DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Inaonekana una mapenzi sana na Tamaduni..List yangu
1.nikki mbishi
2.kad go
3.ghetto AMBASSADOR
4.songa
5.stereo
6.ONE
7.DISASTA
8.FID Q
9.Mansuli
10.p the mc
Tamaduni Muzik for ever broInaonekana una mapenzi sana na Tamaduni..
Wanakwama wapi..Mbona bado wapo chini ya handaki?Tamaduni Muzik for ever bro
Vipaji vipo underground,media yako majina kakaWanakwama wapi..Mbona bado wapo chini ya handaki?
Hii list ya wavuta bangi wenzioList yangu
1.nikki mbishi
2.kad go
3.ghetto AMBASSADOR
4.songa
5.stereo
6.ONE
7.DISASTA
8.FID Q
9.Mansuli
10.p the mc
Asiyevuta bangi Ni maalim Nash pekee wengine wote chain smoker wa kayaHii list ya wavuta bangi wenzio
Kabla haujapost hakikisha unaushirikisha ubongo, next time tutakuchapa makofiUnataka kusema Fid Q ni zaidi ya Young D??
Sawa mkuu..Umeshalipia albamu ya Nash mc lakini??Vipaji vipo underground,media yako majina kaka
Kiukweli sijalipia.nimenunua ya nikki na songa..na ile mixtape ya p the mc mwaka juziSawa mkuu..Umeshalipia albamu ya Nash mc lakini??
Kwako au?baada yakufanya analysis kwa muda mrefu sahivi nampitisha fid q kama msanii bora wa hip hope Tanzania
Fid quote:
Sitaki huko mbele ibaki MISELE au MAJUTO au MILUPO kuwa tele.. YABAKI MADUSKO MFUKO WA MAFAO/ kuna MAISHA baada ya #GROUPIELOVE
prof jay si anasimulia tu hadithi juu ya midundo ya hiphop..hana ufundi hana utundu sio mbunifuKwako au?
Fid q aint got nothing to Prof Jay