NAREI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 1,730
- 1,660
Frem inapatikana UBUNGO kituo cha mabibo hostel inatizama barabara ya Mandela Sekunde 10 (kutoka barabarani)
ina eneo la kutosha upande wa mbele na pembeni kulingana na eneo husika kuwa na mzunguko wa wanafunzi wengi wa chuo cha UDSM muhitaji anaweza kufungua biashara kulingana na uhitaji, mfano
Restaurant (cafeteria)
Duka la vyakula (nafaka)
Duka la vinywaji vya jumla
Na nyinginezo
Kodi kwa mwezi ni 300k
Contact: 0756 832833
Sent using Jamii Forums mobile app
ina eneo la kutosha upande wa mbele na pembeni kulingana na eneo husika kuwa na mzunguko wa wanafunzi wengi wa chuo cha UDSM muhitaji anaweza kufungua biashara kulingana na uhitaji, mfano
Restaurant (cafeteria)
Duka la vyakula (nafaka)
Duka la vinywaji vya jumla
Na nyinginezo
Kodi kwa mwezi ni 300k
Contact: 0756 832833
Sent using Jamii Forums mobile app