mandevuclassic
Member
- Nov 23, 2013
- 79
- 119
Nijeria yaongia nusu fainali ya kombe la dunia kwa wanawake baada ya kuifunga ugiriki kwa vikapu 57 kwa 56..hii ni mara ya kwanza kwa timu ya basketball ya wanawake Afrika kuingia nusu fainali ya kombe la dunia....sasa naijeria kukutana na USA..!