CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
Mkuu naona unakoelekea........
. . . ni kubaya, lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naona unakoelekea........
Halafu Michelle kanipiga madongo halafu kaingia mitini yule naye ana visa
finest nataka nikuulize swali.... huyu loveness naona kafanana fanana na michelle... eeenhee??? ngoja nimshtue damie hapa akae sawa sawa.... afunge na belt... ndege yataka ruka hiyo...
Halafu DaMie na Loveness love mnafanana sana asee!
Halafu DaMie na Loveness love mnafanana sana asee!
Ni mapacha, kwa vile vinywaji vitakuwa vichache wewe sahau mwaliko
Huyu loveness love ni . . . . . .
Hivi kweli Babu, lakini huyu loveness naona kama mhh
Fidel, na komoni je, itakuwepo?
Mkuu loveness love ni ka member kapya
Hapo sahau... Amini amini nakuambia......utanikuta na DaMie mlangoni!
Wanywaji manbahati sana aisee, Hongera comrade Fidel80
. . . ni kubaya, lol
Afadhali, nilidhani sitakuwemo kwenye list kutokana na FL80 kutakiwa kufahamika zaidi na loveness loveWewe utakuwa wa kwanza wa pili Kimey bado list naiandaa
Mkuu loveness love ni ka member kapya
Afadhali, nilidhani sitakuwemo kwenye list kutokana na FL80 kutakiwa kufahamika zaidi na loveness love
Jina lako na avatar yako ,na kutaka kumfahamu zaidi FL80. Halafu FL80 nitakuPM
Umeona ehh Nilham, mie nasubiri tu waalikane