Imphuvyi
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 224
- 154
Fencing wire zinauza, Kama utahitaji na hizo chuma zake Bei itapoa kidogo.
Fensi imetumika miezi 4, ilinunuliwa mwezi wa Kwanza Kisha ikazungushiwa kiwanja ambacho hakikuwa ramsi kwa mhusika.
Hivyo ameamriwa kuitoa, na Hana kazi nayo kwa sasa. Fensi ziko rola 11. Ni zile nzito (Nene mm 2.5). Na rola moja inauzwa 92 elfu KAMAKA. Yeye anauza 80 elfu kwa kila moja.
Bomba za chuma nchi 2.5, Ni vipande vyenye urefu wa mita 2.1/4 kila moja. Zipo 44, na kila moja Ni 20 efu. Ni zile black pipe nzito, na zimepakwa rangi ya kuzia kutu na nyeusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fensi imetumika miezi 4, ilinunuliwa mwezi wa Kwanza Kisha ikazungushiwa kiwanja ambacho hakikuwa ramsi kwa mhusika.
Hivyo ameamriwa kuitoa, na Hana kazi nayo kwa sasa. Fensi ziko rola 11. Ni zile nzito (Nene mm 2.5). Na rola moja inauzwa 92 elfu KAMAKA. Yeye anauza 80 elfu kwa kila moja.
Bomba za chuma nchi 2.5, Ni vipande vyenye urefu wa mita 2.1/4 kila moja. Zipo 44, na kila moja Ni 20 efu. Ni zile black pipe nzito, na zimepakwa rangi ya kuzia kutu na nyeusi.
Sent using Jamii Forums mobile app