Feni ya laptop inazunguruka mda wote

Feni ya laptop inazunguruka mda wote

buyoya419

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
618
Reaction score
498
Nina laptop dell 5289

Nikishaiwasha tu feni inaanza kuzunguruka mda wote

Ilianza inwzunguruka baada ya kama dakika 10 au 15 inaacha

Sasa hivi ndio imezidi mda wote inalia tu kwa sauti

Naombeni msaada wenu nifanye nini ikae sawa
 
1. Ulipoweka hakuna uwezekano wa hewa
2. Hard disk ina shida (rarely)

by the way fan inapaswa kizunguka muda wote kama kiuno
Hata nikiitumia nje ambapo kuna hewa nzuri bado inazunguruka tu
 
Dah yaani kero nimetumia laptop za nyuma feni ilikuwa inazunguruka mpk niwe na kazi nzito kwenye pc ndio naisikia

Ila hii naiwasha tu inaanza kuzunguruka haipoi
Hakuna shida sasa si ndio kazi yake.. maana yake machine ina overheat..check your laptop. Fan imatimiza wajibu wake wewe unakasiri
 
Shika window+R, kwenye jedwari dogo andika temp, %temp% uzifute, alafu ujaribu kuwasha tena
 
Fan inabidi izunguke muda wote (kwa PC karibia zote), spidi inabadilika kutokana na joto la CPU so kama inaenda kwa spidi sana maana yake CPU ina joto, joto linaweza kutokana na kazi inayofanya au ubovu wa mifumo ya kupooza.

Angalia Task Manager kuona kama kuna app umeinstall inatumia sana CPU, pia unaweza kuona temperature za CPU kwa kutumia Open Hardware Monitor - Core temp, fan speed and voltages in a free software gadget

Kwa ubovu wa mifumo ya kupooza angalia kama kuna vumbi/uchafu kwenye feni, puliza na mrija kutoa vumbi zaidi ya hapo ni heatsink au thermal paste haijakaa vizuri kwenye CPU hii inahitaji ufundi zaidi. Feni zenyewe nazo zinakufaga.
 
Fuata ushauri wa juu hapo wa kuangalia Task manager na kupima joto.

Feni halizunguruki kwa nguvu bure linaambiwa na sensor husika lipulizie hivyo kuna sababu, unatakiwa uijue sababu kujua unaanza wapi kusolve.
 
Nina laptop dell 5289

Nikishaiwasha tu feni inaanza kuzunguruka mda wote

Ilianza inwzunguruka baada ya kama dakika 10 au 15 inaacha

Sasa hivi ndio imezidi mda wote inalia tu kwa sauti

Naombeni msaada wenu nifanye nini ikae sawa
Hakuna hewa ulipoweka au kunapata joto. Kama vile kuiweka kwenye godoro. Shida hapo feni itakufa na procecer itafuatia.

Ova
 
Fan inabidi izunguke muda wote (kwa PC karibia zote), spidi inabadilika kutokana na joto la CPU so kama inaenda kwa spidi sana maana yake CPU ina joto, joto linaweza kutokana na kazi inayofanya au ubovu wa mifumo ya kupooza.

Angalia Task Manager kuona kama kuna app umeinstall inatumia sana CPU, pia unaweza kuona temperature za CPU kwa kutumia Open Hardware Monitor - Core temp, fan speed and voltages in a free software gadget

Kwa ubovu wa mifumo ya kupooza angalia kama kuna vumbi/uchafu kwenye feni, puliza na mrija kutoa vumbi zaidi ya hapo ni heatsink au thermal paste haijakaa vizuri kwenye CPU hii inahitaji ufundi zaidi. Feni zenyewe nazo zinakufaga.
hakika ni kweri
 
Niliifungua feni

Nikaisafisha then nikairudishia

Kwa sasa haitoi sauti kubwa kama ya mara ya kwanza

Yaani mpk uisikilizie karibu zaidi
 
Nina laptop dell 5289

Nikishaiwasha tu feni inaanza kuzunguruka mda wote

Ilianza inwzunguruka baada ya kama dakika 10 au 15 inaacha

Sasa hivi ndio imezidi mda wote inalia tu kwa sauti

Naombeni msaada wenu nifanye nini ikae sawa
Nenda kwa fundi JF .....??
 
Nina laptop dell 5289

Nikishaiwasha tu feni inaanza kuzunguruka mda wote

Ilianza inwzunguruka baada ya kama dakika 10 au 15 inaacha

Sasa hivi ndio imezidi mda wote inalia tu kwa sauti

Naombeni msaada wenu nifanye nini ikae sawa
Ndio imeahakufa itupe nunua nyingine..
 
Nina laptop dell 5289

Nikishaiwasha tu feni inaanza kuzunguruka mda wote

Ilianza inwzunguruka baada ya kama dakika 10 au 15 inaacha

Sasa hivi ndio imezidi mda wote inalia tu kwa sauti

Naombeni msaada wenu nifanye nini ikae sawa
Ipeleke haraka kwa fundi utaua processor nakuia kabisa isifanye kazi,km unaweza fungua ifungue ufanye hata usafi kwakua inaweza kua inagusa sehemu au kuna vumbi km mzunguko siwakawaida.
 
Back
Top Bottom