HUTAKUJA SIKIA WANAHARAKATI WAKISISITIZA MALEZI AU KUPINGA USHOGA, WAO NI WANAUME TU

KUNA MALEZI NA MAKUZI YA WANAUME BAADHI YAMEWAFANYA KUWA KATILI KWA MWANAMKE NA HII HAIKUBALIKI NA MUNGU HATA SHETANI PIA. KULE KANDA YA ZIWA KUNA WANAUME KUUA,KUPIGA MKE KWAO NI KAWAIDA TU KAMA KUPIGA MBWA!!!

2. TOFAUTI KUBWA YA JINSIA
HAKUNA PRORAM/PLAN ZA KUHAMASISHA WATU KUZAA WATOTO KWA UWIANO WA JINSIA.
UNAWEZA KUWA NA PESA, BIASHARA, UZURI, ELIMU, CHEO, NK NK., NAFASI YA MWANAUME IKO PALE PALE.
BILA KUJALI KAMA NI MWANAHARAKATI AU LA,KILA MTU ANAHITAJI MTU WA JINSIA TOFAUTI NA YEYE
ILI AKAMILIKE. NI RAHISI MDOMONI KUSEMA MWANAUME/KE WA NINI, LAKINI MOYONI TUNAVUMILIA TU.
NJAA YA MWILI,INASHIBISHWA NA UNYUMBA, SIO VIDOLE WALA MIDOLI. UNYUMBA NI TIBA YA MWILI, AKILI
NA ROHO!


# NA HARAKATI ZIENDELEE
 
Ni Kwa sababu Wanawake hamna macho.
Ukitaka kujua mwanamke anaathirika vipi nenda pale ustawi WA jamii utajionea.

Au nenda Kwa waganga WA kienyeji,
Au nenda Kwa manabii wa upako,

Huwezi kuona kuna tatizo ukiwa ndani ya ndoa, au ukiwa unakazi inayokuingizia kipato.

Lakini wanawake ambao wako nje ya ndoa na hawana kazi au Ajira ya uhakika wanaweza kujua moja Kwa moja kipi nakisema hapa.

Siku hizi wanawake hata kupewa pesa imekuwa mtihani Kwa waliowengi. Jambo ambalo sio tuu linaonyesha kuwa hawapendwi na kujaliwa Bali pia linaonyesha kuwa hawana thamani inayotosha kutunzwa Kama kitu cha thamani.
Hiyo pekeake ingekuonyesha kuwa nini nazungumzia[/QUOTE
Unaongea uhalisia uliopo mtaani kabisa, kiukweli hali ni mbaya sana ila ndiyo hivyo tu wanakaza shingo.
 
Alikombolewa wapi, na lini alikuwa utumwani?

Msichokijua Ke huwa ni mwongo sana anapotaka kujitetea, ndiyomaana Ke akiamua kuvunja ndoa ni rahisi sana.

Atamsingizia Me kuwa anataka kumla puru ilihali hakuna ukweli wowote.
Hukuzingatia fungal na fungua semi kwenye sentensi yangu
 
Sumari

Summarize mkuu
Big issue to talk. Nimechukua miaka mi3 kuwa elew hawa jamaa wa feminism wanadai nn. Mwanaume kuwa kiongoz Kuna shida, hii haimaanishi mwanamke atuongoze. Kuna jamii nyingine mwanaume anapigwa makofi Kwa Nn hajapika wakati mwanamke yupo kazini. Mwanaume anapika chakula anaonja chumvi, anatandika kitanda na anapaka losheni vizur kabisa ili mwanamke aje ajilie vitu vyake.
 
Big issue to talk. Nimechukua miaka mi3 kuwa elew hawa jamaa wa feminism wanadai nn. Mwanaume kuwa kiongoz Kuna shida, hii haimaanishi mwanamke atuongoze. Kuna jamii nyingine mwanaume anapigwa makofi Kwa Nn hajapika wakati mwanamke yupo kazini. Mwanaume anapika chakula anaonja chumvi, anatandika kitanda na anapaka losheni vizur kabisa ili mwanamke aje ajilie vitu vyake.
Hapo ni ishu ya tamaduni na umasikini (marioo)
 
Back
Top Bottom