Fid q awaomba radhi wasafi asema alikuwa hajielewi na awezi kuwa kinyume na Clouds media

Fid Q angepata elimu kubwa angeweza kuwa mwanadiplomasia wa kuwapatanisha Israeli na Palestina. Jamaa kajaaliwa upeo mpana sana
 
Ndio ajifunze kutokuwa na upande , kwenye vita ya wakubwa
 

Mis-leading header..

and am not suprised because wewe ni mmoja kati ya un-educated people wanaoendeshwa na agendas

kwenye hiyo statement ya Fiq-q ni wapi amesema "alikuwa hajielewi" na wapi amesema "hawezi kwenda kinyume na Clouds?"

Yes, ameomba msamaha as a gentleman and he showed his realness side by doing so, but haihitaji akili kubwa sana kuelewa kuwa the entire statement inaonesha kuwa ameamua kuchagua sehemu ambayo inampa faida zaidi.

its a dog eat dog world, and you have to choose the side that benefit you the most in the long run, and yupo kwenye hii industry since 2000's so am sure he knows more and better than your clueless mind ni side gani ambayo inampa au itampa faida kwa muda mrefu.

and bad enough, umeignore statement anayosema he once had problems na Clouds pia but not a single artist supported him.
 
Fid ni mnafiki sana ukimuona kma ana hekima lkn ni snitch mzoefu kuna maneno flan aliyaongea enzi za kampeni nikamshusha kabisa, ingawa Tale nae kazidi uswahili kwan kua na gari ndio kufanikiwa maisha?
 
kwa nini Tale anapenda bifu na CMG..au anamtegemea matako manene..ataumia
 
Kweli fid q alizingua kuwatukana
 
Aliongea nini wakati wa kampeni mkuu?
Fid ni mnafiki sana ukimuona kma ana hekima lkn ni snitch mzoefu kuna maneno flan aliyaongea enzi za kampeni nikamshusha kabisa, ingawa Tale nae kazidi uswahili kwan kua na gari ndio kufanikiwa maisha?
 
Fid ni mnafiki sana ukimuona kma ana hekima lkn ni snitch mzoefu kuna maneno flan aliyaongea enzi za kampeni nikamshusha kabisa, ingawa Tale nae kazidi uswahili kwan kua na gari ndio kufanikiwa maisha?
maneno hayo ya kampeni hata mie nayakumbuka,hata mie alinishangaza,hapo kabla nlikuwa namchukulia kama mwana harakati na mwanahiphop anayejielewa kumbe wapii,njaa tu.Bora hata weusi walionyesha msimamo kipindi kile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…