Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta maana hata nkikutajia hutazijua mkuu ukipata rudi uniambie kama umezipata tutaanza kumjadili fid q
Du mkuu unamzungumzia Fid Q yupi asiekuwa na Hit Song?!Hivi kuna Hit song ipi ya FID Q ambayo kila mtu anaujua?
nyimbo za akina ngwea, prof jay, TMK, Mr. blue, etc zinajulikana hata kama za miaka hiyo
ipi ya FID Q
maana wapenzi wa hiphop wanasema mkali sana, ana mashari balaa, yuko vizuri ..binafsi siyaoni wala sivutiwi na muziki wake na kwa kuuliza hivi ni kutaka kujua
mtu anipe link nifurahie muziki wa FID Q
Ninachoona ni wale die hard wa hiphop ambao wanasema wanabaki kwenye kacha ya hiphop na siyo soko linataka nini
Du mkuu unamzungumzia Fid Q yupi asiekuwa na Hit Song?!
Labda kwa msaada Fid Q ni mmoja kati ya wasanii wachache wa Hip hop ambao hawajatoka kwenye misingi waliyoanza nayo lakini Ana mashabiki wa aina zote.
Tafuta maana hata nkikutajia hutazijua mkuu ukipata rudi uniambie kama umezipata tutaanza kumjadili fid q
Umofia Kwenu wana JF,
Hiyo ni statement aliyoitoa msanii Fidq wakati akigongesha taya na Dulla Plannet wa E.A Radio wakati akijibu swali kwanini Video zao za wana HipHop hazina View Nyingi na Hawana Followers wengi Insta na Facebook?
FidQ alisema utakuta msanii ana followers zaidi ya milioni 2 lakin iakifanya show hata sebuleni watu hawajai lakini Dr. Jose chameleone ana follower wachache tu ambao kama laki 3 lakini akija tanzania anaweza kupata sponsors wa kutosha na akajaza uwanja wa taifa.
Pili akasema wasanii wengi wananunua view na pia wana followers ambao hawa exist,wanafanya hivyo kwa ajili ya kupata matangazo ya sabuni tu maana makampuni wanaangalia idadi ya followers.
Nakubaliana pia na wazo la fidq wengi wa followers ni ghost utakuta mtu kama lemutuz ana followers kibao lakini akitoa post hapati hata comment kumi.
Du mkuu unamzungumzia Fid Q yupi asiekuwa na Hit Song?!
Labda uniambie wewe sio mpenzi wa aina ya muziki anaofanya nitakuelewa.
Pengine kwa msaada Fid Q ni mmoja kati ya wasanii wachache wa Hip hop ambao hawajatoka kwenye misingi waliyoanza nayo lakini Ana mashabiki wa aina zote kuanzia wagumu mpaka wasiopenda hip hop.
Ngoma iliyomtoa huyu na yule imetoka karibu miaka 12 iliyopita kama angekuwa mbovu kama unavyodai unadhani mpaka Leo angekuwepo kwenye chart ya wasanii bora wa Hip hop?!
Word,na hiyo ndivyo ilivyoHao followers real unawatambuaje? nadhani ukiwa na followers milioni moja kuna uwezekano mkubwa ukawa na real followers laki tatu..sasa je ukiwa na followers laki mbili real followers ni wangapi?
Hata watoa matangazo wanajiuliza, na sio wajinga.
Nazidi kutokukuelewa...mwanzo kidogo nilikuelewa sasa hivi hueleweki tena.ona sasa sijasema mbovu!!! duh stay kwenye hoja
huyu na yule?? ina tofauti gani na nyimbo kibao za akina mwana FA, AY, king crazy GK, au hawa akina sugu??? nyimbo kama hii ni so common, kimya kimya moja wapo
tena unasema miaka 12 iliyopita na recently huna cha kusema?
'hawajatoka kwenye misingi' ndio hapo mnapomuua....msingi upi usio mpa hela?? fid q hawezi kuja kutamba na kusema anaishi 100% kwa muziki! ney
imagine hizo akili zake, angekuwa anatunga aina ya nyimbo za kama akina 'chemical, darasa, nature, gozdilla, joe makini, niki wa pili, mwana FA...hata akina msodoki...n.k
Tanzanian hip hop usisahau kuna african beat ndani yake ambayo ina miss kwa FID Q, ina maneno machache mepesi ambayo rahisi kueleweka na kuimbika kwa wengine kwa mfano wimbo wa darasa -muziki, nyimbo za akina mr. sugu, prof jay
He need to change na ku focus market , I bet akiamua anawafunika wote hawa maana mashairi yake magumu, mazuri anabaki nayo yeye, au nyie mnaomuelewa ambao hamchangii pato lake kwa namna yoyote ile, hamuendi show zake, hamnunui kazi zake, wala hata tune caller hamjaweka za kwake...bisheni
Joe makini juzi anaungana na chidima, FID Q basi ngau angewaza kuimba na akina rick ross, akon n.k ambako labda anaeleweka vyema, ila kwetu Tandale hata aseme anaweka show bure hakuna wa kuingia, hata akisema anawapandisha watu magari waende hawaendi ng'o....ila kwenu anabaki ndio 'mkali' huyo. Fid q mfananishe na lord eyes ambao uwezo wa na talent zao hawaja link na jamii husika, ila furaha yao ni kuwambiwa nyie ndie wana hipo hop wa 'ukweli'... haya dogo chemical mtoto wa kike amekuja kivingine, waulize jamii wanamkubali nani? mtoto wa kike ana mdondosha huyo mkongwe!
Wimbo gani wa FID Q utauzima ' mtazamo' wa afande sele, prof jay na solo thang, au darubini kali wa afande sele, au hata bwana misosi, au suma G na na vituko uswahilini, au asali wa moyo wa inspecta, sijazisema za juma nature zooote, au niko bize wa jaffarai, au zali la mentali?? wimbo gani wa Fid Q unazika 'hii leo' ya king crazy GK na AY, au Zigo?? ataizika mapozi ya mr. Blue? au nyimbo yoyote ile ya Ngwair ( RIP), Soggy doggy kibanda cha simu?? 'jana na leo' ya stamina na msodoki ...unaifahamu la kuchumpa la kuparama ya Godzilla..au nyimbo zote za Ney wa mitego?..unaijua vituko uswahilini ya suma G? ..Wimbo upi wa Fid Q unauzidi wimbo wowote ule wa darasa?? ...nyimbo zote za darasa zinaimbika mahali popote n watu wote wale..angalia show zake,...zote hizi ziko so close na society zinaimbika..na jamii ndio inayotoa hela, ndio inayolipa...kwa nini habadiliki?
Sio kuwa simpendi maana waswahili hampendi ukweli.......'wazo la leo' stamina ft Fid Q inabaki kuwa best written song kwangu, japo ile chorus ingefanyiwa utundu wa kama ngoma hizo hapo juu tungesema mengine...na utagundua nyimbo za FID alizofanya collabo angalau zina viewers wengi japo si zaidi ya laki sita.....yeye binafsi anabaki na ule ugumu wake 'kuw hawezi saliti hip hop' ha ha ha
ni mtazamo tu
Nazidi kutokukuelewa...mwanzo kidogo nilikuelewa sasa hivi hueleweki tena.
Oke ngoja tufanye hivi...hoja yako ni kuwa Nyimbo za Fid Q hazimpi hela kama wakina Joh Makini au hoja yako ni kuwa jamaa anafanya muziki mbovu?!
Umofia Kwenu wana JF,
Hiyo ni statement aliyoitoa msanii Fidq wakati akigongesha taya na Dulla Plannet wa E.A Radio wakati akijibu swali kwanini Video zao za wana HipHop hazina View Nyingi na Hawana Followers wengi Insta na Facebook?
FidQ alisema utakuta msanii ana followers zaidi ya milioni 2 lakin iakifanya show hata sebuleni watu hawajai lakini Dr. Jose chameleone ana follower wachache tu ambao kama laki 3 lakini akija tanzania anaweza kupata sponsors wa kutosha na akajaza uwanja wa taifa.
Pili akasema wasanii wengi wananunua view na pia wana followers ambao hawa exist,wanafanya hivyo kwa ajili ya kupata matangazo ya sabuni tu maana makampuni wanaangalia idadi ya followers.
Nakubaliana pia na wazo la fidq wengi wa followers ni ghost utakuta mtu kama lemutuz ana followers kibao lakini akitoa post hapati hata comment kumi.
Amesema yeye ana followers Real,Hana Fake Followers,Makampuni yanaangalia idadi ya folllowers,yeye hana wengi so si rahisi kupata hayo matangazo ya sabuni.