Elections 2010 FFU wachelewa Anatoglo...


It is unfortunate truth!:A S angry::A S angry::A S angry:
 
sasa kama hayajatangazwa unasema vp tena chadema wanashangilia ushindi!!

mimi nilikuwa naelekea anatoglo, kufika kituo cha polisi cha lumumba magari ya polisi yakawa yanaelekea anatoglo mbio, walivyoona magari ya chadema (buses) zinatoka huku zikishangilia wale polisi waka stop. mimi katika jitahada zangu za kuuliza nikaambiwa wanashangilia ushindi wa mpendazoe.
lakini mimi sikusita nikawa naelekea anatoglo kupata uhakika zaidi nilivyofika pale nikakuta matokeo bado hayajatangazwa.

kesho nitaenda tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…