Vita imana huwezi kumpa Ferre sifa peke yake alikua chini ya Werrason,pia original ya vita imana Ipo kwenye album ya bendi Mason Mere,100 kilos pia original Ipo kwenye album ya bendi Les marquisInategemea wapi, kwa rhumba sio fally tu ila hakuna mwanamuziki yoyote wa dunia hii anampata ferre katika rhumba, sikiliza zazou, mississippi, 100 kilos, vita imana na dynastie uone balaa la huyo mtu.
Katika mahadhi ya dance (ndombolo) ni kweli fally kaachwa na wengi akiwemo fally ila sio rhumba.
Sana yaani zikipigwa nyimbo hizo bar huwa kunatokea vibe flani hatari, me huwa napenda kuzisikiliza nikiwa safarini nadrive hasa iwe usiku mnene huwa zinanipa vibe sana.Kuna uhusiano gani wa hizo nyimbo na maji ya mende wakuu
Nakubali kauli yako ila yeye ndiye mtunzi na kwa asilimia kubwa kaimba yeye sasa utampa sifa nani.Vita imana huwezi kumpa Ferre sifa peke yake alikua chini ya Werrason,pia original ya vita imana Ipo kwenye album ya bendi Mason Mere,100 kilos pia original Ipo kwenye album ya bendi Les marquis
Sasa mkuu tuje kwenye nyimbo zake za karibuni then uniambie unaonaje balaa lakeVita imana huwezi kumpa Ferre sifa peke yake alikua chini ya Werrason,pia original ya vita imana Ipo kwenye album ya bendi Mason Mere,100 kilos pia original Ipo kwenye album ya bendi Les marquis
Mkuu tuwekee umu tu downloadKwa wale wapenzi na washabiki wanaomkubali ferre gola lepadre, ambao wameweza kusikiliza album yake yote ya dynastie yenye nyimbo 18. Mtakua mmeona jamaa alivyo na uwezo mkubwa hasa kwenye nyimbo ga toc toc aliyomshirikisha josey, ndio nikasema hatari sana huyu kiumbe hafai kabisa. Hivyo wakuu mnaopendezwa na nyimbo za ferre gola na mmefanikiwa kufisiliza album yake yote ya dynastie nasubiria mrejesho wenu kuhusu hii album.
Umekubali [emoji16][emoji16]Nakubali kauli yako ila yeye ndiye mtunzi na kwa asilimia kubwa kaimba yeye sasa utampa sifa nani.
Wimbo ni mjumuiko wa talanta za watu wengi kuna main artist, backvocals, guitarists n.k lakini main ni nani mhusika mkuu sasa vita imana unadhani nani katunga.Umekubali [emoji16][emoji16]
Hana tofauti na yaw yaw koh koh wa bongo,hiyo toc toc ndio Hamna kitu ragge si regge haijulikani labda liberte kidogo nimeilewaSasa mkuu tuje kwenye nyimbo zake za karibuni then uniambie unaonaje balaa lake
1. Kamasutra 2009
2. Pakadjuma 2013
3. Ekoti ya nzube 2017
4. Pyromane 2021
5. Toc toc 2022
Vipi hapo
Ni maoni yako nayaheshimu mkuu lakini majority wanamkubali ferre nikiwemo mimiHana tofauti na yaw yaw koh koh wa bongo,hiyo toc toc ndio Hamna kitu ragge si regge haijulikani labda liberte kidogo nimeilewa
Katunga yy ila imepita Kwa edit mkuu Wera ngiama makandaWimbo ni mjumuiko wa talanta za watu wengi kuna main artist, backvocals, guitarists n.k lakini main ni nani mhusika mkuu sasa vita imana unadhani nani katunga.
Umeshatoa jibu mkuu asanteKatunga yy ila imepita Kwa edit mkuu Wera ngiama makanda
Mm pia nakubali kazi zake,ila ningepata nafasi ya kumshauri ningemwambia awe hatari asiwe machachariNi maoni yako nayaheshimu mkuu lakini majority wanamkubali ferre nikiwemo mimi
Pamoja mkuuUmeshatoa jibu mkuu asante
Ni sahihi chief mapungufu hayakosiMm pia nakubali kazi zake,ila ningepata nafasi ya kumshauri ningemwambia awe hatari asiwe machachari
Mkuu unaota!Ferre Gola hampati Fally hata nukta,
Na ajua mziki pendwa ni rhumba, kwangu mie ma miziki ya kukulupuka kama ya soukosi huwa siyakubali, lakin ukweli ni kwamba fally ipupa hamfikii ferre gola hata kidogo. Mkuu kasikilize ng'oma ya ferre inaitwa pyromane kaimba kimtindo wa RNB hapa ndio wanaompuuza ferre watajua hawajui maana hilo pini ni shida balaa.Inategemea wapi, kwa rhumba sio fally tu ila hakuna mwanamuziki yoyote wa dunia hii anampata ferre katika rhumba, sikiliza zazou, mississippi, 100 kilos, vita imana na dynastie uone balaa la huyo mtu.
Katika mahadhi ya dance (ndombolo) ni kweli fally kaachwa na wengi akiwemo fally ila sio rhumba.
Nenda Google andika www.tubidy.com ikishafunguka wew andika ferre gola dynastie hivyo utapakua miziki yote ya album.
Hamna anachokijua muache asikilize ma service ya fally pupaNi maoni yako nayaheshimu mkuu lakini majority wanamkubali ferre nikiwemo mimi
Inategemea wapi, kwa rhumba sio fally tu ila hakuna mwanamuziki yoyote wa dunia hii anampata ferre katika rhumba, sikiliza zazou, mississippi, 100 kilos, vita imana na dynastie uone balaa la huyo mtu.
Katika mahadhi ya dance (ndombolo) ni kweli fally kaachwa na wengi akiwemo fally ila sio rhumba.
Nandio mziki upendwa sio mamiziki ya kukulupuka ya soukosiUmenena vyema, Ferre kwenye Rhumba anakalisha generation yake yote.