Hizi ndio story watanzania wanapenda, na mtu atasoma hata kitabu kikubwa kama biblia kwa stori kama hizi!!Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka
Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Shilawadu Clouds FM kuwa atapewa milioni 6 ili apige picha hizo
Hakuna ubaya wowote ni mtu mzima huyu yupo huru kufanya chochote kwenye mwili wake.Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka
Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Shilawadu Clouds FM kuwa atapewa milioni 6 ili apige picha hizo
heheheBangi imeshuka bei, soko la dunia halijali, IMF haitoi tamko kuthibiti mdororo wa kushuka kwa bangi kutoka 450 hadi 400 kwa kete kila maskini amekuwa na uwezo wa kununua basi shida tupu
Yani kwake hizo kaona nyingi sana!?Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka
Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Shilawadu Clouds FM kuwa atapewa milioni 6 ili apige picha hizo
Haa haa haa mimi nafumba macho mpododo unapofuaga nasikiaapige tu tuone mpododo wake...............................
Hilo bwawa lake lina beach na minazi ya kimvuli?