Habari za majukumu wana jf mimi nina mtoto wa miezi 7 na nusu na mazingira ninayoishi yanajoto sana kiasi kwamba hata nikifungua madirishi bado joto linakuwa juu kiasi kwamba mtoto anapata tabu sana wakati wa kulala iwe mchana au usiku na hutokwa jasho sana kwahiyo naomba ushauli wenu kama ni salama kwa afya yake kama nikimuwashia feni maana huwa naogopa sana kuwasha feni.