Fiaza Ally anataka aanze kupiga picha za utupu

Fiaza Ally anataka aanze kupiga picha za utupu

Hela zote hizo za nini? Si bora nipige picha jiwe linatia msisimko kuliko huyu
 
Milioni mia ni aina ya chakula au kinywaji au lile joka la jicho moja?waungwana mnisaidie maana
Siku hizi kuna misamiati mingi sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka
Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Shilawadu Clouds FM kuwa atapewa milioni 6 ili apige picha hizo


Anatangaza hicho kipindi katika redio gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka
Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Shilawadu Clouds FM kuwa atapewa milioni 6 ili apige picha hizo


[HASHTAG]#ForSale[/HASHTAG]
[emoji15]
 
Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka
Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na kipindi cha Shilawadu Clouds FM kuwa atapewa milioni 6 ili apige picha hizo


Apige tu ndio iliyobaki mana bada ya Jiwe kubana ma-pedejee wamegoma kuwalipia hawa watoto nyumba za sinza, sasa wanahaha corner bar kila siku kupata hata watendaji kata
 
Back
Top Bottom