Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
vipi matokeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK atashinda kwa kishindo mnoooo...maana inaonekana KILA kituo matokeo yakitoka tu na CHADEMA kushinda, watu wanaingia kitaa kwa shangwe na vigeregere na kutelekeza lindo. Hii inawapa nafasi NEC kufanya mambo yao.
Nimeshakata tamaa kabisa na matokeo ya uRais
sasa kama hayajatangazwa unasema vp tena chadema wanashangilia ushindi!!