sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kwa hii kasi ya mabadiliko ya vifurushi, tujipange isaikolojia, huenda tukaingia 2022 GB1 ikiwa inauzwa elf 2,500 sawa na petrol.
Fibre internet ni internet inayoletwa kwako kwa njia ya waya na uutapewa bure vifaa vya kusambaza internet kwa njia ya wifi.
Gharama zao zinaendana kwa speed na sio vikomo vya gb kama tulivyozoea, Mfano kifurushi cha chini cha elfu 60 kwa mwezi huwa kina spidi ya kudownload MB 1 kwa sekunde, kifurushi cha elf 80 utaweza kudownload MB 2 kwa sekunde, n.k. hata ukidownload gb 20 kwa siku ni wewe tu, taangalia youtubr, netflix, n.k kwa kiwango cha juu bila mawazo ya GB.
Ni huduma ambayo inafaa mno kuwepo majumbani ama maofisini, adala ya kila mtu kujiunga kifurishi, mnaweza wote kutumia huduma ya fibre kwa njia ya wifi.
Kwa hapa kwetu huduma hizi zipo tu Dar na sehemu iliyopo Dar ni chache hususani za city centre ndio watakuvutia waya.
Kiukweli hatutendewi haki kwa haya mabando ya mitandao ya simu, Sio kwamba kusema tunashindwa kulipa ila ni kwamba internet yafaa kuwa hitaji la gharama nafuu, Ni muda muafaka wa makampuni ya fibre waanze kuwekeza kwenye upanuzi wa huduma zao kutufikia hata huku mikoani.
Fibre internet ni internet inayoletwa kwako kwa njia ya waya na uutapewa bure vifaa vya kusambaza internet kwa njia ya wifi.
Gharama zao zinaendana kwa speed na sio vikomo vya gb kama tulivyozoea, Mfano kifurushi cha chini cha elfu 60 kwa mwezi huwa kina spidi ya kudownload MB 1 kwa sekunde, kifurushi cha elf 80 utaweza kudownload MB 2 kwa sekunde, n.k. hata ukidownload gb 20 kwa siku ni wewe tu, taangalia youtubr, netflix, n.k kwa kiwango cha juu bila mawazo ya GB.
Ni huduma ambayo inafaa mno kuwepo majumbani ama maofisini, adala ya kila mtu kujiunga kifurishi, mnaweza wote kutumia huduma ya fibre kwa njia ya wifi.
Kwa hapa kwetu huduma hizi zipo tu Dar na sehemu iliyopo Dar ni chache hususani za city centre ndio watakuvutia waya.
Kiukweli hatutendewi haki kwa haya mabando ya mitandao ya simu, Sio kwamba kusema tunashindwa kulipa ila ni kwamba internet yafaa kuwa hitaji la gharama nafuu, Ni muda muafaka wa makampuni ya fibre waanze kuwekeza kwenye upanuzi wa huduma zao kutufikia hata huku mikoani.