Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Wasalaam wana jamvi!

Kama mnavyojua kuwa Alikiba ni mmoja wa wasanii wenye kibri na chuki ambazo zimejificha lakini kama utakuwa una mfatilia mwenendo wake kwenye sanaa utagundua kuwa Alikiba ni mtu mwenye kibri ,majivuno na chuki zisizo za msingi!

Alikiba amekuwa na tabia ya kutumia matukio yanayo kutanisha wasanii wenzake kuendeleza chuki na kibri dhidi ya wasanii wenzie.,....ni kawaida ya Alikiba kutotoa mikono kwa baadhi ya wasanii wenzie hasa wanaotoka wasafi hata wakilazimisha kumsalimu huwa hakubali....
Bado najiuliza hivi Alikiba anaumwa nini?

Lakini hii tabia ya chuki na kibri amesha anza kuwarithisha wasanii wenzie hasa huyu ndugu “Farid Kubanda” tena chuki dhidi ya wasanii wa WCB

Jana kwenye tukio la kumuaga ndugu Mbalamwezi kulitokea tukio ambalo limesambaa sana kwenye mitandao ya kijamii...
Msanii Harmonize alikwenda msibani na alipofika alianza kuwapa mikono wasanii wenzie na baadhi ya watu walio kuwepo,alipokuwa anaendelea kutoa mikono kabla hajawafikia watukufu Fid q na Alikiba walinyanyuka gafla na kupeana ishara ya kuondoka kiasi kwamba ikazua sintofahamu na watu kuanza kushangaa yani mtu anataka kuwapa mkono wa Pole mnamkimbia ina wasaidia nini?

Fid q na Alikiba nani aliye waroga?

Najua shida ya watu ni jinsi wasanii wa WCB walivyo na walinzi ...Lakini tujiulize ni kweli wasanii wetu hawahitaji walinzi? Na ni kwanini tuchukie watu wakifanikiwa?
Hivi msanii Mbalamwezi angelikuwa na walinzi pengine si tungelijua kilichompata au kisingempata kilicho mpata?

Hivi Kwanini wasanii ndio wanachukia wasanii wenzao? Kwani msanii kufanikiwa ni dhambi? Wasanii wa WCB hawapaswi kwenda misibani kwakuwa wana walinzi au vyombo vya habari vitawafata?

Kwanini hatutaki kukubali kuwa kuna wasanii lazima wafatwe na vyombo vya habari na lazima wawe na walinzi kwakuwa ni wakubwa na hatuwezi kuzuia?

Fid q na Alikiba na kawaroga?
Mkuu unajua kwa nn kuna watu wamekuita bogus ..
Jibu ni kua, umefunika main theme alaf extra plots ndo umeipa nafasi,how?
Upumbavu wa show off msibani wcb imekua ni km sifa siku hizi,possible hautaelewa wala kukerekwa but ni utoto na 'too shallow' i guess ni sababu ya ka na mkwanja bila elimu au makuzi,anyway na wewe hili ukalifunika,ukawachagua wale waliowahi msibani bila showoff ukawabatiza 'wamekimbia',
Possibke kweli walimkwepa huyo dogo ,hata mimi ujinga hua naukwepa kwa speeed ya 120[emoji41]
 
Mleta mada ni mwehu. Badala ya kukosoa huyo msafi mwenzako kwenda msibani na bodigadi tena na marangi rangi kichwani huku kavaa suti ya disco. Unaleta kelele za fid sijui kiba. Huo ni wenu.
Exactly this is what i was saying,mleta mada kafunika bigger picture kwa small plots
 
Kumbe mnaendaga misibani kuwashangaa wasanii?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu unajua kwa nn kuna watu wamekuita bogus ..
Jibu ni kua, umefunika main theme alaf extra plots ndo umeipa nafasi,how?
Upumbavu wa show off msibani wcb imekua ni km sifa siku hizi,possible hautaelewa wala kukerekwa but ni utoto na 'too shallow' i guess ni sababu ya ka na mkwanja bila elimu au makuzi,anyway na wewe hili ukalifunika,ukawachagua wale waliowahi msibani bila showoff ukawabatiza 'wamekimbia',
Possibke kweli walimkwepa huyo dogo ,hata mimi ujinga hua naukwepa kwa speeed ya 120[emoji41]
Huyu Harmonize ni kama kituko vile,sijui kama na nyie huwa mnamuona hivyo. Hata hao waliokuwa hapo msibani walimuona kama kituko hivi.

Nawaunga mkono Alikiba na Kubanda, hiyo ni moja ya hali ya kuonyesha kutokuunga mkono upumbavu katika misiba.

Unakuja msibani kwa kuchelewa, una walinzi(sijui ni walinzi au ni vituko maana hata watazamaji walikuwa wanacheka)una kundi kuubwa ili kutafuta kuonekana. Wewe ni kijana wa kiislamu wenzako wamevaa mavazi ya kuendana na shughuli husika wewe umevaa kisuti na ulivyo mfupi basi umekuwa kituko zaidi. Kichwani sijui umeweka uchafu gani,ungeweza pia kuvaa kofia.

Kiufupi kijana alifanya jambo la kipumbavu na ilikuwa busara sana kwa kaka zake kumuachia jukwaa afanye maonyesho yake ya kipumbavu kuliko kumpa ukweli wake pale maana ingezua taharuki.

Akili za mleta nada zinajulikana vyema na hakuna mtu anaweza kumshangaa.
 
Wasalaam wana jamvi!

Kama mnavyojua kuwa Alikiba ni mmoja wa wasanii wenye kibri na chuki ambazo zimejificha lakini kama utakuwa una mfatilia mwenendo wake kwenye sanaa utagundua kuwa Alikiba ni mtu mwenye kibri ,majivuno na chuki zisizo za msingi!

Alikiba amekuwa na tabia ya kutumia matukio yanayo kutanisha wasanii wenzake kuendeleza chuki na kibri dhidi ya wasanii wenzie.,....ni kawaida ya Alikiba kutotoa mikono kwa baadhi ya wasanii wenzie hasa wanaotoka wasafi hata wakilazimisha kumsalimu huwa hakubali....
Bado najiuliza hivi Alikiba anaumwa nini?

Lakini hii tabia ya chuki na kibri amesha anza kuwarithisha wasanii wenzie hasa huyu ndugu “Farid Kubanda” tena chuki dhidi ya wasanii wa WCB

Jana kwenye tukio la kumuaga ndugu Mbalamwezi kulitokea tukio ambalo limesambaa sana kwenye mitandao ya kijamii...
Msanii Harmonize alikwenda msibani na alipofika alianza kuwapa mikono wasanii wenzie na baadhi ya watu walio kuwepo,alipokuwa anaendelea kutoa mikono kabla hajawafikia watukufu Fid q na Alikiba walinyanyuka gafla na kupeana ishara ya kuondoka kiasi kwamba ikazua sintofahamu na watu kuanza kushangaa yani mtu anataka kuwapa mkono wa Pole mnamkimbia ina wasaidia nini?

Fid q na Alikiba nani aliye waroga?

Najua shida ya watu ni jinsi wasanii wa WCB walivyo na walinzi ...Lakini tujiulize ni kweli wasanii wetu hawahitaji walinzi? Na ni kwanini tuchukie watu wakifanikiwa?
Hivi msanii Mbalamwezi angelikuwa na walinzi pengine si tungelijua kilichompata au kisingempata kilicho mpata?

Hivi Kwanini wasanii ndio wanachukia wasanii wenzao? Kwani msanii kufanikiwa ni dhambi? Wasanii wa WCB hawapaswi kwenda misibani kwakuwa wana walinzi au vyombo vya habari vitawafata?

Kwanini hatutaki kukubali kuwa kuna wasanii lazima wafatwe na vyombo vya habari na lazima wawe na walinzi kwakuwa ni wakubwa na hatuwezi kuzuia?

Fid q na Alikiba na kawaroga?

Harmonize nae kaondoka WCB chanzo ni ali kiba na fid q??
halafu unazungumza haujaweka any evidence umeamua tu kuongea

sawa na leo niseme Ruta ni mchawi

wewe ndio una chuki na hao
 
wasafi na mameneja wao walimtukana Fidq na wasanii wengine kisa wameenda kufanya show Fiesta badala yakufanya Wasafi festival mtwara mpaka sasa kuna mataka ya wasanii kipindi Ruge yuko mahututi,diamond aligawa wasanii wasiende kufanyakazi na clouds bali waungane nao katika show zao Wasafi ndio maana kuna wapiga show wa wasafi na waclouds
 
Wasalaam wana jamvi!

Kama mnavyojua kuwa Alikiba ni mmoja wa wasanii wenye kibri na chuki ambazo zimejificha lakini kama utakuwa una mfatilia mwenendo wake kwenye sanaa utagundua kuwa Alikiba ni mtu mwenye kibri ,majivuno na chuki zisizo za msingi!

Alikiba amekuwa na tabia ya kutumia matukio yanayo kutanisha wasanii wenzake kuendeleza chuki na kibri dhidi ya wasanii wenzie.,....ni kawaida ya Alikiba kutotoa mikono kwa baadhi ya wasanii wenzie hasa wanaotoka wasafi hata wakilazimisha kumsalimu huwa hakubali....
Bado najiuliza hivi Alikiba anaumwa nini?

Lakini hii tabia ya chuki na kibri amesha anza kuwarithisha wasanii wenzie hasa huyu ndugu “Farid Kubanda” tena chuki dhidi ya wasanii wa WCB

Jana kwenye tukio la kumuaga ndugu Mbalamwezi kulitokea tukio ambalo limesambaa sana kwenye mitandao ya kijamii...
Msanii Harmonize alikwenda msibani na alipofika alianza kuwapa mikono wasanii wenzie na baadhi ya watu walio kuwepo,alipokuwa anaendelea kutoa mikono kabla hajawafikia watukufu Fid q na Alikiba walinyanyuka gafla na kupeana ishara ya kuondoka kiasi kwamba ikazua sintofahamu na watu kuanza kushangaa yani mtu anataka kuwapa mkono wa Pole mnamkimbia ina wasaidia nini?

Fid q na Alikiba nani aliye waroga?

Najua shida ya watu ni jinsi wasanii wa WCB walivyo na walinzi ...Lakini tujiulize ni kweli wasanii wetu hawahitaji walinzi? Na ni kwanini tuchukie watu wakifanikiwa?
Hivi msanii Mbalamwezi angelikuwa na walinzi pengine si tungelijua kilichompata au kisingempata kilicho mpata?

Hivi Kwanini wasanii ndio wanachukia wasanii wenzao? Kwani msanii kufanikiwa ni dhambi? Wasanii wa WCB hawapaswi kwenda misibani kwakuwa wana walinzi au vyombo vya habari vitawafata?

Kwanini hatutaki kukubali kuwa kuna wasanii lazima wafatwe na vyombo vya habari na lazima wawe na walinzi kwakuwa ni wakubwa na hatuwezi kuzuia?

Fid q na Alikiba na kawaroga?
Amewaiga
 
Ila Harmo ana mbwembwe, ila mim kanifurahisha, ujue mziki wa bongo unaitaji attention
 
Yaani Nimeshangaa jamaa kaingia msibani kama ana kwenda kufanya show
Sema hawa dabiliusibii nao wanapenda sana 'attention', kaja na hao mabodigadi utafikiri labda kuna tishio fulani dhidi ya uhai wake, mbwembwe nyiiingi, watu wapo msibani unakuja na show-off za kishamba, who is Harmonize by the way? Haoni wenzake akina Shetta wapo bize kuhudumia waombolezaje, kawapita moguls Kiba na Fid hapo kama hawaoni, kesho hawahawa ndo unasikia anaumwa sana anahitaji watu wamchangie! Tujifunze kuishi maisha ya kawaida na kuachana na kiki misibani! Shwain!
 
Back
Top Bottom