Femous Quotes by JF Members.

Femous Quotes by JF Members.

WATANZANIA TUNA UWOGA , SIO AMANI TUNADANGANYWA, sacrifice for your son and daughter AMKA KIFIKRA


By MR. ABLE
 
Last edited by a moderator:
"Kati ya kazi rahisi na nyepesi ni kupeleka mkono kinywani hata kuwe na giza totoro, ila ni ngumu unapokua huna hela"
Sosi: watu8
 
"Searching...100%
Loading...100%
Network connected!"
huyu anaitwa THK DJAY cjui cna hakika na jina
 
Kadoda11 nashukuru kwa kuutambua mchango wangu !

Kumbe uko araundi mkuu MNYISANZU? Kuna kauli uliitoaga yaani siwezi kukusahau. Unakumbuka hii? "Nawachukia wapemba kuliko ninavyowachukia wauaji wa albino"
 
Last edited by a moderator:
Kumbe uko araundi mkuu MNYISANZU? Kuna kauli uliitoaga yaani siwezi kukusahau. Unakumbuka hii? "Nawachukia wapemba kuliko ninavyowachukia wauaji wa albino"
Naikumbuka vizuri sana. Huo ndio msimamo wangu Chilli na hautabadilika kamwe !
 
Back
Top Bottom