umeanza vizuri lakini hapo mwisho umeharibu" nay wa mitego" sio msanii wa hip-hop " so acha kufananisha hip Hop navitu vya kijingaHuyu jamaa siku zote anaimbaga mipasho,hip hop siku zote haifichi fichi mambo Kama unataka kumchana mtu unamtaja mpaka jina,misamiati mingii,embu awasikilize wakina tupac,biggie na wengine wengi waasisi wa hip hop walikuwa wanachana vipi,namuelewaga sana nay wa mitego
Tena tako lako mwenyewe!waweza kukuta na yey ni member wa hiyo kitu"... lakini ajabu anahubiri" kile asichoweza kukitekeleza"...
hahaaa unalamba tuTena tako lako mwenyewe!
Huyu jamaa siku zote anaimbaga mipasho,hip hop siku zote haifichi fichi mambo Kama unataka kumchana mtu unamtaja mpaka jina,misamiati mingii,embu awasikilize wakina tupac,biggie na wengine wengi waasisi wa hip hop walikuwa wanachana vipi,namuelewaga sana nay wa mitego
Hamna fasihi yoyote,hip hop ni mziki wa ukombozi na ndio lengo kamili,unapotaka kujikomboa hupaswi kuficha ficha,sikiliza waanzilishi wore wa hip hop uone Kama walikuwa wanatumia lugha za kuficha,Kama unamzungumzia sungura unapaswa umtaje sungura na sio tembo eti mpaka mwenye akili ndio ajue kuwa unamzungumzia sungura,taarab ndio nyimbo zinazostahili fasihi sababu ni mipashokumwelewa Fid Q UNATAKIWA UWE NA AKILI.ukiwa huna humwelewi kabisa. ni mtu mwenye falsafa. huyo ney ni mtu ambaye hawezi fikiria kama anavyofikiria Fid Q sababu upeo wake na Elimu ni ndogo . nyimbo za FID Q zina meseji kama ambazo alikuwa anaimba BOD Marley. FID hana mipasho.. anatumia fasihi hivyo wewe msikilizaji unaweza tafsiri inavyokufaa. only if you are intelligent. otherwise you wont understand him. mi nakushauri endelea kuwasikiliza akina ney.
Hamna fasihi yoyote,hip hop ni mziki wa ukombozi na ndio lengo kamili,unapotaka kujikomboa hupaswi kuficha ficha,sikiliza waanzilishi wore wa hip hop uone Kama walikuwa wanatumia lugha za kuficha,Kama unamzungumzia sungura unapaswa umtaje sungura na sio tembo eti mpaka mwenye akili ndio ajue kuwa unamzungumzia sungura,taarab ndio nyimbo zinazostahili fasihi sababu ni mipasho
Asipoelewa hapa, ndo basi tena.Mchajikobez huwezi nielewa na huwezi muelewa Fid Q ndo maana nikasema wewe endelea kumsikiliza ney. huyo ndo anakufaa. music una mambo mengi. hufaham hata mipasho ni nini. Fid Q hana anayemzungumzia anazungumzia maisha kwa ujumla na dno maana watu wengi wanaweza hisi na kujihisi wanasemwa au anasemwa flani lakini ushahidi huwezi pata.hip pop ya akina Tupac ilikuwa ni ya Beef ambazo karne hazihitajiki na zinaua music. hazina manufaa kwa jamii. sasa wewe unataka watu warudi tena huko? unakosea. wasanii wasio na akili wanadhani hip pop ni kutukanana n.k hapana. Fid Q anazungumza kitu kilicho wazi kabisa katika jamii. anaposema kuwa hujiulizi kwa nini ng'ombe anakula majani na anatoa maziwa. unapaswa uwe umetulia ukajiuliza hilo swali. ana maneno mengi ambayo ni mpaka uwe na akili ndo uelewe.
napokwambia kuwa ni fasihi na wewe unabisha nagundua kuwa hii ni level ya juu kwako maana hujui kuwa music ni moja ya genres za literature na huko kuna lugha za picha,misemo na nahau. lazima music uwe tofaut na risala. wasioweza fikiria wasio na akili huwa wanaandika risala ambayo si ngumu.ila kufikiria kupata maneno yenye maana ni ngumu inataka uwe na akili.
"Sina mistari *****, nikikuchana nakutag!" DARASAHuyu jamaa siku zote anaimbaga mipasho,hip hop siku zote haifichi fichi mambo Kama unataka kumchana mtu unamtaja mpaka jina,misamiati mingii,embu awasikilize wakina tupac,biggie na wengine wengi waasisi wa hip hop walikuwa wanachana vipi,namuelewaga sana nay wa mitego
Wewe una ubishi wa hasili na bila shaka utakuwa muha...Hamna fasihi yoyote,hip hop ni mziki wa ukombozi na ndio lengo kamili,unapotaka kujikomboa hupaswi kuficha ficha,sikiliza waanzilishi wore wa hip hop uone Kama walikuwa wanatumia lugha za kuficha,Kama unamzungumzia sungura unapaswa umtaje sungura na sio tembo eti mpaka mwenye akili ndio ajue kuwa unamzungumzia sungura,taarab ndio nyimbo zinazostahili fasihi sababu ni mipasho
Asipoelewa hapa, ndo basi tena.
Tako kwa juu au mpaka kwa kinyeo mkuu?..Sasa wanaonyonya papuchi na kujikuna tko wapi ni afadhali?!!
mbona kama mistari mingi ina mgusa diamond
Inamuhusu kibamia mcheza mpirambona kama mistari mingi ina mgusa diamond
Uchague ujikune kinyeo chako na papuchi utachagua nn!Tako kwa juu au mpaka kwa kinyeo mkuu?..