Kukunjuliwa sidhani Kama Ni tatizo mkuu,Zina miezi 4 na zimekunjuliwa anauza 80 sawa mkuu
Mimi nahitaji ila hiyo bei hapana akiuza elf 35,000 nijulishe nije kubeba zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kama ukikubaliana na hiyo bei nielekze nijeKukunjuliwa sidhani Kama Ni tatizo mkuu,
Ishu Ni kwamba bado ziko ktk ubora. Pia hakuna hata moja iliyo chanika Wala kupanuliwa. Na sidhani Kama kweli upo serious kamana kutoka kwa Bei ya kiwanfani 92 elf, madukani moja Ni laki moja na 20. Wewe unasema 35 elfu. Dah[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeongeza dau 40 nije kuchukua mzigoFencing wire zinauza, Kama utahitaji na hizo chuma zake Bei itapoa kidogo.
Fensi imetumika miezi 4, ilinunuliwa mwezi wa Kwanza Kisha ikazungushiwa kiwanja ambacho hakikuwa ramsi kwa mhusika.
Hivyo ameamriwa kuitoa, na Hana kazi nayo kwa sasa.
Fensi ziko rola 11. Ni zile nzito (Nene mm 2.5). Na rola moja inauzwa 92 elfu KAMAKA. Yeye anauza 80 elfu kwa kila moja.
Bomba za chuma nchi 2.5, Ni vipande vyenye urefu wa mita 2.1/4 kila moja. Zipo 44, na kila moja Ni 20 efu. Ni zile black pipe nzito, na zimepakwa rangi ya kuzia kutu na nyeusi.View attachment 1449790View attachment 1449791View attachment 1449792
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ni kweli unazihitaji au unajaribia, na je, unahitji za bomba zake au waya TU?
Nimeona mkuu ningekuwa na muwakilishi huko tungezungumza bei na namna ya kuufikisha Kahama.
Nahitaji wire tuMkuu Ni kweli unazihitaji au unajaribia, na je, unahitji za bomba zake au waya TU?
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja Ni mita 10-11. NAUZA kadiri ya mahitaji ya mtu, lakini akichukuwa zote itakuwa Bora zaidi. Na Bei inapungua.Hizo roller za waya, moja ina ukubwa gani? Unauza zotepamoja au kadiri ya mahitaji ya mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nitakuwa Sina jibu sahihi, unaweza kunisaidia mahesa, zipo 11, na kimezungushiwa kiwanja Cha mita 32 kwa 26. Na zimeenea. piga hesabu utajua Kila moja Ina ukubwa gani.Kwa kawaida urefu wake huwa ni 15m kwanini zako ziko 11m?
Mkuu kiwanja cha mita 32 *26= mita 832.Urefu huo unahitaji fencing wire almost 55.Wewe unasema ziko 11 hii maana yake ni kwamba kila fencing wire mmoja ina urefu wa zaidi ya mita 75 jambo ambalo haliwezekani! Angalia vizuri maelezo yako.Hapo nitakuwa Sina jibu sahihi, unaweza kunisaidia mahesa, zipo 11, na kimezungushiwa kiwanja Cha mita 32 kwa 26. Na zimeenea. piga hesabu utajua Kila moja Ina ukubwa gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kula laki 4 mzigo wote huoFencing wire zinauza, Kama utahitaji na hizo chuma zake Bei itapoa kidogo.
Fensi imetumika miezi 4, ilinunuliwa mwezi wa Kwanza Kisha ikazungushiwa kiwanja ambacho hakikuwa ramsi kwa mhusika.
Hivyo ameamriwa kuitoa, na Hana kazi nayo kwa sasa. Fensi ziko rola 11. Ni zile nzito (Nene mm 2.5). Na rola moja inauzwa 92 elfu KAMAKA. Yeye anauza 80 elfu kwa kila moja.
Bomba za chuma nchi 2.5, Ni vipande vyenye urefu wa mita 2.1/4 kila moja. Zipo 44, na kila moja Ni 20 efu. Ni zile black pipe nzito, na zimepakwa rangi ya kuzia kutu na nyeusi.
View attachment 1449790View attachment 1449791View attachment 1449792
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nahisi ni Kisemvule kwenye ule mradi wa Obey, tumepakana, mimi nina viwanja nane. Nilinunua hapo. Nikaambiwa hapo kwa mzungu. Juzi nilipigiwa simu kama nikitaka kuongeza eneo nilipie hilo, Mzungu kasepa, alijenga kabla ya kumaliza deni la viwanja. Alikutana na wachaga wa townFencing wire zinauza, Kama utahitaji na hizo chuma zake Bei itapoa kidogo.
Fensi imetumika miezi 4, ilinunuliwa mwezi wa Kwanza Kisha ikazungushiwa kiwanja ambacho hakikuwa ramsi kwa mhusika.
Hivyo ameamriwa kuitoa, na Hana kazi nayo kwa sasa. Fensi ziko rola 11. Ni zile nzito (Nene mm 2.5). Na rola moja inauzwa 92 elfu KAMAKA. Yeye anauza 80 elfu kwa kila moja.
Bomba za chuma nchi 2.5, Ni vipande vyenye urefu wa mita 2.1/4 kila moja. Zipo 44, na kila moja Ni 20 efu. Ni zile black pipe nzito, na zimepakwa rangi ya kuzia kutu na nyeusi.
View attachment 1449790View attachment 1449791View attachment 1449792
Sent using Jamii Forums mobile app