Ferre Gola dynastie album

Ferre Gola dynastie album

Inategemea wapi, kwa rhumba sio fally tu ila hakuna mwanamuziki yoyote wa dunia hii anampata ferre katika rhumba, sikiliza zazou, mississippi, 100 kilos, vita imana na dynastie uone balaa la huyo mtu.

Katika mahadhi ya dance (ndombolo) ni kweli fally kaachwa na wengi akiwemo fally ila sio rhumba.
Vita imana huwezi kumpa Ferre sifa peke yake alikua chini ya Werrason,pia original ya vita imana Ipo kwenye album ya bendi Mason Mere,100 kilos pia original Ipo kwenye album ya bendi Les marquis
 
Vita imana huwezi kumpa Ferre sifa peke yake alikua chini ya Werrason,pia original ya vita imana Ipo kwenye album ya bendi Mason Mere,100 kilos pia original Ipo kwenye album ya bendi Les marquis
Nakubali kauli yako ila yeye ndiye mtunzi na kwa asilimia kubwa kaimba yeye sasa utampa sifa nani.
 
Vita imana huwezi kumpa Ferre sifa peke yake alikua chini ya Werrason,pia original ya vita imana Ipo kwenye album ya bendi Mason Mere,100 kilos pia original Ipo kwenye album ya bendi Les marquis
Sasa mkuu tuje kwenye nyimbo zake za karibuni then uniambie unaonaje balaa lake

1. Kamasutra 2009
2. Pakadjuma 2013
3. Ekoti ya nzube 2017
4. Pyromane 2021
5. Toc toc 2022

Vipi hapo
 
Kwa wale wapenzi na washabiki wanaomkubali ferre gola lepadre, ambao wameweza kusikiliza album yake yote ya dynastie yenye nyimbo 18. Mtakua mmeona jamaa alivyo na uwezo mkubwa hasa kwenye nyimbo ga toc toc aliyomshirikisha josey, ndio nikasema hatari sana huyu kiumbe hafai kabisa. Hivyo wakuu mnaopendezwa na nyimbo za ferre gola na mmefanikiwa kufisiliza album yake yote ya dynastie nasubiria mrejesho wenu kuhusu hii album.
Mkuu tuwekee umu tu download

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mkuu tuje kwenye nyimbo zake za karibuni then uniambie unaonaje balaa lake

1. Kamasutra 2009
2. Pakadjuma 2013
3. Ekoti ya nzube 2017
4. Pyromane 2021
5. Toc toc 2022

Vipi hapo
Hana tofauti na yaw yaw koh koh wa bongo,hiyo toc toc ndio Hamna kitu ragge si regge haijulikani labda liberte kidogo nimeilewa
 
Hana tofauti na yaw yaw koh koh wa bongo,hiyo toc toc ndio Hamna kitu ragge si regge haijulikani labda liberte kidogo nimeilewa
Ni maoni yako nayaheshimu mkuu lakini majority wanamkubali ferre nikiwemo mimi
 
Wimbo ni mjumuiko wa talanta za watu wengi kuna main artist, backvocals, guitarists n.k lakini main ni nani mhusika mkuu sasa vita imana unadhani nani katunga.
Katunga yy ila imepita Kwa edit mkuu Wera ngiama makanda
 
Inategemea wapi, kwa rhumba sio fally tu ila hakuna mwanamuziki yoyote wa dunia hii anampata ferre katika rhumba, sikiliza zazou, mississippi, 100 kilos, vita imana na dynastie uone balaa la huyo mtu.

Katika mahadhi ya dance (ndombolo) ni kweli fally kaachwa na wengi akiwemo fally ila sio rhumba.
Na ajua mziki pendwa ni rhumba, kwangu mie ma miziki ya kukulupuka kama ya soukosi huwa siyakubali, lakin ukweli ni kwamba fally ipupa hamfikii ferre gola hata kidogo. Mkuu kasikilize ng'oma ya ferre inaitwa pyromane kaimba kimtindo wa RNB hapa ndio wanaompuuza ferre watajua hawajui maana hilo pini ni shida balaa.
 
Inategemea wapi, kwa rhumba sio fally tu ila hakuna mwanamuziki yoyote wa dunia hii anampata ferre katika rhumba, sikiliza zazou, mississippi, 100 kilos, vita imana na dynastie uone balaa la huyo mtu.

Katika mahadhi ya dance (ndombolo) ni kweli fally kaachwa na wengi akiwemo fally ila sio rhumba.

Umenena vyema, Ferre kwenye Rhumba anakalisha generation yake yote.
 
Back
Top Bottom