Feminism imewaongezea Wanawake mzigo mzito zaidi kuliko walivyotarajia

Feminism imewaongezea Wanawake mzigo mzito zaidi kuliko walivyotarajia

Sisi wakristo ndo tuna shida, waislamu wake zao angalau Wana kaibu kidogo maana anajua mda wowote anaweza pigwa chini au letewa mwenzake. Hawa wa Kikristo hawana competition kama zigo ni lako ndio kinachowapa kiburi.

Ni kwa sababu kwenye Ukristo kuna upagani
 
  • Shetani ndiye mwasisi wa kwanza WA mapinduzi dhidi ya Mungu kwa mbinu za kilaghai., na hakufanikiwa.
  • Hata sasa wake kwa Wayne wanaofanya jitihada za kupindua 'mfumo' aliouasisi Mungu hawatafanikiwa, bali watazidi kuongeza machungu duniani.
 
Aseeeh, umeshusha elimu kubwa sana na ya muhimu.Nafurahi unavyoelezea kwa wale wanao uliza maswali pale wanapoona walakini au kutokuelewa.

Pia usichoke kuwaelewesha maana mifumo ya dunia sasa imebadilika na wanaume wengi wamekutwa na mifumo hiyo na kumezwa ndani na kushindwa kuchanganua mambo.

[emoji123]
 
Aseeeh, umeshusha elimu kubwa sana na ya muhimu.Nafurahi unavyoelezea kwa wale wanao uliza maswali pale wanapoona walakini au kutokuelewa.

Pia usichoke kuwaelewesha maana mifumo ya dunia sasa imebadilika na wanaume wengi wamekutwa na mifumo hiyo na kumezwa ndani na kushindwa kuchanganua mambo.

[emoji123]


🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Nashukuru Sana MKUU
 
Anaandika, Robert Heriel

Angalizo; lugha itakayotumika inaweza isiwe nzuri. Hivyo Kama ni mwepesi WA mihemko basi unashauriwa kuishia hapahapa. Endapo utaendelea kusoma, na ukapata madhara yoyote ya kihisia au kisaikolojia basi sitakuwa sehemu ya lawama.

Nafahamu ili familia ianguke basi Mama ndiye atakuwa wa Kwanza kuiangusha familia, najua jamii na taifa ili iaungike basi wanawake watakuwa wakwanza kuwa chanzo cha anguko Hilo.
Dini na vitabu vya dini kubwa vinaeleza namna Mwanamke alivyokuwa chanzo kikuu cha anguko la Dunia.

Mtu ni masikini alafu unaiga ufeminist Kama sio kutaka kujiingiza kwenye umalaya ni kitu gani. Kama sio kutaka kuzaazaa hovyo na wanaume wengi pasipo adabu ya kike ni nini.
Kuangalia filamu za Hollywood ndio udhani uyaonayo ni kweli?
Kupata hako kadegree Kako kamoja ndio ufikiri usomi ndio kutaka mambo ya kipuuzi?

Kwa mujibu Biblia, Feminist wa Kwanza kabisa alikuwa Eva/Hawa ambaye alitamani kufanana na MUNGU, yaani alitaka kumpiku mpaka Adamu mumewe. Shetani alitumia tamaa ya Hawa ya kutaka kumpindua Adamu tena ikiwezekana kufanana na Mungu, na ndipo Shetani anamuambia Hawa/Eva.

Mwanzo 3:4
Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3:5
kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

Shetani kamwe hawezi kukujaribu Kwa kitu ambacho sio tamaa yako. Hata Biblia inasema; Mtu hujaribiwa Kwa tamaa yake MWENYEWE.

Hata hivyo, Shida au changamoto Fulani inayokusibu huweza kutumiwa na Shetani kukujaribu.

Hawa/ Eva alikuwa amezidiwa Kwa mambo mengi na Adamu. Kumbuka Adamu ni mfano wa MUNGU, wakati Eva ni mfano wa Adamu.

Ufeminist wa Eva Kwa kutaka kumzidi Adamu tena ikiwezekana afanane na Mungu unageuka kuwa mzigo tofauti na vile alivyotarajia.

Kwanza haitokuja kuwezekana Mwanamke akawa Sawa na Mwanaume dunia ingalipo.

Hata huyo Lusifa aliyekuwa anamdanganya Eva ni ana-character ya kiume, huyo Mungu Mkuu ana-character ya kiume. Hivyo ni kusema vyovyote mwanamke atakavyochagua iwe upande wa Shetani au Mungu bado atajikuta anaongozwa na mfumo Dume.

Madhara ya ufeminist ndio yalifanya Adamu akafukuzwa pale Bustani ya Edeni.

Moja ya Madai ya ufeminizimu(feminism) ni mwanamke KUSIKILIZWA. Wakati kiroho hakuna kitu Kama hicho.
Mwanaume ndiye anasikilizwa anataka nini? Na sio mwanamke.

Kumsikiliza mwanamke ni kutaka maanguko tuu. Kwanza mwanamke akili yake haioni mbali, yeye anachotaka ni kutatua tatizo lililopo mbele yake tu.

Wanawake ni vipofu ambao kiongozi wao ni mwanaume.

Mungu anamshangaa Adamu Kwa kumsikiliza Mkewe, wakati Mungu alimuachia maagizo Adamu kuwa yeye ndiye kiongozi hivyo Oda zote zinatakiwa azitiishe kwenye Ile Bustani akiwepo huyo mwanamke. Yaani mwanamke naye amtii Adamu.

Mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;

Mwanamke hapaswi kusikilizwa, wengi mtapinga Kwa sababu hamna upeo wa kuona mbele, mnaongozwa na Mapenzi na hisia za kipuuzi mtadhani Taikon ninataka kukandamiza Dada na Mama zangu Jambo ambalo sio Kweli.

Ufeminist umeongezeka maradufu katika Zama hizi.
Wanawake wanataka kusikilizwa,
Wanawake wanataka utawala na mamlaka,
Wanawake wanataka kuongoza familia,
Wanawake wanataka kuvuja Kwa jasho,
Wanawake wanataka kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja,

Matokeo ya ufeminist ni mwanamke kuzaa Kwa uchungu, na sio kuzaa tuu Kule Kwa kuzaa watoto, Hasha Bali kupata matatizo yanayotia maumivu mioyo Yao.

Ufeminist umekuwa mzigo Kwa wanawake Kwa sababu

1. Kwa sasa Wanawake kuwapata ni rahisi yaani thamani Yao imeshuka

Yaani Kwa sasa unaweza hangaika kupata mayai ya Kuku WA kienyeji lakini kamwe huwezi hangaika kupata mwanamke WA kulala naye.

Hii inafanya wanawake wasiwe na laziada Kwa wanaume.

Zingatia kitu pekee ambacho mwanamke atamringishia Mwanaume ni Uchi wake tuu! Vingine vyote wanaume wanavyo tena kwa mbali na ubora maradufu.

2. Wanawake siku hizi wanamzigo wa Kulea watoto na familia
Ufeminist umeleta matokeo mabaya Kwa wanawake, kwani Kwa sasa baadhi Yao ndio wanahangaika wenyewe kutunza familia, jasho linawatoka hasa, wajibu ambao haukuwa wao.

Wanaume wengi Kwa Kupenda bwerere wanapigania Kwa makusudi ufeminist Kwa maslahi Yao hasa ya kibiashara huku wanawake wakimenyeka.

3. Ufeminist unadhalilisha uanamke
Siku hizi ni ngumu kuuona uchi wa Kondoo kuliko kuuona uchi wa Mwanamke. Yaani mwanaume kila ukikatiza unaona uchi ule pale, ukipita mitandaoni ule pale. Ufeminist umekuwa mzigo Kwa Dada zetu. Wanadhalilika hasa.

Ukipiga marufuku na kutoa adhabu Kwa wakala uchi, feminist watajitokeza kuwa unawanyima haki zao. Yaani haki ya mtu kujidhalilisha. Matokeo yake ni wanawake kutokuwa na mvuto Kwa wanaume, umalaya kuongezeka, single mother kuwa wengi n.k.

4. Wanawake kuzaa na Kulea watoto na mababa wengi Kama wanyama wengine.
Huenda isiwe lugha nzuri kwani labda ndugu au watu wangu wa karibu au hata binti zangu wanaweza kujikuta katika Hali hii. Lakini ukweli lazima tuuseme. Ufeminist umeongeza Kasi ya wanawake kuzaa na wanaume wengi. Sio ajabu kukuta Mwanamke kila mtoto anababa yake.

Huo ni mzigo na aibu Kwa mwanamke yeyote anayejua thamani ya mwanamke. Zingatia, thamani ya mwanamke ipo katika kujifunza. Yaani kile ambacho anacho ambacho anaweza kukitumia kama silaha Kwa mwanaume.

5. Mzigo wa kujitongozesha
Ufeminist umepelekea hatua wanawake wanapishana Kwa Masheikhe, waganga, wachungaji na manabii uchwara kisa kutafuta wanaume wa kuwaoa au hata kuishi nao. Kitu cha thamani hakiwezi kuhangaika hivyo, Bali Sisi wanaume ndio tulipaswa kwenda Kwa waganga kisa wanawake.

Kwa zamani mwanamke kamwe hawezi kwenda Kwa mganga ati kutafuta mvuto wa kupendwa na Wanaume. Labda akienda Kwa mganga ni kumuweka mumewe aliyemuoa kiganjani kuwa asione wanawake wengine.

6. Wanawake ku-share mapenzi pamoja na binti zao

Ufeminist umechangia pakubwa Wamama wengi ku-share penzi na binti yake Kwa mwanaume Fulani.

Mfano, Kwa mwanamke anayejitambua na Mwanamke kweli, kamwe hawezi kutoka kimapenzi na kijana aliyemzidi umri zaidi ya mitano au kumi. Achilia mbali mmama kutoka na kijana Mdogo Jambo ambalo mara nyingi husababisha Kijana kutoka na binti, Hali iñayopelekea mtu Kula kuku na mayai.

Mwanaume ndiye anauwezo wa kuoa mwanamke hata kama amemzidi miaka arobaini. Ni Sawa tuu.

7. Wanawake kujikuta katika biashara ya umalaya Jambo ambalo linaathiri thamani Yao
Kadiri biashara ya umalaya inavyoshamiri ndivyo umuhimu wa Ndoa unakosekana.
Kwa sehemu kubwa ndoa Kwa mwanaume ni tendo lenyewe. Mwanaume Kama anauhakika wa kupata tendo la ndoa muda autakao Kwa gharama nafuu hawezi kuona umuhimu wa Ndoa.

Nachelea kusema, Kama wanawake wakiamua Kwa pamoj kuweka mgomo wa miezi mitatu mfululizo wa kutokuwapa wanaume tendo la ndoa Kwa ambao hawajao basi ndoa nyingi zitatangazwa na wengi wataolewa. Hata hivyo kesi za ubakaji zitaripotiwa mahali mahali pia.

Niliwahi kusema mwanamke wakati mwingine kujiingiza katika utafutaji wa kubangaiza na kusaka tonge kunaweza kumuingiza kwenye umalaya.

Nipumzike sasa.
Nitacheza na yeyote kadiri anavyotaka tucheze.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sawa Tycoon
 
Unaijua mkuu masculinity vizuri?. Hiv mwanaume kugoma kulia hata kama roho inamuuma unadhan ni kawaida?.
Masculinity ndio hiyo hiyo inayoplekea mwanaume kufa miaka 5 kabla ya mkewe
Unatakiwa ujue mfumo wa masculinity haujawahi mshape mwanaume kubehave kwa kureflect emotional reaction, wanaume wanafeel jambo ila hawatakiwi kuliprocess kwa hisia (emotional) wanatakiwa kuliprocess kwa Mantiki (logic).

Mfano, mwanaume umekaa na mkeo unapigiwa simu mtoto wako amepatwa na tatizo anapelekwa hospital, mwanamke ile taarifa itaingia chumba cha hisia moja kwa moja na ataanza kureact tofauti jambo la kwanza katika akili yake ni kupanic na kuanza kubwabaja maneno kama si kuanza kulia, ila mwanaume ile taarifa ikifika kitu cha kwanza itapokelewa chumba cha manitiki na mara moja ataanza kuprocess namna ya kuhandle hiyo taarifa nanm kudeal na situation.

Akili itamwambia kavae chukua wallet na funguo ya gari katoe gari getini uondoke kuelekea eneo la tukio tayari kukabili majukumu.

Mfano mwingine, maisha ni magumu kijana ndio ameanza kujitegemea yupo mwenyewe. Masculinity inamtaka kijana aanze kuformulate njia kadhaa za kuanza kujijengea uwezo wa kujitegemea bila kumlalia mtu yaani kuanza kujitafutia kipato. Ila mwanamke jambo la kwanza ni atafute mtu wa karibu wa kumsaidia ili aweze kuepuka hofu ya ugumu wa maisha. Unaweza kuta mwanamke yupo mwenyewe ila uliza nyuma ya pazia mwanaume hatokosekana, anaweza kuwa ni boss wake, kaka yake, baba yake, mdogo wake wa kiume, mjomba wake, au basi tu mwanaume.

Anyways, hizi habari za mwanaume kuishi miaka michache na kufa mapema ni matokeo ya women talk kuwaambia wanaume namna ya kuwa wanaume. Unaambiwa ulee watoto wasio wako sababu kitanda hakizai haramu, uhudumie mwanamke hata kama anapesa sababu pesa za mwanamke ni zake pekee yake na za mwanaume ni za mke pia, au kusema mwanaume na yeye akipatwa na makubwa alie ili kupunguza machungu moyoni. Huu ni upuuzi na hakuna sehemu masculinity imesuggest haya mambo maana ni kinyume na uanaume.

Mwanaume kuoa mwanamke ambaye ameshazaa na mwanaume mwingine ni yeye atake kinyume na hapo hakuna uhusiano kati ya uanaume na kulea ujauzito au mtoto wa mwanaume mwingine hio sio sehemu ya masculinity.

Mwanaume hatakiwi kulia kwa lolote sababu akifanya hivyo anapoteza muda wa kufikiria utatuzi na kuweza kuhandle situation. Imagine mwanaume yupo na mwanamke wake wanapita kichochoroni anakutana na vibaka so aanze kulia na kudeka aiiwabembeleza wasimdhuru baada ya kutazama namna ya kuwakabili?!

Au Mwanaume umetokea msiba au hali ngumu ya maisha, akae chini aanze kulia na mkewe eti kwasababu asipofanya hivyo basi itamsababishia magonjwa ya moyo sijui na kuishi muda mfupi?!

Au kukasirika na kupanic ile ya fujo, hizo sio tabia za kiume hata kidogo na hazina uhusiano na uanaume. Mwanaume akipishana na mwanamke au mwanaume mwenzake jambo la kwanza ni kumuepuka na kuendelea na maisha bila kushikana mashati maana huwezi kulazimisha mtu afanye asichokuwa tayari na hiyo ina maanisha haujamudu kumuweka under control so why ufosi.

So kuna mengi Jamii haijui kuhusu masculinity ila wanaongelea as if wanaielewa.
 
Unatakiwa ujue mfumo wa masculinity haujawahi mshape mwanaume kubehave kwa kureflect emotional reaction, wanaume wanafeel jambo ila hawatakiwi kuliprocess kwa hisia (emotional) wanatakiwa kuliprocess kwa Mantiki (logic).

Mfano, mwanaume umekaa na mkeo unapigiwa simu mtoto wako amepatwa na tatizo anapelekwa hospital, mwanamke ile taarifa itaingia chumba cha hisia moja kwa moja na ataanza kureact tofauti jambo la kwanza katika akili yake ni kupanic na kuanza kubwabaja maneno kama si kuanza kulia, ila mwanaume ile taarifa ikifika kitu cha kwanza itapokelewa chumba cha manitiki na mara moja ataanza kuprocess namna ya kuhandle hiyo taarifa nanm kudeal na situation.

Akili itamwambia kavae chukua wallet na funguo ya gari katoe gari getini uondoke kuelekea eneo la tukio tayari kukabili majukumu.

Mfano mwingine, maisha ni magumu kijana ndio ameanza kujitegemea yupo mwenyewe. Masculinity inamtaka kijana aanze kuformulate njia kadhaa za kuanza kujijengea uwezo wa kujitegemea bila kumlalia mtu yaani kuanza kujitafutia kipato. Ila mwanamke jambo la kwanza ni atafute mtu wa karibu wa kumsaidia ili aweze kuepuka hofu ya ugumu wa maisha. Unaweza kuta mwanamke yupo mwenyewe ila uliza nyuma ya pazia mwanaume hatokosekana, anaweza kuwa ni boss wake, kaka yake, baba yake, mdogo wake wa kiume, mjomba wake, au basi tu mwanaume.

Anyways, hizi habari za mwanaume kuishi miaka michache na kufa mapema ni matokeo ya women talk kuwaambia wanaume namna ya kuwa wanaume. Unaambiwa ulee watoto wasio wako sababu kitanda hakizai haramu, uhudumie mwanamke hata kama anapesa sababu pesa za mwanamke ni zake pekee yake na za mwanaume ni za mke pia, au kusema mwanaume na yeye akipatwa na makubwa alie ili kupunguza machungu moyoni. Huu ni upuuzi na hakuna sehemu masculinity imesuggest haya mambo maana ni kinyume na uanaume.

Mwanaume kuoa mwanamke ambaye ameshazaa na mwanaume mwingine ni yeye atake kinyume na hapo hakuna uhusiano kati ya uanaume na kulea ujauzito au mtoto wa mwanaume mwingine hio sio sehemu ya masculinity.

Mwanaume hatakiwi kulia kwa lolote sababu akifanya hivyo anapoteza muda wa kufikiria utatuzi na kuweza kuhandle situation. Imagine mwanaume yupo na mwanamke wake wanapita kichochoroni anakutana na vibaka so aanze kulia na kudeka aiiwabembeleza wasimdhuru baada ya kutazama namna ya kuwakabili?!

Au Mwanaume umetokea msiba au hali ngumu ya maisha, akae chini aanze kulia na mkewe eti kwasababu asipofanya hivyo basi itamsababishia magonjwa ya moyo sijui na kuishi muda mfupi?!

Au kukasirika na kupanic ile ya fujo, hizo sio tabia za kiume hata kidogo na hazina uhusiano na uanaume. Mwanaume akipishana na mwanamke au mwanaume mwenzake jambo la kwanza ni kumuepuka na kuendelea na maisha bila kushikana mashati maana huwezi kulazimisha mtu afanye asichokuwa tayari na hiyo ina maanisha haujamudu kumuweka under control so why ufosi.

So kuna mengi Jamii haijui kuhusu masculinity ila wanaongelea as if wanaielewa.

Kama hawajaelewa hapa watahitaji bakora za uhakika.
Maelezo yako yamenyooka kama Rula.
Yaani umeeleza zaidi yangu.
Much respect Mkuu
 
Unatakiwa ujue mfumo wa masculinity haujawahi mshape mwanaume kubehave kwa kureflect emotional reaction, wanaume wanafeel jambo ila hawatakiwi kuliprocess kwa hisia (emotional) wanatakiwa kuliprocess kwa Mantiki (logic).

Mfano, mwanaume umekaa na mkeo unapigiwa simu mtoto wako amepatwa na tatizo anapelekwa hospital, mwanamke ile taarifa itaingia chumba cha hisia moja kwa moja na ataanza kureact tofauti jambo la kwanza katika akili yake ni kupanic na kuanza kubwabaja maneno kama si kuanza kulia, ila mwanaume ile taarifa ikifika kitu cha kwanza itapokelewa chumba cha manitiki na mara moja ataanza kuprocess namna ya kuhandle hiyo taarifa nanm kudeal na situation.

Akili itamwambia kavae chukua wallet na funguo ya gari katoe gari getini uondoke kuelekea eneo la tukio tayari kukabili majukumu.

Mfano mwingine, maisha ni magumu kijana ndio ameanza kujitegemea yupo mwenyewe. Masculinity inamtaka kijana aanze kuformulate njia kadhaa za kuanza kujijengea uwezo wa kujitegemea bila kumlalia mtu yaani kuanza kujitafutia kipato. Ila mwanamke jambo la kwanza ni atafute mtu wa karibu wa kumsaidia ili aweze kuepuka hofu ya ugumu wa maisha. Unaweza kuta mwanamke yupo mwenyewe ila uliza nyuma ya pazia mwanaume hatokosekana, anaweza kuwa ni boss wake, kaka yake, baba yake, mdogo wake wa kiume, mjomba wake, au basi tu mwanaume.

Anyways, hizi habari za mwanaume kuishi miaka michache na kufa mapema ni matokeo ya women talk kuwaambia wanaume namna ya kuwa wanaume. Unaambiwa ulee watoto wasio wako sababu kitanda hakizai haramu, uhudumie mwanamke hata kama anapesa sababu pesa za mwanamke ni zake pekee yake na za mwanaume ni za mke pia, au kusema mwanaume na yeye akipatwa na makubwa alie ili kupunguza machungu moyoni. Huu ni upuuzi na hakuna sehemu masculinity imesuggest haya mambo maana ni kinyume na uanaume.

Mwanaume kuoa mwanamke ambaye ameshazaa na mwanaume mwingine ni yeye atake kinyume na hapo hakuna uhusiano kati ya uanaume na kulea ujauzito au mtoto wa mwanaume mwingine hio sio sehemu ya masculinity.

Mwanaume hatakiwi kulia kwa lolote sababu akifanya hivyo anapoteza muda wa kufikiria utatuzi na kuweza kuhandle situation. Imagine mwanaume yupo na mwanamke wake wanapita kichochoroni anakutana na vibaka so aanze kulia na kudeka aiiwabembeleza wasimdhuru baada ya kutazama namna ya kuwakabili?!

Au Mwanaume umetokea msiba au hali ngumu ya maisha, akae chini aanze kulia na mkewe eti kwasababu asipofanya hivyo basi itamsababishia magonjwa ya moyo sijui na kuishi muda mfupi?!

Au kukasirika na kupanic ile ya fujo, hizo sio tabia za kiume hata kidogo na hazina uhusiano na uanaume. Mwanaume akipishana na mwanamke au mwanaume mwenzake jambo la kwanza ni kumuepuka na kuendelea na maisha bila kushikana mashati maana huwezi kulazimisha mtu afanye asichokuwa tayari na hiyo ina maanisha haujamudu kumuweka under control so why ufosi.

So kuna mengi Jamii haijui kuhusu masculinity ila wanaongelea as if wanaielewa.
Maelezo yako sio huru. Zungumza kama mtu huru anaetaka kutibu tatizo. Naomba tafuta kitab kimoja amekiandika Harris 1986. Kinaitwa "message men hear, construct masculinity". Lazima ukubali kwamba tunaendesha na ideology ambayo ina binary opposition ndani yake. Yani (Kiza vs Mwanga, MUME vs MKE, kulia VS kucheka, Huzuni vs Furaha n. K). Hii ishu imejikita Sana kwenye kila ngaz ya tamaduni. Ndo mana mawanamke akishindwa jambo, mwanaume piga ua atafosi aliweze (KUSHINDWA VS KUSHINDA). hii Inapelekea mgawanyo wa majukum Kat ya wanajamii Ukae kwenye 'Binary opposition'. Mwanaume Leo kumwambia apike wakat mkewe yuo ni tatizo kubwa tu la kutukana mpaka matusi. Hii primarily ni kwamba kama mwanamke kazi yake kupika bhasi mwanaume Hapiki. Mkuu unaposema likittokea tatizo mwanamke apaniki bhas mwanaume ASIPANIKI. ili kuonyesha utofauti wao, lakini basic ni JINSIA zao (viungo). Bado huwez kutib tatizo Kwa mitazamo hiyo. Utaleta ubishani wa NATURE AND NURTURE sasahivi.
Swali, je mwanaume kutopaniki katika matatizo ni asili au ni utamaduni?
 
🤣🤣🤣Wanaumia sana,sijui kwanini

Ndio akili za kike zilivyo.

Kama tuu mwanamke ukimtazama akili yake inafikiri umempenda,
Au ukimtongoza akili yake inamtuma umempenda,
Kwa nin msifikiri Kwa namna hiyo.

Kitu pekee mwanamke atafanya mwanaume aumie ni kumcheat, yaani uwe mkewe akupendaye alafu um-cheat. Zaidi ya hapo hakuna kingine
 
Anaandika, Robert Heriel

Angalizo; lugha itakayotumika inaweza isiwe nzuri. Hivyo Kama ni mwepesi WA mihemko basi unashauriwa kuishia hapahapa. Endapo utaendelea kusoma, na ukapata madhara yoyote ya kihisia au kisaikolojia basi sitakuwa sehemu ya lawama.

Nafahamu ili familia ianguke basi Mama ndiye atakuwa wa Kwanza kuiangusha familia, najua jamii na taifa ili iaungike basi wanawake watakuwa wakwanza kuwa chanzo cha anguko Hilo.
Dini na vitabu vya dini kubwa vinaeleza namna Mwanamke alivyokuwa chanzo kikuu cha anguko la Dunia.

Mtu ni masikini alafu unaiga ufeminist Kama sio kutaka kujiingiza kwenye umalaya ni kitu gani. Kama sio kutaka kuzaazaa hovyo na wanaume wengi pasipo adabu ya kike ni nini.
Kuangalia filamu za Hollywood ndio udhani uyaonayo ni kweli?
Kupata hako kadegree Kako kamoja ndio ufikiri usomi ndio kutaka mambo ya kipuuzi?

Kwa mujibu Biblia, Feminist wa Kwanza kabisa alikuwa Eva/Hawa ambaye alitamani kufanana na MUNGU, yaani alitaka kumpiku mpaka Adamu mumewe. Shetani alitumia tamaa ya Hawa ya kutaka kumpindua Adamu tena ikiwezekana kufanana na Mungu, na ndipo Shetani anamuambia Hawa/Eva.

Mwanzo 3:4
Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3:5
kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

Shetani kamwe hawezi kukujaribu Kwa kitu ambacho sio tamaa yako. Hata Biblia inasema; Mtu hujaribiwa Kwa tamaa yake MWENYEWE.

Hata hivyo, Shida au changamoto Fulani inayokusibu huweza kutumiwa na Shetani kukujaribu.

Hawa/ Eva alikuwa amezidiwa Kwa mambo mengi na Adamu. Kumbuka Adamu ni mfano wa MUNGU, wakati Eva ni mfano wa Adamu.

Ufeminist wa Eva Kwa kutaka kumzidi Adamu tena ikiwezekana afanane na Mungu unageuka kuwa mzigo tofauti na vile alivyotarajia.

Kwanza haitokuja kuwezekana Mwanamke akawa Sawa na Mwanaume dunia ingalipo.

Hata huyo Lusifa aliyekuwa anamdanganya Eva ni ana-character ya kiume, huyo Mungu Mkuu ana-character ya kiume. Hivyo ni kusema vyovyote mwanamke atakavyochagua iwe upande wa Shetani au Mungu bado atajikuta anaongozwa na mfumo Dume.

Madhara ya ufeminist ndio yalifanya Adamu akafukuzwa pale Bustani ya Edeni.

Moja ya Madai ya ufeminizimu(feminism) ni mwanamke KUSIKILIZWA. Wakati kiroho hakuna kitu Kama hicho.
Mwanaume ndiye anasikilizwa anataka nini? Na sio mwanamke.

Kumsikiliza mwanamke ni kutaka maanguko tuu. Kwanza mwanamke akili yake haioni mbali, yeye anachotaka ni kutatua tatizo lililopo mbele yake tu.

Wanawake ni vipofu ambao kiongozi wao ni mwanaume.

Mungu anamshangaa Adamu Kwa kumsikiliza Mkewe, wakati Mungu alimuachia maagizo Adamu kuwa yeye ndiye kiongozi hivyo Oda zote zinatakiwa azitiishe kwenye Ile Bustani akiwepo huyo mwanamke. Yaani mwanamke naye amtii Adamu.

Mwanzo 3:17
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;

Mwanamke hapaswi kusikilizwa, wengi mtapinga Kwa sababu hamna upeo wa kuona mbele, mnaongozwa na Mapenzi na hisia za kipuuzi mtadhani Taikon ninataka kukandamiza Dada na Mama zangu Jambo ambalo sio Kweli.

Ufeminist umeongezeka maradufu katika Zama hizi.
Wanawake wanataka kusikilizwa,
Wanawake wanataka utawala na mamlaka,
Wanawake wanataka kuongoza familia,
Wanawake wanataka kuvuja Kwa jasho,
Wanawake wanataka kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja,

Matokeo ya ufeminist ni mwanamke kuzaa Kwa uchungu, na sio kuzaa tuu Kule Kwa kuzaa watoto, Hasha Bali kupata matatizo yanayotia maumivu mioyo Yao.

Ufeminist umekuwa mzigo Kwa wanawake Kwa sababu

1. Kwa sasa Wanawake kuwapata ni rahisi yaani thamani Yao imeshuka

Yaani Kwa sasa unaweza hangaika kupata mayai ya Kuku WA kienyeji lakini kamwe huwezi hangaika kupata mwanamke WA kulala naye.

Hii inafanya wanawake wasiwe na laziada Kwa wanaume.

Zingatia kitu pekee ambacho mwanamke atamringishia Mwanaume ni Uchi wake tuu! Vingine vyote wanaume wanavyo tena kwa mbali na ubora maradufu.

2. Wanawake siku hizi wanamzigo wa Kulea watoto na familia
Ufeminist umeleta matokeo mabaya Kwa wanawake, kwani Kwa sasa baadhi Yao ndio wanahangaika wenyewe kutunza familia, jasho linawatoka hasa, wajibu ambao haukuwa wao.

Wanaume wengi Kwa Kupenda bwerere wanapigania Kwa makusudi ufeminist Kwa maslahi Yao hasa ya kibiashara huku wanawake wakimenyeka.

3. Ufeminist unadhalilisha uanamke
Siku hizi ni ngumu kuuona uchi wa Kondoo kuliko kuuona uchi wa Mwanamke. Yaani mwanaume kila ukikatiza unaona uchi ule pale, ukipita mitandaoni ule pale. Ufeminist umekuwa mzigo Kwa Dada zetu. Wanadhalilika hasa.

Ukipiga marufuku na kutoa adhabu Kwa wakala uchi, feminist watajitokeza kuwa unawanyima haki zao. Yaani haki ya mtu kujidhalilisha. Matokeo yake ni wanawake kutokuwa na mvuto Kwa wanaume, umalaya kuongezeka, single mother kuwa wengi n.k.

4. Wanawake kuzaa na Kulea watoto na mababa wengi Kama wanyama wengine.
Huenda isiwe lugha nzuri kwani labda ndugu au watu wangu wa karibu au hata binti zangu wanaweza kujikuta katika Hali hii. Lakini ukweli lazima tuuseme. Ufeminist umeongeza Kasi ya wanawake kuzaa na wanaume wengi. Sio ajabu kukuta Mwanamke kila mtoto anababa yake.

Huo ni mzigo na aibu Kwa mwanamke yeyote anayejua thamani ya mwanamke. Zingatia, thamani ya mwanamke ipo katika kujifunza. Yaani kile ambacho anacho ambacho anaweza kukitumia kama silaha Kwa mwanaume.

5. Mzigo wa kujitongozesha
Ufeminist umepelekea hatua wanawake wanapishana Kwa Masheikhe, waganga, wachungaji na manabii uchwara kisa kutafuta wanaume wa kuwaoa au hata kuishi nao. Kitu cha thamani hakiwezi kuhangaika hivyo, Bali Sisi wanaume ndio tulipaswa kwenda Kwa waganga kisa wanawake.

Kwa zamani mwanamke kamwe hawezi kwenda Kwa mganga ati kutafuta mvuto wa kupendwa na Wanaume. Labda akienda Kwa mganga ni kumuweka mumewe aliyemuoa kiganjani kuwa asione wanawake wengine.

6. Wanawake ku-share mapenzi pamoja na binti zao

Ufeminist umechangia pakubwa Wamama wengi ku-share penzi na binti yake Kwa mwanaume Fulani.

Mfano, Kwa mwanamke anayejitambua na Mwanamke kweli, kamwe hawezi kutoka kimapenzi na kijana aliyemzidi umri zaidi ya mitano au kumi. Achilia mbali mmama kutoka na kijana Mdogo Jambo ambalo mara nyingi husababisha Kijana kutoka na binti, Hali iñayopelekea mtu Kula kuku na mayai.

Mwanaume ndiye anauwezo wa kuoa mwanamke hata kama amemzidi miaka arobaini. Ni Sawa tuu.

7. Wanawake kujikuta katika biashara ya umalaya Jambo ambalo linaathiri thamani Yao
Kadiri biashara ya umalaya inavyoshamiri ndivyo umuhimu wa Ndoa unakosekana.
Kwa sehemu kubwa ndoa Kwa mwanaume ni tendo lenyewe. Mwanaume Kama anauhakika wa kupata tendo la ndoa muda autakao Kwa gharama nafuu hawezi kuona umuhimu wa Ndoa.

Nachelea kusema, Kama wanawake wakiamua Kwa pamoj kuweka mgomo wa miezi mitatu mfululizo wa kutokuwapa wanaume tendo la ndoa Kwa ambao hawajao basi ndoa nyingi zitatangazwa na wengi wataolewa. Hata hivyo kesi za ubakaji zitaripotiwa mahali mahali pia.

Niliwahi kusema mwanamke wakati mwingine kujiingiza katika utafutaji wa kubangaiza na kusaka tonge kunaweza kumuingiza kwenye umalaya.

Nipumzike sasa.
Nitacheza na yeyote kadiri anavyotaka tucheze.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwa miaka hii ya sasa kwa JF Mkuu unaongoza kwa kuleta NONDO za maana.

Ubarikiwe sana.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ingaww kuna ukweli fulani kwenye hili.

Lakini huko vijijini toka zamani Mama ndiye anahangaika kulima kulea watoto wakati Baba ni mlevi na kazi yake kuoa wake wengi.

Haina tofauti sana.
Kuna tofauti,mama alihangaika lakini hakuwa na sauti ya kusema hiki ni changu au hiki usikiguse ama watoto wawehivi ama vile.Hiyo ndo tofauti na sasa!
 
Ila ww mshakaji, una umri mdogo kama mimi tu ila uwezo wako wa kufikiria ni mkubwa sana.. nasoma sana makala zako FB na hapa JF, kiukweli nikupongeze unaniongzezea kitu fulan ktk baadhi ya makala zako.

Unajua sana kuelezea jambo ulilokusudia kuliandika, kiufupi unajua sana mwamba

Kweli ww ni taikon[emoji120]
 
Back
Top Bottom