Fesheni ya watoto! Cool saaana!

teh nimetamani tu bana, sio kama nataka now lol
Sawa Dada yangu lakini kuna mambo kibao tofauti na Tanzania hasa Dar
hayo ma-pool neck kwa joto la Dar au Dodoma hayafai
hizo nywele za huyo mtoto ni shombe ukichanganya na za kwako mtoto atapendeza ila huyo mume shombe mtaishi miaka yote salama labda awe zee la kizungu lkn km ni Mhindi au muarabu imekula kwako mzigo ni wetu sisis wajomba
mngeniweke picha za watoto wa kibongo ningewasifu sana na hizo sifa zenu mnazozitoa
 
Nope mpendwa, me nimependa tu swagga za hao watoto, wangu si ntamvalisha according na mazingira yetu. Teh me ntaolewa tu na mbongo mwenzangu Inshallah, ugonjwa wangu ni ngozi nyeusi teh
 
Nope mpendwa, me nimependa tu swagga za hao watoto, wangu si ntamvalisha according na mazingira yetu. Teh me ntaolewa tu na mbongo mwenzangu Inshallah, ugonjwa wangu ni ngozi nyeusi teh
nipo hapa heaven sent. baridi ya Mbeya imenitandika mweusi tii. tutafute kababy tukavalishe suspenders kama hako kazungu.
 
nzuri sana, sema budget yake itakua sawa na mshahara kima cha chini.
 
Duh mshanifanya niwe na hamiu ya kupata mtoto wa kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…