Hapo sahau... Amini amini nakuambia......utanikuta na DaMie mlangoni!
Naona Asprin amesema mtakuja wote nafikiria kukata jina lako na kuweka jina la mtu mwingine
si waalikane na we nenda shost mkabanane huko huko....
Mmmmmmh! Kanaonekana ni kamemba kapya kwa Join Date tu lakin mambo yake . . . ka ID mpya ya mtu MZOEFU SANA HAPA.
Mbona kule jukwaa la kukaribisha wagen sijamuona akipita?? Kadandia gari la mtu huyu
:lying::loco::loco::loco:
Hommie itabidi u call ili nilipitie tuweke mambo sawa...hatushindwi kitu banaaa!!Hommie najua kwenye meza yako kuna faili langu sasa nitakuendea hewani baadae maana naona ile kesi inataka kunitokea puani
hapo kwenye RED hamsini hamsini mbili zinahusuka muulize Fidel analijua hiloo!Wazamiaji tena!!.......mwambie anitayarishie Safari za moto, ziwe zimekaa si chini ya miezi sita (sitaki bia mbichi mm).
Safari za pale Changarawe ukiifungua harufu mpaka kwa Fr. Goletto.
Thanx hommie kwa kujali maslai yangu......Wewe utakuwa wa kwanza wa pili Kimey bado list naiandaa
Worry not babe furaha yako ndo furaha yetu....lazima nimpe kampani mpwa wangu...hawezi kuachia bahati ka hiii..Duh itakua bonge la sherehe yani njooni kwa mpwa wenu ila gongo sasa cjaelewa hakutakua na mashindano ya kupiga mdudu wala panya nisherehe tu kunywa na kucheza so gongooo!!! ngoja nifikirie
Yaani mtu asijidanganye kuongea siri na mtu hapa, wala kuthubutu kutongoza! Unaweza kujikuta unatongoza ID mbili kumbe mtu ni yuleyule au ukatongoza ID ya kike, kumbe mwanaume wa hapa hapa
:suspicious:
si waalikane na we nenda shost mkabanane huko huko....
Nilham leo wanifurahisha, mie hao ninao tu. hanizidi mtu hapo
Vp comrade yamekukuta nini?Yaani mtu asijidanganye kuongea siri na mtu hapa, wala kuthubutu kutongoza! Unaweza kujikuta unatongoza ID mbili kumbe mtu ni yuleyule au ukatongoza ID ya kike, kumbe mwanaume wa hapa hapa
:suspicious:
Umenionea Hashycool????
Wivu sina, panapofuka moshi........we mambo ya wivu ni ya long we ukienda sokoni utaenda naee? Avatar yangu isikuchengue bana
Naona Asprin amesema mtakuja wote nafikiria kukata jina lako na kuweka jina la mtu mwingine
Vp comrade yamekukuta nini?
Namtafuta Smiles (my protectee) twende kwenye part ya Loveness love....sijui nani kamuona?
Wivu sina, panapofuka moshi........
Kuna mtu alijaribu kuapply hii kitu If you cant convince them, CONFUSE THEM" ikamshinda
we ni hashycool ee?? au wamchukulia nafs ya kuomba msamaha leo nansubiri kuaanzia alfajiiiiir kule kwenye ile thread yetu lakini naona kaingia mitini...