Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Hashim dogo
Jay moe
Fid Q
Diplomats
Prof na HBC
Mabaga fresh
Sugu
D -Lob
Mabaga fresh?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hashim dogo
Jay moe
Fid Q
Diplomats
Prof na HBC
Mabaga fresh
Sugu
D -Lob
binadamu huwa,wanashangaza sana..wao wanapima ubora,wa mtu kisa alianza lini yani mfano sugu alianza muzikii miaka ya 90 akitokea mtu kaanza muziki miaka ya 2008 lkn ni mkali hawez kupewa credit zake kisa kaanza 2005.........leo wakina sugu dol soul,diplomtic wanaonekana bora lakini ukifatilia nyimbo zao hakuna wanachomfikia fidQ
ongea Wewe!! eti hadi mabaga Fresh!!
mabaga fresh,nao tuwaite waflme wa hip hop kwa kipi jamani?
ni shidah but siku za tuzo wanapokea weusi kama kawa..
point yako ni?
Fid ni Mfalme wa hip hop bongo
ni shidah but siku za tuzo wanapokea weusi kama kawa..
Mabaga fresh?
Hapana.........