Fiaza Ally anataka aanze kupiga picha za utupu

Fiaza Ally anataka aanze kupiga picha za utupu

Maisha yanaenda kas
Sana

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka
Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Shilawadu Clouds FM kuwa atapewa milioni 6 ili apige picha hizo


Hizi ndio story watanzania wanapenda, na mtu atasoma hata kitabu kikubwa kama biblia kwa stori kama hizi!!

Mpe stri fikirishi uone kama atasoma hata page moja!!!
 
Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka
Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Shilawadu Clouds FM kuwa atapewa milioni 6 ili apige picha hizo


Hakuna ubaya wowote ni mtu mzima huyu yupo huru kufanya chochote kwenye mwili wake.

Pambaneni na hali zenu mwacheni Faiza aishi maisha yake aliyojichagulia.
 
Huyu dada nae eti anaenda kwenye siku zake dah aisee yaani ningekuwa hedhi nisingekubali kuingia mwilini mwa huyu mtu.

Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
 
Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka
Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Shilawadu Clouds FM kuwa atapewa milioni 6 ili apige picha hizo


Yani kwake hizo kaona nyingi sana!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi huyu ndo nani wadau...mi hata simjuagi kwakweli
 
Sugu mbiw'i mbiw'i tukeghe umwanitu he!. Aka nkikulu uju![emoji31] [emoji31]
 
Back
Top Bottom