Bahati mbaya zaidi nyimbo inayonunuliwa ni Remix, sio Orginal VersionFid unatafuta kiki ili nyimbo iendelee kununuliwa tu huku mitandaoni
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Sasa kama ni babake asiseme?Nimielewa Fid Q, hakukuwa na haja ya Dimpozz kwenda that personal, angechukua biti la mtu nae amjibie studio.
unaitwa mtazamoHuu wimbo unaitwaje mzee mwenzangu?
Kaonyesha udhaifu mkubwa sana! Mwenzake kamtania kisanii yeye kapaniki.Sasa kama ni babake asiseme?
sent from my BBC using JamiiForums mobile app
Na yeye kamtania kisaanii +kibabaKaonyesha udhaifu mkubwa sana! Mwenzake kamtania kisanii yeye kapaniki.
Usitake kujifanya huelewi somo.....Kumegwa siyo kesi unaweza kuta hata bibi mdash wako anamegeka tu kitaani na wana, wengne wadogo zaidi yako. Kesi iliyopo ni domo kamdis ommy, so ommy angedili na domo personally maswala ya kumuhusisha bi mdashi hayakuwa na mantiki kama kamla bi mkubwa wanajuana wenyewe mm hainihusu swala ni kwa nn umuhisishw mtu ambaye hahusiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe nitaira ivi bado hujajua kuwa akutukanaye achagui tusi ivi diamond alivo mtukana mwenzake kumuita shoga alishawahi shuhudia icho kitu au aliwahi kumpa ndogo Ommy akashindwa kupiga mambo hakuna tusi baya kama kuambwiwa shoga Alf mbona kuna mashuga mamy makubwa kuliko mama mondi wanatoka navijana me sijaina ubaya npo Ommy kazana baba ikiwezekana mpaka ukumbiniwewe ndio mpuuzi,fid kasema kuingiza wazazi ni ujinga.pambaneni wenyewe achanen na wazaz
Ulisikiliza ile interview ya Mondi pale clouds wakati anasema mbele ya mamilioni ya watu nchi nzima na nje ya nchi kua Ommy anapumuliwa kisogoni??? imesahau kua mondi huyo huyo alisema eti kisa cha kuweka bifu na Ommy ni kitendo cha yeye kumchomolea kumpumulia kisogoni??Kwa hiyo ww nikikuita shoga tyari ushakuwa shoga. Kiba alidisiwa akaitwa cinderella lakin akajibu kiume zaidi akamuita domo ni malkia wa nguvu na vitu ka izo so kuitwa domo malkia so tyari ashakuwa malkia mbona kiba hakukimbilia kwa wazaz alimjibu muhusika. Ushabiki unapelekea watu tunakuwa blind sana. Kudisiana kwenye mziki ni kitu cha kawaida haijaanza leo labda kama ww ni mgeni kwny sanaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi tuh kwan omy alimuomba diamond amseme au diamond kaipata ndo iwe fundishowewe ndio mpuuzi,fid kasema kuingiza wazazi ni ujinga.pambaneni wenyewe achanen na wazaz
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu nae na machunusi yake atulize mshono...mbona wakati ommy wanamzushia ushoga akuleta machunusi yake kusema ommy anadhalilishwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliulizwa hakujibu ivo acha uongo ata mm nilisikiliza acha kutujaza aliandika pale unapokaa kumpulia mtu alafu anakaairika na hakutaja jinaUlisikiliza ile interview ya Mondi pale clouds wakati anasema mbele ya mamilioni ya watu nchi nzima na nje ya nchi kua Ommy anapumuliwa kisogoni??? imesahau kua mondi huyo huyo alisema eti kisa cha kuweka bifu na Ommy ni kitendo cha yeye kumchomolea kumpumulia kisogoni??
Yaani amtangaze mwenzie kua Shoga halafu mwenzie kusema kua hapana me sio shoga maana bi mdashi wako ananijua vilivyo ndio iwe kosa???
ushawaza Mond alimdhalilishaje Ommy,
unajua watu wangapi wameamini mpk sasa,
Angeweza hata kumfungulia mashtaka lakin bi sandra akamzima na kumwambia "msamehe mtoto wetu babe me nakujua vizuri" hahahahahahahahahahahahahahahahahahaha imepenya hiyoooooooooooooo
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Ww naye nahisi una element za kina dimpoz maana ata uandiahi wako tu unanipa ukakasiUlisikiliza ile interview ya Mondi pale clouds wakati anasema mbele ya mamilioni ya watu nchi nzima na nje ya nchi kua Ommy anapumuliwa kisogoni??? imesahau kua mondi huyo huyo alisema eti kisa cha kuweka bifu na Ommy ni kitendo cha yeye kumchomolea kumpumulia kisogoni??
Yaani amtangaze mwenzie kua Shoga halafu mwenzie kusema kua hapana me sio shoga maana bi mdashi wako ananijua vilivyo ndio iwe kosa???
ushawaza Mond alimdhalilishaje Ommy,
unajua watu wangapi wameamini mpk sasa,
Angeweza hata kumfungulia mashtaka lakin bi sandra akamzima na kumwambia "msamehe mtoto wetu babe me nakujua vizuri" hahahahahahahahahahahahahahahahahahaha imepenya hiyoooooooooooooo
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Hahahahaha yaani nina elements za kua baba wa kambo wa Mondi au??? hahahahahahahahahahahaWw naye nahisi una element za kina dimpoz maana ata uandiahi wako tu unanipa ukakasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaangalie tena interview youtube..... hakutaja jina kwani mada ilikua nini hadi akasema hayoAliulizwa hakujibu ivo acha uongo ata mm nilisikiliza acha kutujaza aliandika pale unapokaa kumpulia mtu alafu anakaairika na hakutaja jina
Sent using Jamii Forums mobile app