Fid Q akiri kuzama kwa huyu mrembo

Fid Q akiri kuzama kwa huyu mrembo

Kuna huyu!
Kuna Ally K!
Kuna Dully!
wajitahidi, Bob Marley alianza hivi hivi!

Nilistuka sana niipoona hilo Bob!! nilidhani Bob Jr Wa sharobaro records mzee Wa Nyota ya chips mayai! kumbe Bob Marley!
 
Mwanaume mzima eti unaogopa kusumbuliwa na wanawake? Ndo maana skendo za ushoga zinawaandama!
 


Mkali wa HipHop Bongo Fid Q ameonekana kukamatika kimahaba kwa mrembo ambaye amemtambulisha nyumbani kwao Mwanza na ameiambia eNEWZ kuwa kwa sasa yupo kwenye mahusiano rasmi.

Fid Q amesema ameamua kupost picha kwenye mitandao yake ya kijamii ili kupunguza wasichana wengine kumtumia meseji za kumsumbua lakini pia kuwaonyesha mashabiki zake kwamba kwa sasa yupo katika mahusiano rasmi kwani umri wake unaruhusu.

''Nimeamua kuweka mahusiano yangu wazi ili kuzuia usumbufu wa kina dada wanaonisumbua katika mitandao ya kijamii na hata ninapokuwa kwenye viwanja vya starehe na mda wowote kuanzia sasa ninaweza kutangaza ndoa'', amefunguka.
View attachment 691539
Kwa upande wake mrembo huyo wa Fid amesema hawashangai sana wanawake wanaomtongoza Fid kwenye 'Social network' kwa kuwa mpenzi wake anamuonekano mzuri na ni mwanaume ambaye ameshapitia mambo mengi duniani hivyo anaamini kwamba atakuwa mwanaume bora kwake.


Eatv

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kiki nyingine za kipuuzi kiwango cha lami.... Nani kasema ukimuweka wazi mpenzi wako ndio hutatongozwa tena? Ingekuwa hivi walioko kwenye ndoa wangekuwa salama sana
BTW wanaume hayo mambo huwa hatutangazi ndio maana ni nadra kusikia mwanaume kabakwa na mwanamke... Unadhani hawapo?
 
kapata wa kumlea mwingine maana jamaa ni mario
 
Back
Top Bottom