Hahahah! Sio matusi mkuu,na huyu kwenye avatar ni Zuhura yunus wa BBC,tafadhali msianze makeke.....teh teh teh..na una hakika sio matusi kwa lugha ya wenyewe? huyo kwenye avatar ndo wewe na sie tuanze "makeke yetu!?"
Napenda girls like you... You sound like Brooklyn girls. I wanna be your friend. Why not huh?Hahahah! Sio matusi mkuu,na huyu kwenye avatar ni Zuhura yunus wa BBC,tafadhali msianze makeke.
....teh teh teh...kama mnashabihiana na dress code ipo kama hivyo makeke lazima,hakuna namna!Hahahah! Sio matusi mkuu,na huyu kwenye avatar ni Zuhura yunus wa BBC,tafadhali msianze makeke.
Thanks a lot,...no doubt you are my friend from now.Napenda girls like you... You sound like Brooklyn girls. I wanna be your friend. Why not huh?
....sawa mshenga!.,ila huyo Rado sahivi kashajilia zake bwimbwi anadevera tu!..hana habari!Rudini kwenye topic tafadhari, huyo othiambo watu washalipa ng'ombe tayari.
Nikaribishe PM girlThanks a lot,...no doubt you are my friend from now.
Karibu sana mkuu,sisi sote humu ni ndugu kwa ikhsani ya JF.Nikaribishe PM girl
Rado ni MC mzuri cjui tu nini kimemgharimu
Dah tena ni msomi huyu cjui shida nini kweli kusoma na kuelimika ni vitu viwili tofautiMadawa ya kulevya
Dah tena ni msomi huyu cjui shida nini kweli kusoma na kuelimika ni vitu viwili tofauti