FFU a.k.a 'Fanya Fujo Uone' waimarisha Ulinzi kwenye Mkutano Mkuu wa CHADEMA ukumbini Mlimani City

FFU a.k.a 'Fanya Fujo Uone' waimarisha Ulinzi kwenye Mkutano Mkuu wa CHADEMA ukumbini Mlimani City

Usikute leo ndiyo mwisho wa chadema..
Ni mwisho wa Lisu na timu yake sio Chadema

Chadema itaendelea kuwa strong ina misingi imara wenye Chadema wapo akina Mbowe

Slaa alienda na mbwembwe Chadema akawa maarufu kuliko Lisu alipoondoka Chadema aliondoka tu yeye peke yake hakuna hata mwanachama mmoja aliondoka naye na umaarufu wake wote ule akaacha Mbowe palepale yuko fit

Lowasa alitikisa Chadema akawa maarufu kuliko Mbowe mwenyewe na Lisu
Alipoondoka akaicha Chadema chini ya kiongozi shupavu Mbowe

Lisu naye leo anaenda kushindwa uchaguzi historia inaenda kujirudia Chadema itabaki.kwenye mikono imara ya Mbowe na kusomga mbele

Lisu ana ji over rate he is noa a political material kama team Lisu wanavyojaribu kumnadi

Historia yake kisiasa inaenda kudidimia leo baada ya kushindwa uchaguzi vibaya mno
 
Ni mwisho wa Lisu na timu yake sio Chadema

Chadema itaendelea kuwa strong ina misingi imara wenye Chadema wapo akina Mbowe

Slaa alienda na mbwembwe Chadema akawa maarufu kuliko Lisu alipoondoka Chadema aliondoka tu yeye peke yake hakuna hata mwanachama mmoja aliondoka naye na umaarufu wake wote ule akaacha Mbowe palepale yuko fit

Lowasa alitikisa Chadema akawa maarufu kuliko Mbowe mwenyewe na Lisu
Alipoondoka akaicha Chadema chini ya kiongozi shupavu Mbowe

Lisu naye leo anaenda kushindwa uchaguzi historia inaenda kujirudia Chadema itabaki.kwenye mikono imara ya Mbowe na kusomga mbele

Lisu ana ji over rate he is noa a political material kama team Lisu wanavyojaribu kumnadi

Historia yake kisiasa inaenda kudidimia leo baada ya kushindwa uchaguzi vibaya mno
Sawa Mkuu usitoke povuu nilikuwa nachokoza wana chadema kumbe mpo...
 
Ni mwisho wa Lisu na timu yake sio Chadema

Chadema itaendelea kuwa strong ina misingi imara wenye Chadema wapo akina Mbowe

Slaa alienda na mbwembwe Chadema akawa maarufu kuliko Lisu alipoondoka Chadema aliondoka tu yeye peke yake hakuna hata mwanachama mmoja aliondoka naye na umaarufu wake wote ule akaacha Mbowe palepale yuko fit

Lowasa alitikisa Chadema akawa maarufu kuliko Mbowe mwenyewe na Lisu
Alipoondoka akaicha Chadema chini ya kiongozi shupavu Mbowe

Lisu naye leo anaenda kushindwa uchaguzi historia inaenda kujirudia Chadema itabaki.kwenye mikono imara ya Mbowe na kusomga mbele

Lisu ana ji over rate he is noa a political material kama team Lisu wanavyojaribu kumnadi

Historia yake kisiasa inaenda kudidimia leo baada ya kushindwa uchaguzi vibaya mno
Wewe kweli hujui siasa 😂😂😂
 
Nyumbu wamefungiwa ukumbini Mlimani City chini ya Ulinzi mkali

CCM ni chama Kikubwa Mno 😄
Majitu mazima na akili zao, wengine na KENGELE zao wanaenda DODOMA kwenda kupitisha jina la MSTAAFU,mzee wa kupiga usingizi bungeni awe makamu Mwenyekiti.

Mbaya zaidi jina wanambiwa ukumbini, wanamptisha.

Leo MA CCM wajifunze Democrasia inavyofanya kazi ndani ya CHADEMA, baina ya makamu na Mwenyekiti wake.

Nilifurahi sana kumuona LUHAGA GELISON MPINA akiwa hajavaa sare za CCM, majumbe yaliposimama, yakarukaruka kama DIGIDIGI, na kupiga makofi na kujichekesha bila sababu bya msigi, LUHAGA GELISON MPINA alikuwa tuli , ameketi kitini, hana shobo na mtu alikuwa ametulia ,hacheki na NYANI yeyote yule.

Kifupi baada ya Mkutano kwisha kulikuwa na kama tamasha 🎺🎺 NGONO,NA UNYWAJI POMBE😅 na ulaji wa Nyama Choma😅😅🤸, watu wameambukizwa VIRUS vya Ukimwi, wameambukiza,bila kusahau UTI Kali na sugu 😅😅🤣🤣🤔🙏
 
Majitu mazima na akili zao, wengine na KENGELE zao wanaenda DODOMA kwenda kupitisha jina la MSTAAFU,mzee wa kupiga usingizi bungeni awe makamu Mwenyekiti.

Mbaya zaidi jina wanambiwa ukumbini, wanamptisha.

Leo MA CCM wajifunze Democrasia inavyofanya kazi ndani ya CHADEMA, baina ya makamu na Mwenyekiti wake.

Nilifurahi sana kumuona LUHAGA GELISON MPINA akiwa hajavaa sare za CCM, majumbe yaliposimama, yakarukaruka kama DIGIDIGI, na kupiga makofi na kujichekesha bila sababu bya msigi, LUHAGA GELISON MPINA alikuwa tuli , ameketi kitini, hana shobo na mtu alikuwa ametulia ,hacheki na NYANI yeyote yule.

Kifupi baada ya Mkutano kwisha kulikuwa na kama tamasha 🎺🎺 NGONO,NA UNYWAJI POMBE😅 na ulaji wa Nyama Choma😅😅🤸, watu wameambukizwa VIRUS vya Ukimwi, wameambukiza,bila kusahau UTI Kali na sugu 😅😅🤣🤣🤔🙏
Demokrasia kupigishwa kura chini ya Mtutu 😂😂😂

Muliro amesema ndani ya ukumbi kuna Watu wema na wahalifu hivyo lazima wazingirwe kiintelejensia 😄😄😄😄😄
 
Demokrasia kupigishwa kura chini ya Mtutu 😂😂😂

Muliro amesema ndani ya ukumbi kuna Watu wema na wahalifu hivyo lazima wazingirwe kiintelejensia 😄😄😄😄😄
Majitu mazima na akili zao, wengine na KENGELE zao wanaenda DODOMA kwenda kupitisha jina la MSTAAFU,mzee wa kupiga usingizi bungeni awe makamu Mwenyekiti.

Mbaya zaidi jina wanambiwa ukumbini, wanamptisha.

Leo MA CCM wajifunze Democrasia inavyofanya kazi ndani ya CHADEMA, baina ya makamu na Mwenyekiti wake.

Nilifurahi sana kumuona LUHAGA GELISON MPINA akiwa hajavaa sare za CCM, majumbe yaliposimama, yakarukaruka kama DIGIDIGI, na kupiga makofi na kujichekesha bila sababu bya msigi, LUHAGA GELISON MPINA alikuwa tuli , ameketi kitini, hana shobo na mtu alikuwa ametulia ,hacheki na NYANI yeyote yule.

Kifupi baada ya Mkutano kwisha kulikuwa na kama tamasha 🎺🎺 NGONO,NA UNYWAJI POMBE😅 na ulaji wa Nyama Choma😅😅🤸, watu wameambukizwa VIRUS vya Ukimwi, wameambukiza,bila kusahau UTI Kali na sugu 😅😅🤣🤣🤔🙏
Demokrasia kupigishwa kura chini ya Mtutu 😂😂😂

Muliro amesema ndani ya ukumbi kuna Watu wema na wahalifu hivyo lazima wazingirwe kiintelejensia 😄😄😄😄😄
 
Majitu mazima na akili zao, wengine na KENGELE zao wanaenda DODOMA kwenda kupitisha jina la MSTAAFU,mzee wa kupiga usingizi bungeni awe makamu Mwenyekiti.

Mbaya zaidi jina wanambiwa ukumbini, wanamptisha.

Leo MA CCM wajifunze Democrasia inavyofanya kazi ndani ya CHADEMA, baina ya makamu na Mwenyekiti wake.

Nilifurahi sana kumuona LUHAGA GELISON MPINA akiwa hajavaa sare za CCM, majumbe yaliposimama, yakarukaruka kama DIGIDIGI, na kupiga makofi na kujichekesha bila sababu bya msigi, LUHAGA GELISON MPINA alikuwa tuli , ameketi kitini, hana shobo na mtu alikuwa ametulia ,hacheki na NYANI yeyote yule.

Kifupi baada ya Mkutano kwisha kulikuwa na kama tamasha 🎺🎺 NGONO,NA UNYWAJI POMBE😅 na ulaji wa Nyama Choma😅😅🤸, watu wameambukizwa VIRUS vya Ukimwi, wameambukiza,bila kusahau UTI Kali na sugu 😅😅🤣🤣🤔🙏
Demokrasia kupigishwa kura chini ya Mtutu 😂😂😂

Muliro amesema ndani ya ukumbi kuna Watu wema na wahalifu hivyo lazima wazingirwe kiintelejensia 😄😄😄😄😄
Majitu mazima na akili zao, wengine na KENGELE zao wanaenda DODOMA kwenda kupitisha jina la MSTAAFU,mzee wa kupiga usingizi bungeni awe makamu Mwenyekiti.

Mbaya zaidi jina wanambiwa ukumbini, wanamptisha.

Leo MA CCM wajifunze Democrasia inavyofanya kazi ndani ya CHADEMA, baina ya makamu na Mwenyekiti wake.

Nilifurahi sana kumuona LUHAGA GELISON MPINA akiwa hajavaa sare za CCM, majumbe yaliposimama, yakarukaruka kama DIGIDIGI, na kupiga makofi na kujichekesha bila sababu bya msigi, LUHAGA GELISON MPINA alikuwa tuli , ameketi kitini, hana shobo na mtu alikuwa ametulia ,hacheki na NYANI yeyote yule.

Kifupi baada ya Mkutano kwisha kulikuwa na kama tamasha 🎺🎺 NGONO,NA UNYWAJI POMBE😅 na ulaji wa Nyama Choma😅😅🤸, watu wameambukizwa VIRUS vya Ukimwi, wameambukiza,bila kusahau UTI Kali na sugu 😅😅🤣🤣🤔🙏
 
Sumaye aliogopa sumu Chadema 😂
20241214_210525.jpg

Huu ndio mchezo wa ccm.
 
Back
Top Bottom