House4Rent Ferm nzuri na kubwa ya biashara inapangishwa

House4Rent Ferm nzuri na kubwa ya biashara inapangishwa

mimi napoishi kituo changu cha bus ni mabibo hostel.. najua vizuri hilo eneo.. ndipo nilipokulia.. bei za fremu mabibo hostel hunidanganyi.. hata vyumba vya kupanga na nyumba..

mwambie mtoa mada awaambie kina tozi, kitanga, eliudi, mpemba, mama mosha... wamwambie bei zilivyo... nahisi huyu dalali ni mgeni mabibo hostel
Itakuwa ni chini ya hapo 400k tena minus 150k
 
Itakuwa ni chini ya hapo 400k tena minus 150k
Hapo mitaa ya mabibo hostel kuna fremu zinapangishwa sh elfu themanini na mwenye fremu anachukua kodi ya miezi mitatu na hataki dalali..wewe unataka kumpiga mtu kodi ya laki NNE halafu alipe miezi sita which mean atoe 2.6 million plus laki NNE yako ya udalali inakuwa m.3 mjomba hebu kuwa serious ..watu wana fremu kariakoo mtaa wa nyamwezi wanachukua laki mbili na nusu kwa mwezi kodi ya miezi mitatu na zinadoda..be serious mkuu
 
Mweka tangazo anavyoshadadia iyo laki nne si ufanye mwenyewe iyo biashara ya nfaka ama cafeteria,Ivi unajua wanafunzi wa sasaivi hapo mabibo hosteli sasaivi wanashindia mihogo mikavu...

Tell him. Wengine wanashindia mikate na maji ya kudownload. Wanapiga pasi ndefu
 
Hapo mitaa ya mabibo hostel kuna fremu zinapangishwa sh elfu themanini na mwenye fremu anachukua kodi ya miezi mitatu na hataki dalali..wewe unataka kumpiga mtu kodi ya laki NNE halafu alipe miezi sita which mean atoe 2.6 million plus laki NNE yako ya udalali inakuwa m.3 mjomba hebu kuwa serious ..watu wana fremu kariakoo mtaa wa nyamwezi wanachukua laki mbili na nusu kwa mwezi kodi ya miezi mitatu na zinadoda..be serious mkuu
Umenifakamia mzee kama mi ndio mtoa mada au dalali wa hiyo fremu sasa seriously, mi nashukuru kwa kunipa data kuwa Kuna frem za kuanzia elfu 80 na kodi ni miezi 3 iyo ni fursa hapo mabibo hosteli.
 
400,000 ni bei za Kinondoni Studio, hapo ilipo Kenice pamekaa vibaya sana...
 
nan anataka biashara ya fremu siku iz! mi ata lak sitoi,kulipia fremu nikumnufaisha mwenye frem

mwenye fremu aweke yeye biashara itamlipa mana halip kodi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa kupangisha watu ndo biashara yake mwenye nyumba mkuu..
 
NaUko sahihi kabisa mkuu, nina sehemu ya kuuzia chips MAENEO ya Tabata SEGEREA, nimepewa kasehemu kadogo pembeni ya hiyo fremu, kwa siku nalipa 5,000
Ukifanya calculation hapo kwa mwezi nalipa 150,000/ (hapo nimepewa kasehemu tu kakuweka meza)
Hiyo fremu nzima na inaface lami na ina space kubwa hata ya kupanga magunia ya mchele nje, mtu anakuja kukaclash utadhan hata biashara amewahi kufanya.
Kwa anayejua maana halisi ya biashara hawezi kushangaa sana zaidi atahitaji kuona hiyo location ina which added advantage to hit that price/rent.
Wengi humu wanacomment wakiwa maofisini kwenye viyoyozi ndio changamoto ya Jf.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine basi tu wapita njia wanaona frem wakiwa wanatembea, kiufupi issue siyo easy kiivo...
 
Hapo mitaa ya mabibo hostel kuna fremu zinapangishwa sh elfu themanini na mwenye fremu anachukua kodi ya miezi mitatu na hataki dalali..wewe unataka kumpiga mtu kodi ya laki NNE halafu alipe miezi sita which mean atoe 2.6 million plus laki NNE yako ya udalali inakuwa m.3 mjomba hebu kuwa serious ..watu wana fremu kariakoo mtaa wa nyamwezi wanachukua laki mbili na nusu kwa mwezi kodi ya miezi mitatu na zinadoda..be serious mkuu

dmkali kasema eti kariakoo fremu zinaanzia $3000 kwa mwezi.
Eti walienda na rafiki yake wakatafuta fremu kariakoo nzima wakakosa.
 
mimi napoishi kituo changu cha bus ni mabibo hostel.. najua vizuri hilo eneo.. ndipo nilipokulia.. bei za fremu mabibo hostel hunidanganyi.. hata vyumba vya kupanga na nyumba..

mwambie mtoa mada awaambie kina tozi, kitanga, eliudi, mpemba, mama mosha... wamwambie bei zilivyo... nahisi huyu dalali ni mgeni mabibo hostel

Bado unaishi mitaa hiyo?
Kuna deal nataka nikushirikishe, it's all about money bro!
 
Back
Top Bottom