Feza Kessy

Feza Kessy

Hashm

Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
47
Reaction score
15
Kuanza kunguruma leo big brothr afrca.....mwambie lolote...
 
Aaaah wapi.....wema zake maisha plus na domestic event
 
Wekeni hapa picha wadau. Imenibidi linipie dstv premium package nione utamu wa bba hasa usiku.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Requested photo...
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1369578307812.jpg
    uploadfromtaptalk1369578307812.jpg
    55.7 KB · Views: 987
Kweli Feza ni kesi duh lakini huyu mtoto kitambo kiaina alikua mkali sijui kwa sasa kama hawaja idadavua tuntu mpaka mazivu yamegoma kuota
 
Hongera kwa kuwa mkweli na pia pole kwa yule bazazi kutaka kukuoa kwa mieleka ofisini pale kurasini!!!!! Kudos kwa kujitutumua na kuki-save kipochi manyoya!!!!

Ha ha ha...
Mm sipo kurasin mkuu....!ingawa nilisikiasikia tu sakata lao pia.
 
Ha ha ha...
Mm sipo kurasin mkuu....!ingawa nilisikiasikia tu sakata lao pia.


Hahaha,
Basi sijitolei tena uanasheria kumburuza jamaa kwa pilato,kumbe sio wewe!!!

Haya Faiza mmpigie Kula bin support kwani bora kuliko tungeona wema wa wema kwenye luninga live!!!
 
she is in the house all the best for her
by the way kuna Mtanzania mwingine anaitwa Nando anawakilisha ndani ya nyumba
 
Back
Top Bottom