Fid q ndo msanii bora wa hip hope Tanzania

Fid q ndo msanii bora wa hip hope Tanzania

Ubora wa msanii wenzetu huwa wanaangalia mapato aliyoingiza kutokana na mziki wake kwangu mimi hiyo nafasi nampa profesa j
 
So Prof J mziki ndo umemlipa zaidi ya Wote???
Upande wa hiphop bongo prof j kafanya mapinduzi makubwa kwenye jamii nakuwabadilisha mitazamo ya wazee wengi wa kipindi kile kuwa mziki sio uhuni pia jamaa ana aseti za kutosha kuliko wanahiphop wote bongo
kwahiyo niseme dunia nzima ubora wa msanii huwa wanaangalia mapato anayoingiza
 
so kuti kavu/
mashuti nyavu/
mamluki hamnikuti bado mpo down/
baada yakufanya analysis kwa muda mrefu sahivi nampitisha fid q kama msanii bora wa hip hope Tanzania


Fid quote:
Sitaki huko mbele ibaki MISELE au MAJUTO au MILUPO kuwa tele.. YABAKI MADUSKO MFUKO WA MAFAO/ kuna MAISHA baada ya #GROUPIELOVE
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hao tamadun most of them wamekuw inspired na fareed af sas ar et dizasta anamzid fid?
List yangu
1.nikki mbishi
2.kad go
3.ghetto AMBASSADOR
4.songa
5.stereo
6.ONE
7.DISASTA
8.FID Q
9.Mansuli
10.p the mc
 
Back
Top Bottom