Fid Q: Ommy Dimpoz amefanya hadi nauchukia wimbo wangu wa Fresh

Fid Q: Ommy Dimpoz amefanya hadi nauchukia wimbo wangu wa Fresh

Msanii wa Hip Hop Fid Q amedai msanii Omy Dimpoz amefanya jambo la hovyo sana kiasi kwamba hadi sasa haupendi wimbo wake wa fresh
Ommy Dimpoz alitupia picha akiwa na mama Diamond na kuandika maneno ya kumdhalilisha
kitu ambacho fid Q hakutegemea kufika huko kwa kuwa muziki ni burudani na msanii kumdiss mwingine kupitia muziki kunachangamsha game ila sio kutukana wazazi


jamani DIMPOZ Sio RIZIKI na mawenge ya kutosha kwenye kichwa chake...akihisi MTEKENYO CHINI anauwezo wa kufanya lolote.
 
mnapenda kulumbana na mnapenda tukanana,
mi nnaogopa sana, kwa hali jinsi ilivyo mwishowe mtaja chinjana,
na sote tunaorap tuonekane hatuna maana.

wapi ilipo taarabu, ilikuja kwa kishindo hadi wagumu wakahusudu, lakini kwa malumbano mwishoe ikafa kibudu.

by Afande sele Mtazamo
Nani tutamlaumu
Producer alierecord
Au labda DJ anaepiga kwenye kipindi

Sent from myself
 
Fid unatafuta kiki ili nyimbo iendelee kununuliwa tu huku mitandaoni

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Acha ufala wewe atafute kiki ya nini wakati yeye haihitaji kiki anakubalika kitambo kwenye hipo hop ila alichosema ni kweli yule punga Dimpoz mambo yao vipi awahusishe wazazi?
 
Kosa moja hali justify kosa jingine.

Kimsingi Nasibu amekosea na Dimpoz amekosea pia, hakuna mwenye nafuu hapo.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Watulie dawa iwaingie....Hata mama ake Ommy kadhalilishwa kwa mwanae kuitwa Shoga na Dimond.

Siku nyingine Dimond atajifunza kuheshimu wenzie maama mama ake ndio Kishaliwa tena
 
Domo angejibu kwa kumtukania dimpoz kwa mama ake nahisi insta pangechafuka watu tunashangilia ujinga kutaniana kupo mbona kiba alimjib domo kwa kumuita malikia wa nguvu watu hawajamaind lakini unahisi ni kw nini ommy kaleta mtafaruku kw sababu kamhusisha mtu aziyehusika yeye angedili na domo personally siyo kuingiza wazaz.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dimond ndio kaanza kuhusisha watu wasiohusika.

Dimond ndio kam-diss Ali...Ali akajibu.

Dimond akawa-diss Ali na Ommy....So Dimond alimuingiza Ommy kwenye ugomvi usimuhusu na Ommy nae akatoa ya moyoni kuwa kishakula Mama enu so mvumilie tu.

Dimond asingemuingiza Ommy wala Ommy asingeingilia ila Dimond kazoea kumuonea Ommy na safari hii kamkomesha.
 
Kwani mama ake Ommy hajadhalilishwa kwa kuambiwa kazaa Shoga??? sasa Mond kakomaa kumuita mwenzake shoga kisa tu hajawahi kumtambulisha shemeji yake kumbe huyo shemeji yake ni mama ake hahahahahahahaha oyooooooooooooooooooo wanasemaga Mbwa kala Mbwa.


Nipo upande wa Ommy.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] woyoooooo woyoooo hozaaaaa patraaam

invest what you are willing to lose
 
Kumegwa siyo kesi unaweza kuta hata bibi mdash wako anamegeka tu kitaani na wana, wengne wadogo zaidi yako. Kesi iliyopo ni domo kamdis ommy, so ommy angedili na domo personally maswala ya kumuhusisha bi mdashi hayakuwa na mantiki kama kamla bi mkubwa wanajuana wenyewe mm hainihusu swala ni kwa nn umuhisishw mtu ambaye hahusiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Omy kafanya vile kuithibitishia jamii kuwa yeye si shoga. Na demu wake ndo huyo bi kandra

invest what you are willing to lose
 
Naanza kuamini kuwa ma great thinker wamepungua humu jf na km wamebak bas wengi wao hawana bando la kutosha.... Fid kaongea vizuri tu kuwa hakuelewa ule mstari uliotaja Cinderella kama wengi walivyo elewa ila humu jf badobwatu povu linawatoka

Sent using Jamii Forums mobile app
Muongo yule kishaona balaa anataka kujitoa.
 
wabanapua wana mambo ya kishoga sana. Wanaleta utani hadi kwa wazazi. Nilishamwambia wife nikikuta wimbo wa mbanapua yeyote wa bongo ndani, namrudisha kwao.
 
Nimielewa Fid Q, hakukuwa na haja ya Dimpozz kwenda that personal, angechukua biti la mtu nae amjibie studio.
Kama Ommy ajui ku-rap Je...ulitaka afe na tai shingoni?!

Kama walitaka hayo wangekubaliana toka mwanzo...

Hakuna kulia lia Mama enu ndio kishaliwa na Ommy kamwaga mchele kwenye kuku Wengi
 
Ulisikiliza ile interview ya Mondi pale clouds wakati anasema mbele ya mamilioni ya watu nchi nzima na nje ya nchi kua Ommy anapumuliwa kisogoni??? imesahau kua mondi huyo huyo alisema eti kisa cha kuweka bifu na Ommy ni kitendo cha yeye kumchomolea kumpumulia kisogoni??

Yaani amtangaze mwenzie kua Shoga halafu mwenzie kusema kua hapana me sio shoga maana bi mdashi wako ananijua vilivyo ndio iwe kosa???

ushawaza Mond alimdhalilishaje Ommy,
unajua watu wangapi wameamini mpk sasa,
Angeweza hata kumfungulia mashtaka lakin bi sandra akamzima na kumwambia "msamehe mtoto wetu babe me nakujua vizuri" hahahahahahahahahahahahahahahahahahaha imepenya hiyoooooooooooooo

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Ndo mana jamaa akaamua kuweka wazi ili amuheshimu

invest what you are willing to lose
 
Acha ufala wewe atafute kiki ya nini wakati yeye haihitaji kiki anakubalika kitambo kwenye hipo hop ila alichosema ni kweli yule punga Dimpoz mambo yao vipi awahusishe wazazi?
Kamuhusishaje mzazi? Kuweka wazi mahusiano yao ni kosa?

invest what you are willing to lose
 
Back
Top Bottom