Fensi ipi nzuri ya kupanda yenye ulinzi mathubuti na inayorefuka hadi mita mbili?

Fensi ipi nzuri ya kupanda yenye ulinzi mathubuti na inayorefuka hadi mita mbili?

mtindo wa kiduwanzi sana huu

Weka security camera,infact huwezi zuia wizi kama wizi maana hakuna ukuta unaoweza zuia mtu kuruka

Labda uweke mita 100,which is useless

Weka camera za kutosha anaekuja kuiba aibe ile mahakama lazima afungwe

Pia weka electrical fence on top kama vipi

Ila yote hayo ni kujaza mauchafu tu, weka empty fence then cameras
Unaishi Mwenge kaja mwizi kutoka Tandika na kavaa Mask, hapo kamera nazo ni useless tu.

Weka hata sensor alarm, akivuka mahali tu (signal blocking) kitu kinaitika.

Tukirudi kwenye swali la mleta hoja ameuliza fence ya kuoteshwa (mmea), sio hizi za Mzungu au Mchina.
 
Unaishi Mwenge kaja mwizi kutoka Tandika na kavaa Mask, hapo kamera nazo ni useless tu.

Weka hata sensor alarm, akivuka mahali tu (signal blocking) kitu kinaitika.

Tukirudi kwenye swali la mleta hoja ameuliza fence ya kuoteshwa (mmea), sio hizi za Mzungu au Mchina.
Mkuu

Dhumuni la camera ni identification....

Mtu wa Dar anaenda kuiba Mwanza,picha zinapelekwa na anashikwa.

Na ukimkosa kabisa video inawekwa Online watu wanamu-identify na mtu anaelekezwa,anashikwa tu!

Sio issue kiivyo

Kuhusu fensi za mimea sio issue,ipo mimea maalumu ya fences,ni wewe kuchagua style unayotaka

Kabla ya tofali au senyenge,zamani fence zilikua ni za mimea tu,we know all that,ni yeye ku-revisit na kuchagua tu
 
Mkuu

Dhumuni la camera ni identification....

Mtu wa Dar anaenda kuiba Mwanza,picha zinapelekwa na anashikwa.

Na ukimkosa kabisa video inawekwa Online watu wanamu-identify na mtu anaelekezwa,anashikwa tu!

Sio issue kiivyo

Kuhusu fensi za mimea sio issue,ipo mimea maalumu ya fences,ni wewe kuchagua style unayotaka

Kabla ya tofali au senyenge,zamani fence zilikua ni za mimea tu,we know all that,ni yeye ku-revisit na kuchagua tu
Identification ipi na Mwizi anakuja amevaa mask? Anaweza pia kuvaa Pama au kapelo akaishusha Kwa mbele ikawa ngumu kumtambua.

Yaan unaweza kuona sawa mtu kwenye CCTV anaiba but hii ni after vitu vishaibiwa.

Ndo nikasema Kuna vingine huzuia asiibe kama sensor alarm. Hii kunafungwa devices ambazo zinaonana Kwa signals (visibility), mtu akikatiza tu akaziba zisionane inapiga alarm.

Au hata motion detector ambayo yenyewe sio mpaka u block signal, but any movement.
 
Maneno haya ndo kigezo cha Kwanza unapotaka kujenga ukuta "SAFETY AND SECURITY"
na hawa ni watu wawili tofauti katika USHAURI. ukuta Tu uko kundi la safety (inapunguza ushawishi ni kama msichana kuvaa nguo ndefu inayostiri mwili..inakupunguzia WAZO LA kumtongoza, (hiyo NI safety). Ila hakuondolii dhamila yakumtongoza kama Una Nia. Ila sasa akikwambia nimeolewa Nina Mme, na Pete ni hii, au sikutaki hiyo ndo security sasa . Urefu wa ukuta inapunguza ushawishi Ila hauzuii WEZI na sio kinga, Ila ukuta WA MOTO na uwezo wakuona anayeparamia.ukuta hiyo ndo security. Hivyo pata ushaur SAFETY AND SECURITY kwenye nyumba yako .
 

Attachments

  • IMG-20240303-WA0013.jpg
    IMG-20240303-WA0013.jpg
    24.1 KB · Views: 10
Identification ipi na Mwizi anakuja amevaa mask? Anaweza pia kuvaa Pama au kapelo akaishusha Kwa mbele ikawa ngumu kumtambua.

Yaan unaweza kuona sawa mtu kwenye CCTV anaiba but hii ni after vitu vishaibiwa.

Ndo nikasema Kuna vingine huzuia asiibe kama sensor alarm. Hii kunafungwa devices ambazo zinaonana Kwa signals (visibility), mtu akikatiza tu akaziba zisionane inapiga alarm.

Au hata motion detector ambayo yenyewe sio mpaka u block signal, but any movement.
Mkuu

Regardless,huwezi zuia mwizi aliedhamiria kuvunja na kuiba....tunachofanya ni detterent measures tu

Hiyo ujinga wa chupa ni even worse

Hata uweke ukuta mrefu vipi,still ni nonsense

Tunachofanya walao ni to make it harder for him kuiba..plus camera haziwekwi wazi akaona ni pin hole cameras ni kama hazipo,if he will be tricked then he is done

Huwezi zuia kwa 100%
 
Back
Top Bottom