MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
- Thread starter
-
- #21
Unaposema medali inayohesabiwa ni moja unamaanisha nini? Medali ya CAF aliyovalishwa Mudathir Feysal Γ nayo? Niambie mechi yoyote ya CAF ambayo Feysal ana experience nayo, Niambie goli lolote la CAF ambalo Feysal amefungaMedali inayohesabiwa ni moja, acheni kujisifu na medal ya washindwa, et mtu unajisifu kuwa pili ππππ
Hakuna mwenye medal ya CAF
Mzee hadi Mapinduzi unahesabia ni mashindano? Hakuna mashindano ya Mapinduzi katika mashindano yanayotambulika na CAF na FIFA bali kuna ligi kuu, federation cup, CAFCC na CAFCL.Unazungumzia mataji au uwezo wa mchezaji mmoja mmoja? Na kivyovyote vile bado muda hamkuti Fei,
Fei ana Medal mbili za ligi, Muda ana Moja,
Fei ana FA moja same to muda
Mapinduzi nyingi anazo Fei,
Uwezo wa uwanjani katazame namba za msimu huu uone nani ana goal + Assist nying,
Kufunga goal mbili jana kusiwatoe ufahamu watu wa majini niny
Unataka mzee, kufika fainal sio mafanikio, mafanikio tuletee kombe,Mzee hadi Mapinduzi unahesabia ni mashindano? Hakuna mashindano ya Mapinduzi katika mashindano yanayotambulika na CAF na FIFA bali kuna ligi kuu, federation cup, CAFCC na CAFCL.
Umekuja kuorodhesha mafanikio ila nimeshangaa kutoweka CAFCC ambayo Yanga ilicheza fainali.
Kumbe alichozidi Fei ni taji moja la ligi kuu?
Nimeomba ili utetezi uwe sahihi kwa wote wawili ziwekwe takwimu zao za michezo rasmi ya kimashindano. Kwanini takwimu zisiwekwe hapa?
Nenda katafute takwimu,Mzee hadi Mapinduzi unahesabia ni mashindano? Hakuna mashindano ya Mapinduzi katika mashindano yanayotambulika na CAF na FIFA bali kuna ligi kuu, federation cup, CAFCC na CAFCL.
Umekuja kuorodhesha mafanikio ila nimeshangaa kutoweka CAFCC ambayo Yanga ilicheza fainali.
Kumbe alichozidi Fei ni taji moja la ligi kuu?
Nimeomba ili utetezi uwe sahihi kwa wote wawili ziwekwe takwimu zao za michezo rasmi ya kimashindano. Kwanini takwimu zisiwekwe hapa?
Kuvaa loser medal nayo ni kelele? Mzee ile hakuna kitu,Unaposema medali inayohesabiwa ni moja unamaanisha nini? Medali ya CAF aliyovalishwa Mudathir Feysal Γ nayo? Niambie mechi yoyote ya CAF ambayo Feysal ana experience nayo, Niambie goli lolote la CAF ambalo Feysal amefunga
Huyo Nyota ishafifia
Zingatia maokoto, nani anapata mshahara mkubwa kwenye timu anayochezea kati yao?View attachment 2907825
Si mchezaji mbaya, ila kuna mambo kadhaa anayoyakosa na kumfanya kuwa inexperienced player, ila kama angeweza kuongeza juhudi huenda angeonja ladha ya michuano mikubwa ya CAF pengine kutwaa japo medali moja. Si mchezaji anayeweza kuchukua position nzuri anapokuwa ndani ya 18, hata mashuti ya mbali anayojisifia nayo mengi ni off target. Huenda akiongeza juhudi anaweza kufika level za Mudathir na pengine kupata timu za level kubwa zaidi ya hapo alipo.
View attachment 2907829View attachment 2907831
Hiyo medal ya muda fei aliikataa. Maana aligoma kuchezaAna medali ngapi za CAF?
Mbumbumbu mna shida ganiKuvaa loser medal nayo ni kelele? Mzee ile hakuna kitu,
History remember winners not first losers
Acheni wivuUmesema kweli Fesal hamna kitu
Azam walijichanganya
Usajili wa Bangala hoi
Usajili wa Djuma shaban hoi
Bado wanamtaka Mayele
Sent using Jamii Forums mobile app