Festus Makerubi wa TBC1 na Mbwembwe Zake

Watangazaji wa TV wengi ni mapunga.
 
Hivi Kumbe bado kuna watumnaangalia tbc mpaka Leo?
 
Hapo nadhani ndio anapokosea.anatakiwa kutoa haki sawa kwa madhehebu yote na sio kupendelea sana RC peke yake.BTW alikuwa ni mwanakwaya wa RC kanisa la Mwenge sijui kama bado anaendelea.
Rc mwenge, unamaanisha lile kanisa la mt maxmillian kolbe-mwenge ukivuka TRA kama unaelekea Afrika sana?
 
Hiyo ndio style yake.... Ndicho iamtofautisha yeye na wengine kwenye utangazaji......asingekuwa na kitu tofauti tusingekuwa twamjadii hapa
 
Nyimbo nyingi za Wakatoliki Zinaboa. Awekw Gospel na hymn tofauti tofauti
 
Kile kipindi cha kumsifu Mungu nakiita Makerubi, napenda kuwaambia watoto wangu, njooni sebuleni mumsikilize Makerubi. Ama kweli anakimudi, big up!
 
Samahani makerubi si ni yale mazombi ya mfalme zumaridi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…