Feminism imewaongezea Wanawake mzigo mzito zaidi kuliko walivyotarajia

Feminism imewaongezea Wanawake mzigo mzito zaidi kuliko walivyotarajia

Tafuta mwanaume akutulize upunguze shobo
Bado ume-panic mimi nakupa facts wewe unanikashifu huwezi kusimama ”KIUME” kwa hoja tukabishana kkwa facts.

Ila kama nilivyokwambia nenda kamuulize baba yako wa kufikia Dalali Pengo aliwahi kunihadithia tabia za mama yako so unavyo-sound ki-feminist hapa kumbukumbu zimenirudia nilichowahi kuambiwa.

Mtoto wa kiume unakuwa na mambo na hulka za kike kike vipi wewe?!!!
 
Mkuu shtuka, feminism inalenga kufifisha nguvu ya utawala na uongozi ya mwanaume hivyo mwathirika mkuu ni mwanaume na siyo mwanamke. Kuvurugika kwa mfumo wa maisha hata kama unaonekana kumwathiri mawanamke huo tayari ni mzigo kwa mwanaume maana yeye ndo anawajibika kwa kila kitu ikiwemo kuhakikisha kunakuwa na social order.​

Feminism ilishamiri Rasmi Ulaya miaka ya 1800 lakini mpaka Leo haijafanikiwa. Bado wanaume ndio mhimili na mzizi uliojichimbia zaidi kuliko katika ulimwengu huu.

Ninachokiongelea hapa ni kuwa Feminism haitamnufaisha yeyote katika ya mwanaume wa kimwili na Mwanamke. Bali itazidi kujiumiza maradufu Mwanamke.

Ukiangalia Kwa sasa Wanaume ndio maisha Yao yanakuwa rahisi kuliko Wanawake.
Bado mwanaume hajazalilishwa kivyovyote na mfumo uliopo.
Isipokuwa mwanamke ndio muathirika na watoto.

Ndio maana Kwa kuliona Jambo hili tunalipiga vita ili kulinda utu na heshima ya dada na Mama zetu ingawaje wao wenyewe hawaelewi ni Kwa kivipi

Wao wanafikiri Mimi na watu wa namna yangu tukiongea wanadhani tunalenga kuwakandamiza na kuwanyanyasa kumbe sivyo kabisa.
 
'Kumsikiliza mwanamke ni kutaka maanguko tuu. Kwanza mwanamke akili yake haioni mbali, yeye anachotaka ni kutatua tatizo lililopo mbele yake tu'.
HAPA NDIPO KWENYE TATIZO KUBWA.
Ndio maana
mwanamke ni mtaji wa manabii na mitume
mwanamke ni mtaji wa waganga wa kienyeji
mwanamke ni mtaji wa wanasiasa.
na vyote hivi muathirika wa kwanza ni yeye!

HARAKATI ZA KUTETEA WANAWAKE NI BIASHARA KUBWA DUNIANI KOTE, SHIDA IPO KWENYE MAONO WAO HAWAONI.!
NDIO MAANA KUNA;
siku ya mtoto wa kike duniani
siku ya mwanamke duniani
siku ya wajane duniani
siku ya mama duniani, nk nk
kutakuja kuwepo kwa siku ya singo maza duniani

NI MWENDO WA HARAKATI TU DHIDI YA WANAUME., NI MWENDO WA KUPAMBANA NA ADUI USIYEMJUA!
MWANAUME HAJAWAI KUWA ADUI YA MWANAMKE KWA SBB MWANAMKE NI SEHEMU YA MWANAUME. HARAKATI ZAO ZINAFANYA WASHINDWE KUPAMBANA NA ADUI MKUU:

1.ADUI WA KWANZA NI MALEZI NA MAKUZI
ANGALIA HESHIMA, NIDHAMU, ADABU, AKILI YA WATOTO WA SASA NA MIAKA 10 TU ILIYOPITA., NI TOFAUTI NA SASA
WANAHARAKATI WANATAKA UZAE NA UTUNZE WATOTO PEKEYAKO,WAKATI MALEZI NI YA WAWILI. NA NDIO MAANA MASHOGA NI WENGI, HAWA NI WALE WALE WATOTO WA MAMA/WAMELELEWA NA MAMA.
NA USHOGA UNA ANZIA NDANI. HAUSAMBAZWI NA INZI, WALA SIO ULEMAVU. NI TABIA
[ SASA HIVI KWENYE MIJI MIKUBWA, ZILE SHEREHE ZA WANAWAKE, SHEREHE ZA MADADA WA MJINI ZINATOA MIALIKO KWA MASHOGA MAARUFU, WENYE MAJINA. LENGO KUU NI KUWAAMBIA WANAWAKE
KUZAA SHOGA NI KITU CHA KAWAIDA TU ]
NAAM SISI MARIJALI TUNA NAFASI PANA YA KUPATA UCHI,
WA MWANAMKE NA HAO WATOTO WA MAMA 😂
NA HUTAKUJA SIKIA WANAHARAKATI WAKISISITIZA MALEZI AU KUPINGA USHOGA, WAO NI WANAUME TU

KUNA MALEZI NA MAKUZI YA WANAUME BAADHI YAMEWAFANYA KUWA KATILI KWA MWANAMKE NA HII HAIKUBALIKI NA MUNGU HATA SHETANI PIA. KULE KANDA YA ZIWA KUNA WANAUME KUUA,KUPIGA MKE KWAO NI KAWAIDA TU KAMA KUPIGA MBWA!!!

2. TOFAUTI KUBWA YA JINSIA
HAKUNA PRORAM/PLAN ZA KUHAMASISHA WATU KUZAA WATOTO KWA UWIANO WA JINSIA.
UNAWEZA KUWA NA PESA, BIASHARA, UZURI, ELIMU, CHEO, NK NK., NAFASI YA MWANAUME IKO PALE PALE.
BILA KUJALI KAMA NI MWANAHARAKATI AU LA,KILA MTU ANAHITAJI MTU WA JINSIA TOFAUTI NA YEYE
ILI AKAMILIKE. NI RAHISI MDOMONI KUSEMA MWANAUME/KE WA NINI, LAKINI MOYONI TUNAVUMILIA TU.
NJAA YA MWILI,INASHIBISHWA NA UNYUMBA, SIO VIDOLE WALA MIDOLI. UNYUMBA NI TIBA YA MWILI, AKILI
NA ROHO!


# NA HARAKATI ZIENDELEE


Umeongea mambo mazuri Sana.

Dunia inapitia wakati mgumu Kwa sababu ya tamaa za watu wachache wanaohitaji Utajiri Kwa namna yoyote
 
Unaongea uhalisia uliopo mtaani kabisa, kiukweli hali ni mbaya sana ila ndiyo hivyo tu wanakaza shingo.

Hawa watabisha lakini kimsingi anayeumia ni mwanamke na watoto.
Mwanaume hajawahi na hatokuja kuumia Kwa sababu nature yenyewe ni Dume ambayo inatawala kila kitu.

Wanaolia Mtandaoni ni Vijana wadogo wanaobalehe ambao hata hivyo ukitoka Mtandaoni ukija mtaani huwezi kuta hivyo vilio. Hata huko vijiweni ni hivyohivyo
 
Feminism ilishamiri Rasmi Ulaya miaka ya 1800 lakini mpaka Leo haijafanikiwa. Bado wanaume ndio mhimili na mzizi uliojichimbia zaidi kuliko katika ulimwengu huu.

Ninachokiongelea hapa ni kuwa Feminism haitamnufaisha yeyote katika ya mwanaume wa kimwili na Mwanamke. Bali itazidi kujiumiza maradufu Mwanamke.

Ukiangalia Kwa sasa Wanaume ndio maisha Yao yanakuwa rahisi kuliko Wanawake.
Bado mwanaume hajazalilishwa kivyovyote na mfumo uliopo.
Isipokuwa mwanamke ndio muathirika na watoto.

Ndio maana Kwa kuliona Jambo hili tunalipiga vita ili kulinda utu na heshima ya dada na Mama zetu ingawaje wao wenyewe hawaelewi ni Kwa kivipi

Wao wanafikiri Mimi na watu wa namna yangu tukiongea wanadhani tunalenga kuwakandamiza na kuwanyanyasa kumbe sivyo kabisa.
Wao wanadhani wanafanikiwa kumbe wanabeba mizigo ambayo hawajaumbiwa kubeba, wanajiingiza kwenye laana ya mwanaume ya kula kwa jasho bila wao kujua. Inakuwaje mwanamke anahangaika na watoto wakati baba wa watoto yupo halafu anafurahia kujiita single mother? mwisho wa siku wanapeleka migogoro kwenye familia walikotoka, kila mara kuomba ada za watoto kwa wajomba zake ambao na wenyewe wanakuwa na majukumu yao...​
 
Feminism ilishamiri Rasmi Ulaya miaka ya 1800 lakini mpaka Leo haijafanikiwa. Bado wanaume ndio mhimili na mzizi uliojichimbia zaidi kuliko katika ulimwengu huu.

Ninachokiongelea hapa ni kuwa Feminism haitamnufaisha yeyote katika ya mwanaume wa kimwili na Mwanamke. Bali itazidi kujiumiza maradufu Mwanamke.

Ukiangalia Kwa sasa Wanaume ndio maisha Yao yanakuwa rahisi kuliko Wanawake.
Bado mwanaume hajazalilishwa kivyovyote na mfumo uliopo.
Isipokuwa mwanamke ndio muathirika na watoto.

Ndio maana Kwa kuliona Jambo hili tunalipiga vita ili kulinda utu na heshima ya dada na Mama zetu ingawaje wao wenyewe hawaelewi ni Kwa kivipi

Wao wanafikiri Mimi na watu wa namna yangu tukiongea wanadhani tunalenga kuwakandamiza na kuwanyanyasa kumbe sivyo kabisa.
Ideally Feminist Kuna kipindi ilikuwa inadai tuingie social ism. Manake huu mfumo wa maisha ya kisasa (modern) umekaa kikapitalist. Na ukapitalist unampa nafs mwenye nguv awe na nguv zaidi (survive of the fittest). Wakat huo tayari mwenye nguv na mmliki wa Mali hadi Idea ni mwanaume. Hii ndio sabb feminist haisongi mbele
 
Wao wanadhani wanafanikiwa kumbe wanabeba mizigo ambayo hawajaumbiwa kubeba, wanajiingiza kwenye laana ya mwanaume ya kula kwa jasho bila wao kujua. Inakuwaje mwanamke anahangaika na watoto wakati baba wa watoto yupo halafu anafurahia kujiita single mother? mwisho wa siku wanapeleka migogoro kwenye familia walikotoka, kila mara kuomba ada za watoto kwa wajomba zake ambao na wenyewe wanakuwa na majukumu yao...​

Iliandikwa kuwa ataweka uadui Kati ya huyu Mwanamke na Joka,
Ndio kinachoendelea hapa,

Shetani kikawaida akija Kwa mwanamke huja Kwa mbinu ya kutaka kumsaidia kwenye tatizo Fulani,
Mfano, Hawa wakati anadanganywa na Nyoka, Shetani anataka kumpa msaada Hawa/Eva afanane/awe Kama Mungu, hivyo ili awe Kama Mungu itampasa ale matunda aliyokatazwa asiyale.

Mwanzo 3:1
Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya BWANA Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?

Mwanzo 3:2
Mwanamke akamwambia nyoka, Matunda ya miti ya bustanini twaweza kula;

Mwanzo 3:3
lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.

Mwanzo 3:4
Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,

Mwanzo 3:5
kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

Mbinu hiyo inatumiwa na watu wote wajanja pale wanapotaka kuwaingia Wanawake.
Ukitaka mwanamke umpige kirahisi mwambie utamsaidia kumuwezesha afanane na Mungu, Kwani Mungu anafananaje,
Kuwa na mamlaka na utawala, ajiongoze, ajitegemee na kumsaidia watoto.

Feminist wamejitahidi kuwa-empower wanawake Kwa lengo la kuzorotesha taasisi ya ndoa ili jamii zisiwe na nguvu.

Kumbuka Mwanamke hata awe empoweed Kwa namna gani hawezi kuitiisha dunia,

Hata Wanawake waliotawala katika falme za nyuma wote walikuwa wanasapotiwa na kikundi Fulani cha wanaume

Lakini mwanamke kama Mwanamke Hana uwezo wa kutawala wanaume ambao hawataki kutawaliwa.
Lakini mwanaume anauwezo WA kutawala wanawake hata Kama hawataki kutawaliwa
 
Ideally Feminist Kuna kipindi ilikuwa inadai tuingie social ism. Manake huu mfumo wa maisha ya kisasa (modern) umekaa kikapitalist. Na ukapitalist unampa nafs mwenye nguv awe na nguv zaidi (survive of the fittest). Wakat huo tayari mwenye nguv na mmliki wa Mali hadi Idea ni mwanaume. Hii ndio sabb feminist haisongi mbele

Na haiwezi kusonga mbele Kwa sababu kwenye mifumo ya kiroho watawala Wana male Character,
Ukishasema Baba unamaanisha chanzo cha ,
Yaani kila kitu kina Baba lakini sio kila kitu kina Mama

Hata huo ufeminist muasisi wake ni male Character ambaye ni Lusifa, ambaye amecheza Siasa za kiroho kumnyang'anya mwanadamu utawala
 
Iliandikwa kuwa ataweka uadui Kati ya huyu Mwanamke na Joka,
Ndio kinachoendelea hapa,

Shetani kikawaida akija Kwa mwanamke huja Kwa mbinu ya kutaka kumsaidia kwenye tatizo Fulani,
Mfano, Hawa wakati anadanganywa na Nyoka, Shetani anataka kumpa msaada Hawa/Eva afanane/awe Kama Mungu, hivyo ili awe Kama Mungu itampasa ale matunda aliyokatazwa asiyale.

Mwanzo 3:1
Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya BWANA Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?

Mwanzo 3:2
Mwanamke akamwambia nyoka, Matunda ya miti ya bustanini twaweza kula;

Mwanzo 3:3
lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.

Mwanzo 3:4
Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,

Mwanzo 3:5
kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

Mbinu hiyo inatumiwa na watu wote wajanja pale wanapotaka kuwaingia Wanawake.
Ukitaka mwanamke umpige kirahisi mwambie utamsaidia kumuwezesha afanane na Mungu, Kwani Mungu anafananaje,
Kuwa na mamlaka na utawala, ajiongoze, ajitegemee na kumsaidia watoto.

Feminist wamejitahidi kuwa-empower wanawake Kwa lengo la kuzorotesha taasisi ya ndoa ili jamii zisiwe na nguvu.

Kumbuka Mwanamke hata awe empoweed Kwa namna gani hawezi kuitiisha dunia,

Hata Wanawake waliotawala katika falme za nyuma wote walikuwa wanasapotiwa na kikundi Fulani cha wanaume

Lakini mwanamke kama Mwanamke Hana uwezo wa kutawala wanaume ambao hawataki kutawaliwa.
Lakini mwanaume anauwezo WA kutawala wanawake hata Kama hawataki kutawaliwa​
Lucifer kupitia movement ya feminism kafanikiwa sana kudhoofisha taasisi ya ndoa hasa nchi za ulaya ambapo wanawake hawajali sana kuhusu kuolewa kwani wana access sawa na mwanaume kwenye kupata elimu, kazi na kipato. Kama ni watoto ataenda kupandikiza mbegu, au kuasili, kama ni sex anaenda kununua toy. Kimsingi ni spiritual battle ambapo lucifer anashawishi binadamu waasi kila kanuni asili za maisha ambazo Mungu aliziamuru kwa mwanadamu.​
 
Anaandika, Robert Heriel

Angalizo; lugha itakayotumika inaweza isiwe nzuri. Hivyo Kama ni mwepesi WA mihemko basi unashauriwa kuishia hapahapa. Endapo utaendelea kusoma, na ukapata madhara yoyote ya kihisia au kisaikolojia basi sitakuwa sehemu ya lawama.

Nafahamu ili familia ianguke basi Mama ndiye atakuwa wa Kwanza kuiangusha familia, najua jamii na taifa ili iaungike basi wanawake watakuwa wakwanza kuwa chanzo cha anguko Hilo.
Dini na vitabu vya dini kubwa vinaeleza namna Mwanamke alivyokuwa chanzo kikuu cha anguko la Dunia.

Mtu ni masikini alafu unaiga ufeminist Kama sio kutaka kujiingiza kwenye umalaya ni kitu gani. Kama sio kutaka kuzaazaa hovyo na wanaume wengi pasipo adabu ya kike ni nini.
Kuangalia filamu za Hollywood ndio udhani uyaonayo ni kweli?
Kupata hako kadegree Kako kamoja ndio ufikiri usomi ndio kutaka mambo ya kipuuzi?

Kwa mujibu Biblia, Feminist wa Kwanza kabisa alikuwa Eva/Hawa ambaye alitamani kufanana na MUNGU, yaani alitaka kumpiku mpaka Adamu mumewe. Shetani alitumia tamaa ya Hawa ya kutaka kumpindua Adamu tena ikiwezekana kufanana na Mungu, na ndipo Shetani anamuambia Hawa/Eva.

Mwanzo 3:4
Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3:5
kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

Shetani kamwe hawezi kukujaribu Kwa kitu ambacho sio tamaa yako. Hata Biblia inasema; Mtu hujaribiwa Kwa tamaa yake MWENYEWE.

Hata hivyo, Shida au changamoto Fulani inayokusibu huweza kutumiwa na Shetani kukujaribu.

Hawa/ Eva alikuwa amezidiwa Kwa mambo mengi na Adamu. Kumbuka Adamu ni mfano wa MUNGU, wakati Eva ni mfano wa Adamu.

Ufeminist wa Eva Kwa kutaka kumzidi Adamu tena ikiwezekana afanane na Mungu unageuka kuwa mzigo tofauti na vile alivyotarajia.

Kwanza haitokuja kuwezekana Mwanamke akawa Sawa na Mwanaume dunia ingalipo.

Hata huyo Lusifa aliyekuwa anamdanganya Eva ni ana-character ya kiume, huyo Mungu Mkuu ana-character ya kiume. Hivyo ni kusema vyovyote mwanamke atakavyochagua iwe upande wa Shetani au Mungu bado atajikuta anaongozwa na mfumo Dume.

Madhara ya ufeminist ndio yalifanya Adamu akafukuzwa pale Bustani ya Edeni.

Moja ya Madai ya ufeminizimu(feminism) ni mwanamke KUSIKILIZWA. Wakati kiroho hakuna kitu Kama hicho.
Mwanaume ndiye anasikilizwa anataka nini? Na sio mwanamke.

Kumsikiliza mwanamke ni kutaka maanguko tuu. Kwanza mwanamke akili yake haioni mbali, yeye anachotaka ni kutatua tatizo lililopo mbele yake tu.

Wanawake ni vipofu ambao kiongozi wao ni mwanaume.

Mungu anamshangaa Adamu Kwa kumsikiliza Mkewe, wakati Mungu alimuachia maagizo Adamu kuwa yeye ndiye kiongozi hivyo Oda zote zinatakiwa azitiishe kwenye Ile Bustani akiwepo huyo mwanamke. Yaani mwanamke naye amtii Adamu.

Mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;

Mwanamke hapaswi kusikilizwa, wengi mtapinga Kwa sababu hamna upeo wa kuona mbele, mnaongozwa na Mapenzi na hisia za kipuuzi mtadhani Taikon ninataka kukandamiza Dada na Mama zangu Jambo ambalo sio Kweli.

Ufeminist umeongezeka maradufu katika Zama hizi.
Wanawake wanataka kusikilizwa,
Wanawake wanataka utawala na mamlaka,
Wanawake wanataka kuongoza familia,
Wanawake wanataka kuvuja Kwa jasho,
Wanawake wanataka kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja,

Matokeo ya ufeminist ni mwanamke kuzaa Kwa uchungu, na sio kuzaa tuu Kule Kwa kuzaa watoto, Hasha Bali kupata matatizo yanayotia maumivu mioyo Yao.

Ufeminist umekuwa mzigo Kwa wanawake Kwa sababu

1. Kwa sasa Wanawake kuwapata ni rahisi yaani thamani Yao imeshuka
Yaani Kwa sasa unaweza hangaika kupata mayai ya Kuku WA kienyeji lakini kamwe huwezi hangaika kupata mwanamke WA kulala naye.

Hii inafanya wanawake wasiwe na laziada Kwa wanaume.

Zingatia kitu pekee ambacho mwanamke atamringishia Mwanaume ni Uchi wake tuu! Vingine vyote wanaume wanavyo tena kwa mbali na ubora maradufu.

2. Wanawake siku hizi wanamzigo wa Kulea watoto na familia
Ufeminist umeleta matokeo mabaya Kwa wanawake, kwani Kwa sasa baadhi Yao ndio wanahangaika wenyewe kutunza familia, jasho linawatoka hasa, wajibu ambao haukuwa wao.

Wanaume wengi Kwa Kupenda bwerere wanapigania Kwa makusudi ufeminist Kwa maslahi Yao hasa ya kibiashara huku wanawake wakimenyeka.

3. Ufeminist unadhalilisha uanamke
Siku hizi ni ngumu kuuona uchi wa Kondoo kuliko kuuona uchi wa Mwanamke. Yaani mwanaume kila ukikatiza unaona uchi ule pale, ukipita mitandaoni ule pale. Ufeminist umekuwa mzigo Kwa Dada zetu. Wanadhalilika hasa.

Ukipiga marufuku na kutoa adhabu Kwa wakala uchi, feminist watajitokeza kuwa unawanyima haki zao. Yaani haki ya mtu kujidhalilisha. Matokeo yake ni wanawake kutokuwa na mvuto Kwa wanaume, umalaya kuongezeka, single mother kuwa wengi n.k.

4. Wanawake kuzaa na Kulea watoto na mababa wengi Kama wanyama wengine.
Huenda isiwe lugha nzuri kwani labda ndugu au watu wangu wa karibu au hata binti zangu wanaweza kujikuta katika Hali hii. Lakini ukweli lazima tuuseme. Ufeminist umeongeza Kasi ya wanawake kuzaa na wanaume wengi. Sio ajabu kukuta Mwanamke kila mtoto anababa yake.

Huo ni mzigo na aibu Kwa mwanamke yeyote anayejua thamani ya mwanamke. Zingatia, thamani ya mwanamke ipo katika kujifunza. Yaani kile ambacho anacho ambacho anaweza kukitumia kama silaha Kwa mwanaume.

5. Mzigo wa kujitongozesha
Ufeminist umepelekea hatua wanawake wanapishana Kwa Masheikhe, waganga, wachungaji na manabii uchwara kisa kutafuta wanaume wa kuwaoa au hata kuishi nao. Kitu cha thamani hakiwezi kuhangaika hivyo, Bali Sisi wanaume ndio tulipaswa kwenda Kwa waganga kisa wanawake.

Kwa zamani mwanamke kamwe hawezi kwenda Kwa mganga ati kutafuta mvuto wa kupendwa na Wanaume. Labda akienda Kwa mganga ni kumuweka mumewe aliyemuoa kiganjani kuwa asione wanawake wengine.

6. Wanawake ku-share mapenzi pamoja na binti zao
Ufeminist umechangia pakubwa Wamama wengi ku-share penzi na binti yake Kwa mwanaume Fulani.

Mfano, Kwa mwanamke anayejitambua na Mwanamke kweli, kamwe hawezi kutoka kimapenzi na kijana aliyemzidi umri zaidi ya mitano au kumi. Achilia mbali mmama kutoka na kijana Mdogo Jambo ambalo mara nyingi husababisha Kijana kutoka na binti, Hali iñayopelekea mtu Kula kuku na mayai.

Mwanaume ndiye anauwezo wa kuoa mwanamke hata kama amemzidi miaka arobaini. Ni Sawa tuu.

7. Wanawake kujikuta katika biashara ya umalaya Jambo ambalo linaathiri thamani Yao
Kadiri biashara ya umalaya inavyoshamiri ndivyo umuhimu wa Ndoa unakosekana.
Kwa sehemu kubwa ndoa Kwa mwanaume ni tendo lenyewe. Mwanaume Kama anauhakika wa kupata tendo la ndoa muda autakao Kwa gharama nafuu hawezi kuona umuhimu wa Ndoa.

Nachelea kusema, Kama wanawake wakiamua Kwa pamoj kuweka mgomo wa miezi mitatu mfululizo wa kutokuwapa wanaume tendo la ndoa Kwa ambao hawajao basi ndoa nyingi zitatangazwa na wengi wataolewa. Hata hivyo kesi za ubakaji zitaripotiwa mahali mahali pia.

Niliwahi kusema mwanamke wakati mwingine kujiingiza katika utafutaji wa kubangaiza na kusaka tonge kunaweza kumuingiza kwenye umalaya.

Nipumzike sasa.
Nitacheza na yeyote kadiri anavyotaka tucheze.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Andiko lako zuri Sana na Lina ukweli ndani yake,,,,,ingawa sikubaliani na dhana kwamba Mungu ana jinsi au mtazamo WA kiume,,,,lakini huo ni ufahamu wangu na Imani yangu.

Kongole Kwa andiko zuri.
 
Andiko lako zuri Sana na Lina ukweli ndani yake,,,,,ingawa sikubaliani na dhana kwamba Mungu ana jinsi au mtazamo WA kiume,,,,lakini huo ni ufahamu wangu na Imani yangu.

Kongole Kwa andiko zuri.

Karibu Sana Mkuu.

Tunaweza pia kujadili Hilo suala la Mungu anacharacter ipi, yakike au yakiume Kama mada ndogo humuhumu!

Unataka tujadili Kwa Kutumia maandiko ya Dini gani?
Je Biblia au Quran?

Au Imani yako umeijenga nje ya Dini hizo mbili?

Maana dini zote zote zenye Asili ya Abrahamu zinamtambua Mungu anacharacter ya Kiume. Yaani ni mwanaume.
 
Lucifer kupitia movement ya feminism kafanikiwa sana kudhoofisha taasisi ya ndoa hasa nchi za ulaya ambapo wanawake hawajali sana kuhusu kuolewa kwani wana access sawa na mwanaume kwenye kupata elimu, kazi na kipato. Kama ni watoto ataenda kupandikiza mbegu, au kuasili, kama ni sex anaenda kununua toy. Kimsingi ni spiritual battle ambapo lucifer anashawishi binadamu waasi kila kanuni asili za maisha ambazo Mungu aliziamuru kwa mwanadamu.​

Hapo ndipo patamu,
Na muda huohuo anashawishi Vijana wadogo kujiingiza kwenye ushoga ili wachokolewe kama wanawake
 
Karibu Sana Mkuu.

Tunaweza pia kujadili Hilo suala la Mungu anacharacter ipi, yakike au yakiume Kama mada ndogo humuhumu!

Unataka tujadili Kwa Kutumia maandiko ya Dini gani?
Je Biblia au Quran?

Au Imani yako umeijenga nje ya Dini hizo mbili?

Maana dini zote zote zenye Asili ya Abrahamu zinamtambua Mungu anacharacter ya Kiume. Yaani ni mwanaume.
Ngoja tuliweke kipolo Hilo siku nyingine inshallah
 
Sisi wakristo ndo tuna shida, waislamu wake zao angalau Wana kaibu kidogo maana anajua mda wowote anaweza pigwa chini au letewa mwenzake. Hawa wa Kikristo hawana competition kama zigo ni lako ndio kinachowapa kiburi.
 
Anaandika, Robert Heriel

Angalizo; lugha itakayotumika inaweza isiwe nzuri. Hivyo Kama ni mwepesi WA mihemko basi unashauriwa kuishia hapahapa. Endapo utaendelea kusoma, na ukapata madhara yoyote ya kihisia au kisaikolojia basi sitakuwa sehemu ya lawama.

Nafahamu ili familia ianguke basi Mama ndiye atakuwa wa Kwanza kuiangusha familia, najua jamii na taifa ili iaungike basi wanawake watakuwa wakwanza kuwa chanzo cha anguko Hilo.
Dini na vitabu vya dini kubwa vinaeleza namna Mwanamke alivyokuwa chanzo kikuu cha anguko la Dunia.

Mtu ni masikini alafu unaiga ufeminist Kama sio kutaka kujiingiza kwenye umalaya ni kitu gani. Kama sio kutaka kuzaazaa hovyo na wanaume wengi pasipo adabu ya kike ni nini.
Kuangalia filamu za Hollywood ndio udhani uyaonayo ni kweli?
Kupata hako kadegree Kako kamoja ndio ufikiri usomi ndio kutaka mambo ya kipuuzi?

Kwa mujibu Biblia, Feminist wa Kwanza kabisa alikuwa Eva/Hawa ambaye alitamani kufanana na MUNGU, yaani alitaka kumpiku mpaka Adamu mumewe. Shetani alitumia tamaa ya Hawa ya kutaka kumpindua Adamu tena ikiwezekana kufanana na Mungu, na ndipo Shetani anamuambia Hawa/Eva.

Mwanzo 3:4
Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3:5
kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

Shetani kamwe hawezi kukujaribu Kwa kitu ambacho sio tamaa yako. Hata Biblia inasema; Mtu hujaribiwa Kwa tamaa yake MWENYEWE.

Hata hivyo, Shida au changamoto Fulani inayokusibu huweza kutumiwa na Shetani kukujaribu.

Hawa/ Eva alikuwa amezidiwa Kwa mambo mengi na Adamu. Kumbuka Adamu ni mfano wa MUNGU, wakati Eva ni mfano wa Adamu.

Ufeminist wa Eva Kwa kutaka kumzidi Adamu tena ikiwezekana afanane na Mungu unageuka kuwa mzigo tofauti na vile alivyotarajia.

Kwanza haitokuja kuwezekana Mwanamke akawa Sawa na Mwanaume dunia ingalipo.

Hata huyo Lusifa aliyekuwa anamdanganya Eva ni ana-character ya kiume, huyo Mungu Mkuu ana-character ya kiume. Hivyo ni kusema vyovyote mwanamke atakavyochagua iwe upande wa Shetani au Mungu bado atajikuta anaongozwa na mfumo Dume.

Madhara ya ufeminist ndio yalifanya Adamu akafukuzwa pale Bustani ya Edeni.

Moja ya Madai ya ufeminizimu(feminism) ni mwanamke KUSIKILIZWA. Wakati kiroho hakuna kitu Kama hicho.
Mwanaume ndiye anasikilizwa anataka nini? Na sio mwanamke.

Kumsikiliza mwanamke ni kutaka maanguko tuu. Kwanza mwanamke akili yake haioni mbali, yeye anachotaka ni kutatua tatizo lililopo mbele yake tu.

Wanawake ni vipofu ambao kiongozi wao ni mwanaume.

Mungu anamshangaa Adamu Kwa kumsikiliza Mkewe, wakati Mungu alimuachia maagizo Adamu kuwa yeye ndiye kiongozi hivyo Oda zote zinatakiwa azitiishe kwenye Ile Bustani akiwepo huyo mwanamke. Yaani mwanamke naye amtii Adamu.

Mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;

Mwanamke hapaswi kusikilizwa, wengi mtapinga Kwa sababu hamna upeo wa kuona mbele, mnaongozwa na Mapenzi na hisia za kipuuzi mtadhani Taikon ninataka kukandamiza Dada na Mama zangu Jambo ambalo sio Kweli.

Ufeminist umeongezeka maradufu katika Zama hizi.
Wanawake wanataka kusikilizwa,
Wanawake wanataka utawala na mamlaka,
Wanawake wanataka kuongoza familia,
Wanawake wanataka kuvuja Kwa jasho,
Wanawake wanataka kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja,

Matokeo ya ufeminist ni mwanamke kuzaa Kwa uchungu, na sio kuzaa tuu Kule Kwa kuzaa watoto, Hasha Bali kupata matatizo yanayotia maumivu mioyo Yao.

Ufeminist umekuwa mzigo Kwa wanawake Kwa sababu

1. Kwa sasa Wanawake kuwapata ni rahisi yaani thamani Yao imeshuka

Yaani Kwa sasa unaweza hangaika kupata mayai ya Kuku WA kienyeji lakini kamwe huwezi hangaika kupata mwanamke WA kulala naye.

Hii inafanya wanawake wasiwe na laziada Kwa wanaume.

Zingatia kitu pekee ambacho mwanamke atamringishia Mwanaume ni Uchi wake tuu! Vingine vyote wanaume wanavyo tena kwa mbali na ubora maradufu.

2. Wanawake siku hizi wanamzigo wa Kulea watoto na familia
Ufeminist umeleta matokeo mabaya Kwa wanawake, kwani Kwa sasa baadhi Yao ndio wanahangaika wenyewe kutunza familia, jasho linawatoka hasa, wajibu ambao haukuwa wao.

Wanaume wengi Kwa Kupenda bwerere wanapigania Kwa makusudi ufeminist Kwa maslahi Yao hasa ya kibiashara huku wanawake wakimenyeka.

3. Ufeminist unadhalilisha uanamke
Siku hizi ni ngumu kuuona uchi wa Kondoo kuliko kuuona uchi wa Mwanamke. Yaani mwanaume kila ukikatiza unaona uchi ule pale, ukipita mitandaoni ule pale. Ufeminist umekuwa mzigo Kwa Dada zetu. Wanadhalilika hasa.

Ukipiga marufuku na kutoa adhabu Kwa wakala uchi, feminist watajitokeza kuwa unawanyima haki zao. Yaani haki ya mtu kujidhalilisha. Matokeo yake ni wanawake kutokuwa na mvuto Kwa wanaume, umalaya kuongezeka, single mother kuwa wengi n.k.

4. Wanawake kuzaa na Kulea watoto na mababa wengi Kama wanyama wengine.
Huenda isiwe lugha nzuri kwani labda ndugu au watu wangu wa karibu au hata binti zangu wanaweza kujikuta katika Hali hii. Lakini ukweli lazima tuuseme. Ufeminist umeongeza Kasi ya wanawake kuzaa na wanaume wengi. Sio ajabu kukuta Mwanamke kila mtoto anababa yake.

Huo ni mzigo na aibu Kwa mwanamke yeyote anayejua thamani ya mwanamke. Zingatia, thamani ya mwanamke ipo katika kujifunza. Yaani kile ambacho anacho ambacho anaweza kukitumia kama silaha Kwa mwanaume.

5. Mzigo wa kujitongozesha
Ufeminist umepelekea hatua wanawake wanapishana Kwa Masheikhe, waganga, wachungaji na manabii uchwara kisa kutafuta wanaume wa kuwaoa au hata kuishi nao. Kitu cha thamani hakiwezi kuhangaika hivyo, Bali Sisi wanaume ndio tulipaswa kwenda Kwa waganga kisa wanawake.

Kwa zamani mwanamke kamwe hawezi kwenda Kwa mganga ati kutafuta mvuto wa kupendwa na Wanaume. Labda akienda Kwa mganga ni kumuweka mumewe aliyemuoa kiganjani kuwa asione wanawake wengine.

6. Wanawake ku-share mapenzi pamoja na binti zao

Ufeminist umechangia pakubwa Wamama wengi ku-share penzi na binti yake Kwa mwanaume Fulani.

Mfano, Kwa mwanamke anayejitambua na Mwanamke kweli, kamwe hawezi kutoka kimapenzi na kijana aliyemzidi umri zaidi ya mitano au kumi. Achilia mbali mmama kutoka na kijana Mdogo Jambo ambalo mara nyingi husababisha Kijana kutoka na binti, Hali iñayopelekea mtu Kula kuku na mayai.

Mwanaume ndiye anauwezo wa kuoa mwanamke hata kama amemzidi miaka arobaini. Ni Sawa tuu.

7. Wanawake kujikuta katika biashara ya umalaya Jambo ambalo linaathiri thamani Yao
Kadiri biashara ya umalaya inavyoshamiri ndivyo umuhimu wa Ndoa unakosekana.
Kwa sehemu kubwa ndoa Kwa mwanaume ni tendo lenyewe. Mwanaume Kama anauhakika wa kupata tendo la ndoa muda autakao Kwa gharama nafuu hawezi kuona umuhimu wa Ndoa.

Nachelea kusema, Kama wanawake wakiamua Kwa pamoj kuweka mgomo wa miezi mitatu mfululizo wa kutokuwapa wanaume tendo la ndoa Kwa ambao hawajao basi ndoa nyingi zitatangazwa na wengi wataolewa. Hata hivyo kesi za ubakaji zitaripotiwa mahali mahali pia.

Niliwahi kusema mwanamke wakati mwingine kujiingiza katika utafutaji wa kubangaiza na kusaka tonge kunaweza kumuingiza kwenye umalaya.

Nipumzike sasa.
Nitacheza na yeyote kadiri anavyotaka tucheze.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hujawahi ni let down tycoom wa Dar
 
Back
Top Bottom