johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jeshi la Polisi Kwa kutumia Kikosi chake Cha FFU kimeimarisha Ulinzi katika maeneo yote ya Mlimani City unakofanyika Mkutano mkuu wa Chadema
Source: Mwananchi
Source: Mwananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumbu wamefungiwa ukumbini Mlimani City chini ya Ulinzi mkaliCHADEMA sio kama wale nyumbu wa juzi waliofanya maamuzi ya kijinga.
Kwani wameambiwa Mlimani City kuna maandamano? Au ni ukiherehere wao. Mbona walivyosikia Tarimo Bonge akitekwa na wale wananzengo hawakufika eneo la tukio mpaka leo? Shubhaaaamit!Jeshi la Polisi Kwa kutumia Kikosi chake Cha FFU kimeimarisha Ulinzi katika maeneo yote ya Mlimani City unakofanyika Mkutano mkuu wa Chadema
Source: Mwananchi
Mlimani City kuna vitega Uchumi Vya wawekezaji wahuni wa mkutanoni Wanaweza kuvamia waibeKwani wameambiwa Mlimani City kuna maandamano? Au ni ukiherehere wao. Mbona walivyosikia Tarimo Bonge akitekwa na wale wananzengo hawakufika eneo la tukio mpaka leo? Shubhaaaamit!
ya ccm waachie ccm kile ni chama makini kwa watu makini endeleeni tu na uhuni wenu mnaoufanya huko mlimani city yaani ccm achana nayoi ni chama makini ulishaona wapi ccm wanatukanana kama hao wahuni wenu mbowe na lissu?CHADEMA sio kama wale nyumbu wa juzi waliofanya maamuzi ya kijinga.
hakukuwa na viashiria vya kihuni kama hivyo vya chadema watu ilikuwa ni full shangwe tuDodoma kulipokuwa na mkutano wa ccm hawakuimarisha kama hapo.
Wewe Jamaa buanaJeshi la Polisi Kwa kutumia Kikosi chake Cha FFU kimeimarisha Ulinzi katika maeneo yote ya Mlimani City unakofanyika Mkutano mkuu wa Chadema
Source: Mwananchi
mwanamgambo wa Lisu, Lema afuatiliwe kwa ukaribu zaidi ikiwezekana asiruhusiwe kuingia ukumbi wa Uchaguzi 🐒Jeshi la Polisi Kwa kutumia Kikosi chake Cha FFU kimeimarisha Ulinzi katika maeneo yote ya Mlimani City unakofanyika Mkutano mkuu wa Chadema
Source: Mwananchi
Kamanda mwenyewe Muliro yupo amejaa tele anaranda randa na tabasamu teleJeshi la Polisi Kwa kutumia Kikosi chake Cha FFU kimeimarisha Ulinzi katika maeneo yote ya Mlimani City unakofanyika Mkutano mkuu wa Chadema
Source: Mwananchi
CCM ni chama Cha Upendo 🌹 na Amani 😄Dodoma kulipokuwa na mkutano wa ccm hawakuimarisha kama hapo.
Kwani huko kuna uhuni? Nyinyi ccm ndio mnaouharibu huwo uchaguzi halafu mkishingizia uvunjifu wa amani.hakukuwa na viashiria vya kihuni kama hivyo vya chadema watu ilikuwa ni full shangwe tu
Kwani huko kuna uhuni? Nyinyi ccm ndio mnaouharibu huwo uchaguzi halafu mkishingizia uvunjifu wa amanihakukuwa na viashiria vya kihuni kama hivyo vya chadema watu ilikuwa ni full shangwe tu
Hakuna upendo hata mmoja msingetiliana sumu.CCM ni chama Cha Upendo 🌹 na Amani 😄
Chadema ni Chama Cha fire 🔥
CCM ni chama Cha Upendo 🌹 na Amani 😄
Chadema ni Chama Cha fire 🔥
Dodoma ulikuwa mkutano wa wastaarabu polisi huenda kuzingira mkutano wa wahuni ili wasije kutoana ngeu sababu hawaivi wao kwa waoDodoma kulipokuwa na mkutano wa ccm hawakuimarisha kama hapo.
Sumaye aliogopa sumu Chadema 😂Kwani huko kuna uhuni? Nyinyi ccm ndio mnaouharibu huwo uchaguzi halafu mkishingizia uvunjifu wa amani
Hakuna upendo hata mmoja msingetiliana sumu.
Mbowe ni mstaafu wa Serikali 🐼Mbowe anapata assist ya maza hapo ili mambo yao yaende per makubaliano (lissu asishinde)!!.