Feysal Salum akijituma zaidi na kuongeza juhudi anaweza kumfikia Mudathir

Feysal Salum akijituma zaidi na kuongeza juhudi anaweza kumfikia Mudathir

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
images - 2024-02-18T124913.306.jpeg

Si mchezaji mbaya, ila kuna mambo kadhaa anayoyakosa na kumfanya kuwa inexperienced player, ila kama angeweza kuongeza juhudi huenda angeonja ladha ya michuano mikubwa ya CAF pengine kutwaa japo medali moja. Si mchezaji anayeweza kuchukua position nzuri anapokuwa ndani ya 18, hata mashuti ya mbali anayojisifia nayo mengi ni off target. Huenda akiongeza juhudi anaweza kufika level za Mudathir na pengine kupata timu za level kubwa zaidi ya hapo alipo.

images - 2024-02-18T124415.341.jpeg
images - 2024-02-18T124810.429.jpeg
 
Mimi ni Yanga, Feisal anakitu kikubwa miguu na kichwani.
Kichwani yupo vizuri Sana akiwa uwanjani ila anachokosa nguvu, nafasi ya kiungo mshambuliaji au mzuiaji ata uwe na akili vipi kichwani, kitu kitakacho kutofautisha na wachezaji wengine wa kiungo katika modern football ni Kasi na nguvu kwakua brain ya soka ipo.
Feisal anatakiwa alale kwenye uwanja wa mazoezi kwakua basic skills anazo tayari.
Kule AFCON ndio lilikua eneo lake la kujipima na kuji tathmini.

Kule watu Wana maguvu na wanaubonda mwingi, asipo angalia Feisal atakua kama Chama, yaani unatamba kwenye vidimbwi vya maji apa kwetu ila kule bahari kuu (Ulaya) au kwa waarabu wa kaskazini atapasikia tu.
Uko mbele ndio kwenye soka na fwezaaa apa utapata umaarufu na UTI ya kutosha.
 
Kule AFCON mtu aliyeongoza kwa back pass kwenye hiyo miciuano ni feitoto na yule mwenzake mwenye way kichwani yule wa simba na huyu huyu feitoto ndio aliyeshauri ile faulo iliyokaribu na 18 za adui ipigwe kuelekea alipo aishi manula badala ya kupiga kwenda kwenye goli la adui
 
Mimi ni Yanga, Feisal anakitu kikubwa miguu na kichwani.
Kichwani yupo vizuri Sana akiwa uwanjani ila anachokosa nguvu, nafasi ya kiungo mshambuliaji au mzuiaji ata uwe na akili vipi kichwani, kitu kitakacho kutofautisha na wachezaji wengine wa kiungo katika modern football ni Kasi na nguvu kwakua brain ya soka ipo.
Feisal anatakiwa alale kwenye uwanja wa mazoezi kwakua basic skills anazo tayari.
Kule AFCON ndio lilikua eneo lake la kujipima na kuji tathmini.

Kule watu Wana maguvu na wanaubonda mwingi, asipo angalia Feisal atakua kama Chama, yaani unatamba kwenye vidimbwi vya maji apa kwetu ila kule bahari kuu (Ulaya) au kwa waarabu wa kaskazini atapasikia tu.
Uko mbele ndio kwenye soka na fwezaaa apa utapata umaarufu na UTI ya kutosha.
We nawe mifano yako bana [emoji1787][emoji1787] umewahi kuona mchezaji kwenda ulaya na miaka 30+. Chama umri imeshaenda hata uarabuni kwa umri wake hapana. Hata huyo Fei haendi kokote. Usifikiri ulaya ni kama mbagala. Unapanda DCM
Mbona husemi Domo kushindwa ulaya akiwa na umri sahihi akarudi Africa akaishia utopolo.
 
Mkuu muombe msamaha Feisal,
Huwez mlinganisha Feisal na Muda, fei yupo daraja la juu sanaa
Hivi hayo madaraja mnayapimaje? Kwa mafanikio ya mataji? Au kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja? Kama mafanikio basi yaweke hayo mafanikio
Na kama ni uwezo basi wekeni hizo takwimu zao
 
Hivi hayo madaraja mnayapimaje? Kwa mafanikio ya mataji? Au kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja? Kama mafanikio basi yaweke hayo mafanikio
Na kama ni uwezo basi wekeni hizo takwimu zao
Unazungumzia mataji au uwezo wa mchezaji mmoja mmoja? Na kivyovyote vile bado muda hamkuti Fei,
Fei ana Medal mbili za ligi, Muda ana Moja,
Fei ana FA moja same to muda

Mapinduzi nyingi anazo Fei,

Uwezo wa uwanjani katazame namba za msimu huu uone nani ana goal + Assist nying,
Kufunga goal mbili jana kusiwatoe ufahamu watu wa majini niny
 
Kule AFCON mtu aliyeongoza kwa back pass kwenye hiyo miciuano ni feitoto na yule mwenzake mwenye way kichwani yule wa simba na huyu huyu feitoto ndio aliyeshauri ile faulo iliyokaribu na 18 za adui ipigwe kuelekea alipo aishi manula badala ya kupiga kwenda kwenye goli la adui
Yaani faulo ya ndani ya 18 ya adui mnaipiga golini kwa kipa wenu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom